Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Misukule itakujia sasa hivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una roho ya korosho na ni maskini wa mawazo hata hali. Kosa ni kutembea na bulungutu kama ni halali au roho mbaya tu?Binafsi nafurahia sana utawala wa Rais wetu mpendwa SAMIA suluhu hasani, humuoni sana mitaani, waziri mkuu anafanya kwa niaba ya Rais..
Ndivyo walivyo hawa vyangudoa wa kisiasa.Hata miezi miwili hana mshaanza kumpa Hongera. Alimradi tuu mumtukane jembe MAGUFULI aisee walimwemgu
Alitukanwa kabla hajafariki, akatukanwa siku za msiba, anatukanwa baada ya msiba ila na fake id'sHata miezi miwili hana mshaanza kumpa Hongera za kinafki alimradi tuu mumtukane jembe MAGUFULI, aisee walimwemgu
Haya tushakusikia na udaku wako!Binafsi nafurahia sana utawala wa Rais wetu mpendwa SAMIA suluhu hasani, humuoni sana mitaani, waziri mkuu anafanya kwa niaba ya Rais
Hatembei na maburungutu ya hela na kugawa hovyo kupitia mlango wa juu wa gari..
Bwashee mwambie mama asichelewe kulitekelezaWazo lako ni zuri litafanyiwa kazi!
Ile n Manispaa wamshukuru mwendazakeDodoma Hakuna City Ni Ujanjaujanja
Muda Huu Ni Shida Tupu
Lile siyo jiji ni manispaa changamfu.Jiji la Dodoma halina tofauti na mfano wa kumuozesha mtoto mdogo wa miaka 15, kwa mtu mzima kama mimi! Kiukweli Jiji lina changamoto nyingi, mpaka basi!
🤣🤣🤣🤣Lile siyo jiji ni manispaa changamfu
Una mawazo mazuri, ila umekizungumzia hicho kijiji cha Dodoma utadhani ni bonge la jiji. Halafu huo uandishi wako kwa mtu anayejua kiingereza au kiswahili tu, hawezi kuelewa unaoongea nini. Jirekebishe tafadhali.Morning Mama.
A. CDA walikuwa corrupt sana. Waliumiza watu wengi sana. Wafanyakazi wa CDA wengi walijimegea viwanja na hata sasa kama Lukuvi akiendelea na idea ya serikali ya ku-link NIDA na umiliki wa viwanja nchi nzima, tutaona hata yasiyotizamwa...