Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Mtu akitulia akakusoma vizuri atakuelewa, una hoja ya msingi, Dodoma imeshakuwa jiji muhimu sasa waangalie namna nzuri ya kuiboresha kama ulivyotoa maoni yako, kila jambo linaanza na hatua.
 
Jiji la Dodoma halina tofauti na mfano wa kumuozesha mtoto mdogo wa miaka 15, kwa mtu mzima kama mimi! Kiukweli Jiji lina changamoto nyingi, mpaka basi!
Hivi Dom kuwa Jiji mbona kama mnawashwa? Dom imekosa nini ambacho kipo Mwanza, Arusha, Mbeya au Tanga?
 
Hongera sana mama kwa kuapishwa kuwa Rais wa Sita wa Tanzania...
Mimi binafsi naingia kwenye ofisa unaelezwa mtangulizi wako alifanya hivi vile usibadili eti unaenzi utawala wake. Wewe je utaenziwa na nini ukiondoka?

Tumwache Rais wetu huyu aamuue mwenyewe ya kuenzi na yeye alete yake ili kutekeleza mpango wa maendeleo 2025 na ilani ya chama. Msimweke kwenye mzimu wa Magu no let her free to rule the Country.
 
Mh Rais katka mambo ya kufanya hakikisha unafanya yafuatayo:

1. Futa wilaya ya Chato ibaki kata
2. Futa Mpango wa kuipa Chato Mkoa..
Duu huu ni ......si ushauri ni upotoshaji after all investment, you must be crazzy.
 
Mhe. Raisi, nimekua nikifuatilia sana hoja ya uhitaji wa Wahadhiri wenye sifa katika vyuo vikuu vyetu vya uma hapa nchini na kugundua kwamba bado kuna upungufu mkubwa sana. Baada ya kutafakari na kufanya utafiti mdogo, kuna haja ya kutafakari upya kama ifuatavyo;

1. Kuna wahadhiri waliosomeshwa kwa pesa za serikali katika ngazi mbali mbali ikiwemo Masters na PhDs, lakini wameondolewa vyuoni mwaka 2015 na 2020, kisa tu wamegombania aidha UBUNGE au UDIWANI, ilihali wanazo sifa za kuendelea kufundisha na hawana makosa yoyote mengine ya kinidhamu.

2. Wengi wao wanao umri mdogo lakini hawawezi tena kurudi katika utumishi wa uma kwa sababu tayari walikua na account zao ambazo ni ngumu kuzihisha bila kibali maalumu kutoka ofisi ya RAIS - UTUMISHI.

3. Gharama walizotumia (Pesa za serikali) zilizotumiwa kuwasomesha ni kubwa mno, hivyo kuendelea kuwakataa ni hasara kubwa kwa nchi na serikali.

4.Serikali italazimika kutumia fedha nyingi kuwasomesha watanzania au wahadhiri wengine kwa miaka mingi ijayo ilihali wapo wengine waliosomeshwa na kuondolewa kwa sababu ya hoja nyepesi kama kugombania nafasi za kisiasa.

5. Sidhani kama ni sawa kwamba yeyote anaegombania udiwani ama ubunge ni kos lisilo na msamaha hata mtu kutoruhusiwa kabisa kufanya shughuli nyingine za utumishi wa uma.

Hivyo Mhe. Rais, Mama yetu Samia Suluhu Hassan tunaomba kada hii ya wahadhiri tuwatambue na tuwaruhusu warudi na kuendelea kulitumikia taifa badala tu ya kuwakataa kisa waligombania nafasi za kisiasa.
 
CCM walizoea kuishi kwa urongo, ufitini, uzushi, utekaji, na kejeli.

Rais Mama Samia ameyakataa mambo haya yote na hivyo kuwaweka CCM wakose ajenda dhidi ya Upinzani. Wanatakiwa kujibu hoja kwa hoja na sio kwa mapanga.
Je wataweza?
 
CCM walizoea kuishi kwa urongo, ufitini, uzushi, utekaji, na kejeli.

Rais Mama Samia ameyakataa mambo haya yote na hivyo kuwaweka CCM wakose ajenda dhidi ya Upinzani. Wanatakiwa kujibu hoja kwa hoja na sio kwa mapanga.
Je wataweza?
Ww ulisikia wapi mama aanze kudanganya katika mwezi huu wa Toba/Ramadhani.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
CCM walizoea kuishi kwa urongo, ufitini, uzushi, utekaji, na kejeli.

Rais Mama Samia ameyakataa mambo haya yote na hivyo kuwaweka CCM wakose ajenda dhidi ya Upinzani. Wanatakiwa kujibu hoja kwa hoja na sio kwa mapanga.
Je wataweza?
Mataga
giphy.gif
 
Back
Top Bottom