Isike Moses
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 2,789
- 4,245
Kwa kuwa hakuna mwamko kwenye Taifa letu, Rais Samia ataongozwa na CCM kwenye kuendesha nchi (kwa maslahi ya chama) siyo ya wewe MNYONGE.
Hakutokuwa na tofauti ya masuala ya msingi, kuhusu katiba ya Jaji Warioba hilo sahau maana ndiyo KABURI la CCM hivyo hawawezi kuchimba kaburi lao.
Hakutokuwa na tofauti ya masuala ya msingi, kuhusu katiba ya Jaji Warioba hilo sahau maana ndiyo KABURI la CCM hivyo hawawezi kuchimba kaburi lao.