Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

First appearance matter.

Ninamda mrefu sihangaiki kusilikiliza speech za viongozi was Tanzania.

Leo si tu nimetazama pia nimeona leadership.

Yan Kuna vitu unavitataraji kwa kiongozi na unaviona.

Kwa wasomi ilikua ngumu Sana kuelewa propaganda dhidi ya reality.

Kongole mama

Wananchi wa vyama vyote tumuunge mkono
Ulijuaje hiki ulichoandika bila ya kuwa ulikuwa ukisikiliza!
 
Kuiba kuku, kukutwa na msokoto wa bangi, rushwa ya ngono n. K
 
Back
Top Bottom