Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Kwanza nikupongeze madam President kwa kuwa Rais wetu , naona umeanza kupanga safu yako mpya itakayo fanya kazi na wewe safi sana, ila naomba nikupe ushauri kidogo si lazima uufanyie kazi ila kama utaona inafaa, tunapata ukakasi kdgo.

Awamu iliopita tumeona sekta binafsi ikiachwa sana kama yatima kumbe ndio inabeba watu wengi sana na kuongeza wigo wa kodi, sasa basi tunaomba rudisha heshima ya hii sekta, ntakupa mfano mmoja mdogo sana ambao hata hauhitaji phd,

kuna shirika kama TASAC hyu ni regulator wa shipping lines, kampuni za wakala wa forodha ( CLEARING/ FORWARDING) kazi zao ni kutoa mizigo na kusafirisha, iweje leo tena huyo tasac nae anatoa mizigo bandarini kazi ambazo zinafanywa tyr na CFA? tena anachukua kazi zao na kuijipangia mizigo yake, je huoni hapo kama kuna conflict of interest?je yeye nani ana mregulate?

Hya leo LATRA nae anunue mabasi yake ajipangie route kama moshi na arusha hakuna basi jingine kwenda route hyo, TCRA Nao wauze airtime na vocha basi !Nafhani ifike muda kurevised hizi sheria za haya mashirika hasa tasac.Tuwe na uwanja sawa wote isiwe mtu mmoja ana monopoly biashara tu, tasac iwepo ifanye kazi yake ya kuregulate tu.
Mkurugenzi wa TASAC alikua haelewi majukumu yake
 
Mh.Mama President,Samia.Nikiwa kama mwananchi mtiifu,ningeshauri ufuate Utaratibu wa kuwapata Watanzania waliobobea katika Diaspora nje ya nchi.Mh Rais mstaafu Kikwete alikuwa na utaratibu wa kuwatafuta Watanzania waliobobea kwenye Fani mbali mbali lakini wapo nchi za Nje wanafanya kazi.Mfano huyu wa TPDC,Alikuwepo Mama jina nimelisahau TIC(Uwekezaji) alimtoa South Africa,Tido Mhando (TBC),na wengine wengi.Huu ni ushauri tu.
 
Mh.Mama President,Samia.Nikiwa kama mwananchi mtiifu,ningeshauri ufuate Utaratibu wa kuwapata Watanzania waliobobea katika Diaspora nje ya nchi.Mh Rais mstaafu Kikwete alikuwa na utaratibu wa kuwatafuta Watanzania waliobobea kwenye Fani mbali mbali lakini wapo nchi za Nje wanafanya kazi.Mfano huyu wa TPDC,Alikuwepo Mama jina nimelisahau TIC(Uwekezaji) alimtoa South Africa,Tido Mhando (TBC),na wengine wengi.Huu ni ushauri tu.
Wapo wengi tu.

Mfano Sabasaba Mashingi wa Benk ya Posta, Mchechu, Laurance Mafuru, Gratis Sakaya ambeye nakumbuka Mara ya mwisho Standard Bank Dubai ,Tomas Kashilila aliyewshi kuwa Katibu wa Bunge kwa ujumla wako wengi sana.
 
1Alipotangaza msiba alituambia maombolezo siku 14 mara ikabadilika na kua siku 21.

2 Alipoteua mawaziri alituambia nitawaapisha kesho saa nne badala yake wakaapishwa saa 9.

3 Kateua mtu Jana leo anamtengua.

Hii maana yake nini?
 
Naunga mkono hoja, ingefaa amerejeshe yule Mama wa TIC na pale TBC arejee angalau aliyerudisha taswira ya iliyokuwa TvT
 
Wapo wengi tuu
Mfano Sabasaba Mashingi wa Benk ya Posta, Mchechu, Laurance Mafuru, Gratis Sakaya ambeye nakumbuka Mara ya mwisho Standard Bank Dubai ,Tomas Kashilila aliyewshi kuwa Katibu wa Bunge kwa ujumla wako wengi sana
Uwe makina mama na watu wanaotajataja majina ni wanufaika wa watu waliotajwa siyo hivyihivyi tu.
 
1Alipotangaza msiba alituambia maombolezo siku 14 mara ikabadilika na kua siku 21.
2 Alipoteua mawaziri alituambia nitawaapisha kesho saa nne badala yake wakaapishwa saa 9.
3 Kateua mtu Jana leo anamtengua
Hii maana yake nini?

Endelea kuhoji ujinga 😀😀😀

Sio muda sana utajua kua haujui.
 
Back
Top Bottom