Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Mtukufu wao kaacha misukule huku duniani ambayo bado haijitambui kabisa inahitaji maombi ya imani kali kui restore to the default configuration ya ubongo..
Dah aiseee kuna watu mtaani wabishi sana yaan utadhan waliwekewa limbwata hilo jina la misukule linawafaa sana
 
Sheria hairuhusu CAG akishastafu kuwa mtumishi wa umma tena.
 
Mh. Mama Samia,

Mzee wetu Julius K. Nyerere amelifanyia nchi hii makubwa na mengi kuliko Rais mwingine yeyote.
alichukua muda wake mwingi kuwapigania watanzania na kuwa na muda mdogo sana na familia yake
na hakujilimbikizia mali kwa ajili ya watoto wake.

Leo familia yake ni kama imetelekezwa kuna nafasi nyingi za utendaji na za kisiasa serikalini ikikupendeza
walau wakumbuke watoto wa mzee huyu kulingana na uwezo wao.

sina shaka na Mama Nyerere anapatiwa huduma za kutosha lakini tuendelee kumtunza lakini pia kuitunza familia yake hasa watoto na wajukuu
wa Mzee Nyerere nii hayo tu. Ivoo Tuu
 
Kwanini hizi mada zinakuja mpya kila baada ya dakika chache. Mwachieni mama apige kazi msimsumbue ndio kwanza ana wiki tatu! Hata kufanya usafi bado hajamaliza!
 
Kwanini hizi mada zinakuja mpya kila baada ya dakika chache. Mwachieni mama apige kazi msimsumbue ndio kwanza ana wiki tatu! Hata kufanya usafi bado hajamaliza!
katika usafi huo hii familia aipe kipaumbele kama familia za wengine
 
Mh. Mama Samia,

Mzee wetu Julius K. Nyerere amelifanyia nchi hii makubwa na mengi kuliko Rais mwingine yeyote.
alichukua muda wake mwingi kuwapigania watanzania na kuwa na muda mdogo sana na familia yake
na hakujilimbikizia mali kwa ajili ya watoto wake.

Leo familia yake ni kama imetelekezwa kuna nafasi nyingi za utendaji na za kisiasa serikalini ikikupendeza
walau wakumbuke watoto wa mzee huyu kulingana na uwezo wao.

sina shaka na Mama Nyerere anapatiwa huduma za kutosha lakini tuendelee kumtunza lakini pia kuitunza familia yake hasa watoto na wajukuu
wa Mzee Nyerere nii hayo tu. Ivoo Tuu

Mhhh watoto na wajukuu wa nyerere wapo vizuri usiwachukulie poa,kwa maisha tu ya kiTZ wanaishi vizuri au unataka wawe na vituo vya mafuta na mighorofa ya kupangisha town?
 
Mhhh watoto na wajukuu wa nyerere wapo vizuri usiwachukulie poa,kwa maisha tu ya kiTZ wanaishi vizuri au unataka wawe na vituo vya mafuta na mighorofa ya kupangisha town?
Kutokua kwenye walau kwenye ulingo wa siasa kunapoteza hata legacy ya baba/babu yao.

pili tunaona wengine mpaka wamekuwa marais, wengine wapo kwenye mifumo toka baba zao hadi wajukuu.
basi walau tuwape na wao nafasi serikalini sio kwa huruma bali kwa merits
 
Kutokua kwenye walau kwenye ulingo wa siasa kunapoteza hata legacy ya baba/babu yao.

pili tunaona wengine mpaka wamekuwa marais, wengine wapo kwenye mifumo toka baba zao hadi wajukuu.
basi walau tuwape na wao nafasi serikalini sio kwa huruma bali kwa merits

Kila mtu anapenda anachotaka kufanya ,makongoro na madaraka wamechagua siasa ,kuna wengine wapo kwenye ma bank pia,sio lazima wote waingie kwenye siasa/uongozi.
 
Madam President njoo huku TRA wanakuangusha hakuna system leo siku ya 3 hatufanyi kazi kabisa, sasa sijui hayo malengo kama utayafikia.
 
Namshauri Madame President atukumbuke vijana. Tumeishi kama mashetani tokea 2015.
 
Mama SSH pole kwa kazi mama yetu kipenzi... Vip wajisikiaje na hali mama yangu... Kumbuka kula basi usije pata shida mama angu si unajua nakupenda sana... Usisahau kunywa maji mengi na kupumzika kidgo pole sana mama angu. Unajua kazi yako ilivyo pasua kichwa na ni nyeti sana hivyo mama usisahau kumuomba mwenyezi MUNGU busara zake... Hata hivyo nna machache mama angu kipenzi nisikikize kdg.

1. Corona umeanza vibaya naamin kuanzia hapo umemega pande kubwa la watu kuanza kuwa na wasiwasi nawe. England inaanza kufuata sera za JPM dunia inaanza kuelewa nn JPM alimaanisha na kujua. Ufanyayo hapa MAMA angu ni kuturudisha nyuma tena nyuma yenye hatari... Najua umeteleza achana na mpango wako wa kusumbuka na kamati sijui jopo sijui nn naamin Africa haitak chanjo na jitihada zetu zimetisaidia wapo waliokufa ndio watakufa na wengn lkn hata bila coron watakufa tu.

2. Unaharaka sana ya kuingia mikataba ya madini, juzi nimesikia ukisema... Wewe waziri kipindi kile ulitunisha misuli sana kwamba madini ya kwenye hifadhi yasichimbwe lkn nayataka lazima tuchimbe... Mama unaharaka sana kiukwel embu uliza kwanza kwann walitunisha misuli kuna wanetu kesho watakula nini watajivunia nn..?

Haraka nyingne niliona na kusikia ukituambia kwamba mikataba ya madini hasa ya nickel tunacherewesha sana ulisema wafanye haraka ili tuwape wawekezaji me naona mama hakuna haja ya kufanya haraka nchi yetu imeingia mikataba mingi ya kipumbavu kwasababu ya haraka yetu tu acha tuichunguze tutaweka sahihi tu.

3. Mama naona kama huwezi kuongoza jeshi kwenda vitani na huwez kutuvusha.
Kauli yako kwamba sisi tunawahitaji zaid wawekezaji kuriko wao kutuhitaji sisi ni kukosa kujiamin na ulichonacho ukiwa kama kiongozi umeshindwa kbsa kabla hata vita hujaanza. Mama tunahitajiana wao wanataka mali sisi tunataka pesa hapo lzm tuweke misimamo ya maana tu.

4. Unanipa mashaka sana kwenye maneno yako. "Tanzania sio kisiwa na hatuwez kuwa peke yetu lazima tuende na wenzetu lazima tuennde na dunia" mama hujiamn kbsa sio lzm tufuate njia ya weng mara nying njia za wengi huwa potofu tunweza kuwa na njia yetu na dunia ikatufuata sisi. Tuwe kama china waliweka njia yao na wameshinda wengi ni upotevu.

5. Mama unakosoa kila alilofanya JPM nawe ulikua mkono wa kuume wa chuma maana yake nn kwamba ilikua mnafiki kukubali kati ya yale ambayo hukua ukitaka au ulibaki kwa kulinda cheo na maslahi yako... Na ikiwa hivyo basi mama tayari umetuuza hufai kuwa kiongozi wetu.

6. KWA MWENENDO huu unaoenda nao wa kufukia nyayo za JPM utakua adui wa taifa na naamin mama njia yako itakua ngum mno muda bado upo kwann tusirudie mstari ule sahihi lkn yale ya kupoteza watu sijui kuwapa kesi za ovyo kodi kandamizi na uwekezaji wa hovyo na upendeleo hasa wa ukabila ukanda na udini futa kbsa. Visasi piga chini nchi iende kwa njia ya JPM lkn kwa mazuri tu.

Mwisho. Kwa jicho la kawaida kabisa MAMA njia upitayo umepotezwa angalia washauri wengine hao wa sasa naona hawatufai. Kumbuka katiba mpya na kumbuka kufuta sheria za ovyo hapo nakuhakikishia mama utakumbukwa daima maishani
 
Mama Samia ambaye alikuwa Makamu wa Rais toka 2015, pia ameandika historia ya kuingia madarakani baada ya kufariki kwa rais aliyekuwepo madarakani, John Pombe Magufuli.

Mara baada ya kushika hatamu, Rais Samia amekuwa akijipambanua kwa staili ya uongozi tofauti na ya mtangulizi wake Hayati Magufuli. Utofauti huo si kwenye sera tu bali hata katika mambo masuala kama uzungumzaji, namna ya kufikisha ujumbe, uungwana na katika mambo mengine madogo madogo wakiwamo wasaidizi wake wanaoonekana naye kila siku.

Katika sera, ameanza na kutaka mabadiliko ya hali ya mahusiano na nchi za nje akitaka yaboreshwe zaidi na kuvutia wawekezaji, kupanua uhuru wa habari na kutaka ubabe usitumike katika ukusanyaji wa kodi. Pia amekemea watu kubambikiwa kesi za uhujumu uchumi na kuitaka malaka ya kupambana na rushwa kuachana na kesi ambazo hazina ushahidi wa kutosha.

Yawezekana kubwa kuliko yote ni nia yake ya kulipatia ufumbuzi suala la janga la corona nchi humo. Utawala wa Rais Magufuli ulishutumiwa vikali kwa kutochukua hatua stahiki kupambana na janga hilo, lakini sasa Mama Samia amesema ataunda kamati ya wataalamu kushauri serikali yake nini cha kufanya juu ya janga hilo.

Hatua hizo zimezua mjadala mkubwa ndani na nje ya Tanzania. Lakini Tanzania si nchi ya kwanza kuona hali kama hiyo, mwaka jana rais wa Burundi Pierre Nkurunziza alifariki miezi michache kabla ya kutoka madarakani, na nafasi yake ikachukuliwa na Evariste Ndayishimiye ambaye alishinda uchaguzi kabla ya kifo cha Nkurunziza.

Nkurunziza pia pia alituhumiwa kwa kutozingatia tahadhari dhidi ya corona, mara baada ya mrithi wake kuingia amadarakani alichukua hatua kadhaa kubadili hali ya mambo. Pia alianzisha mazungumzo ya kuboresha mahusiano na taifa jirani na hasimu la Rwanda. Na hivi karibuni utawala wake umeonekana kuonesha dalili za kutanua wigo wa uhuru wa vyombo vya habari kwa kuvifungulia vyombo vya ndani vilivyofungiwa kwenye utawala uliopita.

Japo mifano ya Tanzania na Burundi mabadiliko hayo yametokea wakati watangulizi wakiwa wamefariki dunia zipo nchi za Afrika ambazo mabadiliko ya uongozi yalifanyika kwa bashasha huku watangulizi wakiamini warithi wao wataendeleza pale walipoachia ama hata kuwalindia maslahi yao watakapoingia madarakani. Hata hivyo hali ya mambo ikabadilika na warithi wakabadili sera za watangulizi bila kificho. Katika baadhi ya nchi hali hiyo ikazaa na mizozo mikubwa ya kisiasa.
 
Mama Samia ambaye alikuwa Makamu wa Rais toka 2015, pia ameandika historia ya kuingia madarakani baada ya kufariki kwa rais aliyekuwepo madarakani, John Pombe Magufuli.

Mara baada ya kushika hatamu, Rais Samia amekuwa akijipambanua kwa staili ya uongozi tofauti na ya mtangulizi wake Hayati Magufuli. Utofauti huo si kwenye sera tu bali hata katika mambo masuala kama uzungumzaji, namna ya kufikisha ujumbe, uungwana na katika mambo mengine madogo madogo wakiwamo wasaidizi wake wanaoonekana naye kila siku.

Katika sera, ameanza na kutaka mabadiliko ya hali ya mahusiano na nchi za nje akitaka yaboreshwe zaidi na kuvutia wawekezaji, kupanua uhuru wa habari na kutaka ubabe usitumike katika ukusanyaji wa kodi. Pia amekemea watu kubambikiwa kesi za uhujumu uchumi na kuitaka malaka ya kupambana na rushwa kuachana na kesi ambazo hazina ushahidi wa kutosha.

Yawezekana kubwa kuliko yote ni nia yake ya kulipatia ufumbuzi suala la janga la corona nchi humo. Utawala wa Rais Magufuli ulishutumiwa vikali kwa kutochukua hatua stahiki kupambana na janga hilo, lakini sasa Mama Samia amesema ataunda kamati ya wataalamu kushauri serikali yake nini cha kufanya juu ya janga hilo.

Hatua hizo zimezua mjadala mkubwa ndani na nje ya Tanzania. Lakini Tanzania si nchi ya kwanza kuona hali kama hiyo, mwaka jana rais wa Burundi Pierre Nkurunziza alifariki miezi michache kabla ya kutoka madarakani, na nafasi yake ikachukuliwa na Evariste Ndayishimiye ambaye alishinda uchaguzi kabla ya kifo cha Nkurunziza.

Nkurunziza pia pia alituhumiwa kwa kutozingatia tahadhari dhidi ya corona, mara baada ya mrithi wake kuingia amadarakani alichukua hatua kadhaa kubadili hali ya mambo. Pia alianzisha mazungumzo ya kuboresha mahusiano na taifa jirani na hasimu la Rwanda. Na hivi karibuni utawala wake umeonekana kuonesha dalili za kutanua wigo wa uhuru wa vyombo vya habari kwa kuvifungulia vyombo vya ndani vilivyofungiwa kwenye utawala uliopita.

Japo mifano ya Tanzania na Burundi mabadiliko hayo yametokea wakati watangulizi wakiwa wamefariki dunia zipo nchi za Afrika ambazo mabadiliko ya uongozi yalifanyika kwa bashasha huku watangulizi wakiamini warithi wao wataendeleza pale walipoachia ama hata kuwalindia maslahi yao watakapoingia madarakani. Hata hivyo hali ya mambo ikabadilika na warithi wakabadili sera za watangulizi bila kificho. Katika baadhi ya nchi hali hiyo ikazaa na mizozo mikubwa ya kisiasa.
Dogo wakati wa mapambio umepita na Mwendazake
Jipange vizuri umri unao
 
Hamjambo wote...??

Mama yetu chonde usiwachekee wanaomponda Rais aliyepita, ni wanafiki ambao hata wewe watakuponda pia..

Labda Magufuli alifanya ufisadi, yes ni jambo baya linalofaa kukemewa vibaya, but hey, he had Tanzanians best interests at heart! No doubt...

And yes kama biandamu wengine walivyo na madhaifu,alikua na udhaifu wa kutaka kufanya decisions peke yake,kwa mfano kuendeleza Chato...

Aliendesha Tanzania as king and not a president...

Mama Samia , huu udhaifu uwe ndio njia ya kudefine serikali yako,

Mama usichukue na kufanya miradi ya Magufuli tofauti,

Kwa kufanya hivyo utakua unatembelea kivuli cha Magufuli,...... ambapo miradi yake ikiisha je na serikali yako itakua imekufa???

Angalia the whole picture...his leadership is what you should change not miradi yake....

Create your own government, unique leadership style..huku ukiangalia kwa ukaribu wapi viongozi waliopita walishindwa ku lead a nation kwa weledi....

Mimi naomba na ninakuombea uwe kiongozi mwenye busara...

Magufuli Aliweka Gap kwetu sisi wananchi tukawa na Bunge tusilione,akazuia mikutano ya hadhira ya wanasiasa, na kufungia vyombo vya habari...

Hii yote ni kucreate tabaka/gap kati ya viongozi na wananchi, which we all know was because he didnt want to be questioned or challenged of his decisions on Projects such those of Chatto.

He lead the nation singly....

Itapendeza Government yako kama itakua serikali sikivu na iwa involve/engage wananchi

Wasalaam, Becky!
 
Hamjambo wote...??

Mama yetu chonde usiwachekee wanaomponda Rais aliyepita, ni wanafiki ambao hata wewe watakuponda pia..

Labda Magufuli alifanya ufisadi, yes ni jambo baya linalofaa kukemewa vibaya, but hey, he had Tanzanians best interests at heart! No doubt...

And yes kama biandamu wengine walivyo na madhaifu,alikua na udhaifu wa kutaka kufanya decisions peke yake,kwa mfano kuendeleza Chato...

Aliendesha Tanzania as king and not a president...

Mama Samia , huu udhaifu uwe ndio njia ya kudefine serikali yako,

Mama usichukue na kufanya miradi ya Magufuli tofauti,

Kwa kufanya hivyo utakua unatembelea kivuli cha Magufuli,...... ambapo miradi yake ikiisha je na serikali yako itakua imekufa???

Angalia the whole picture...his leadership is what you should change not miradi yake....

Create your own government, unique leadership style..huku ukiangalia kwa ukaribu wapi viongozi waliopita walishindwa ku lead a nation kwa weledi....

Mimi naomba na ninakuombea uwe kiongozi mwenye busara...

Magufuli Aliweka Gap kwetu sisi wananchi tukawa na Bunge tusilione,akazuia mikutano ya hadhira ya wanasiasa, na kufungia vyombo vya habari...

Hii yote ni kucreate tabaka/gap kati ya viongozi na wananchi, which we all know was because he didnt want to be questioned or challenged of his decisions on Projects such those of Chatto.

He lead the nation singly....

Itapendeza Government yako kama itakua serikali sikivu na iwa involve/engage wananchi

Wasalaaaaaaaaaaam, Becky!
Aisee huyu mama inabidi awe makini sana,Inabidi ajue aina ya viongozi alionao na jinsi walivyojaaliwa uwezo/vipaji wa kubadilika badilika at any time ( T).ajue kua anaongoza serikali ambao viongozi wenzake wana uwezo wa kujipendekeza kwa hali yoyote ile ili kulinda nafasi/matumbo yao.
Yaani ghafla wale walioanza kumponda aliemuachia kiti angeanza nao hao awapige chini wote,tabia hizo hizo watamfanyia na yeye miaka michache ijayo.
 
Hamjambo wote...??

Mama yetu chonde usiwachekee wanaomponda Rais aliyepita, ni wanafiki ambao hata wewe watakuponda pia..

Labda Magufuli alifanya ufisadi, yes ni jambo baya linalofaa kukemewa vibaya, but hey, he had Tanzanians best interests at heart! No doubt...

And yes kama biandamu wengine walivyo na madhaifu,alikua na udhaifu wa kutaka kufanya decisions peke yake,kwa mfano kuendeleza Chato...

Aliendesha Tanzania as king and not a president...

Mama Samia , huu udhaifu uwe ndio njia ya kudefine serikali yako,

Mama usichukue na kufanya miradi ya Magufuli tofauti,

Kwa kufanya hivyo utakua unatembelea kivuli cha Magufuli,...... ambapo miradi yake ikiisha je na serikali yako itakua imekufa???

Angalia the whole picture...his leadership is what you should change not miradi yake....

Create your own government, unique leadership style..huku ukiangalia kwa ukaribu wapi viongozi waliopita walishindwa ku lead a nation kwa weledi....

Mimi naomba na ninakuombea uwe kiongozi mwenye busara...

Magufuli Aliweka Gap kwetu sisi wananchi tukawa na Bunge tusilione,akazuia mikutano ya hadhira ya wanasiasa, na kufungia vyombo vya habari...

Hii yote ni kucreate tabaka/gap kati ya viongozi na wananchi, which we all know was because he didnt want to be questioned or challenged of his decisions on Projects such those of Chatto.

He lead the nation singly....

Itapendeza Government yako kama itakua serikali sikivu na iwa involve/engage wananchi

Wasalaaaaaaaaaaam, Becky!
Sio wema sepetu kweli wewe , anyway miradi ya Jiwe Ile mikubwa haina wahisani na inazidi uwezo wa Taifa kuihudumia, thus why Jiwe alifanya yafuatayo
1.Kusitisha vibali vya ajira , ( only kiduchu tuu aliruhusu)
2. Kukopa ndani na nje ya nchi , ukopji wa ndani ulilenga kwenye mifuko ya hifadhi na hapa iliathiri pesa za wastaafu, ukopaji wa nje uliongeza deni la Taifa
3. Kubuni Kodi za kila aina ikiwemo kuwabambikizia kesi watu wenye pesa , na pale walipotoa pesa kesi iliisha..
4. Kupiga chini nyongeza ya mishahara
5.Tenda nyingi zilipewa taasisi za kiserikali ili malipo yafanyike kiduchu , ili pesa ipelekwe kwenye miradi ,
6.Kutafta kasoro kwenye mfumo wa ajira eg wenye vyeti feki , na kuchukua pesa zao za mafao
7. N.k

Bado katika mazingira haya Hali ilikuwa mbaya ,na option iliyokuwepo ni yeye kubaki madarakani ili aimalizie....

Kwa mtazamo wangu mama ana option nne
1. Kuipiga chini hyo miradi
2.Kuendana nayo mdogo mdogo kulingana na uwezo wa Taifa
3.Kuendana nayo Kwa style ya kimaghufuli (Muwe tayar kuumia na kushindia michicha )
4.Kutafta wahisani ( Nafkri masharti yake mnayajua)

Ni uamzi wake sasa..
N.B: Maamuz ya kukurupuka ya Jiwe yanaumiza Taifa
 
Back
Top Bottom