Bess
JF-Expert Member
- Oct 4, 2016
- 547
- 656
Bila shakaHiyo kitu ilikuwa inaumiza watanzania, mama hatakubali hiyo sheria kupitishwa kabisa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila shakaHiyo kitu ilikuwa inaumiza watanzania, mama hatakubali hiyo sheria kupitishwa kabisa!
Endelea kuota. Ila kwenye ndoto ukiona choo usikitumiee😉Kama ndoto huja kweli, kuna uwezekano mkubwa wa mama kuhurumia wafaidika wa mifuko ya jamii na kurejesha FAO hili lililokuwa msaada mkubwa kwa wanachama
Eti nini?Kama ndoto huja kweli, kuna uwezekano mkubwa wa mama kuhurumia wafaidika wa mifuko ya jamii na kurejesha FAO hili lililokuwa msaada mkubwa kwa wanachama
Mh!Tunataka mama kujitofautisha na hayati, kama wananchi wanavyosema kwenye mitandao kuwa kial alichofanya hayati ni kibaya ikiwemo hata hili kuturusu kuendelea na maisha ya kawaida wakati wa corona. Kwa hiyo ushauli unabacki palepale aipge lockdown masaa 24 kwa mwezi tanzania nzima ili kufunga na kuzima alama na misimamao ya Dr Jiwe.
Kutaja taja nini...!?Mshaambiwa Kazi iendelee bado mnataja taja tu?
Wakitolewa wataenda ungana na wenzao wa kule msumbiji subiti kwanza.Salam kwa jina la jamhuri ya muungano, topic inajieleza, tumeshaona sifa na kashfa kede lundo, sasa zamu ya kuonyesha utu.
We mpuuzi kweli!Wakitolewa wataenda ungana na wenzao wa kule msumbiji subiti kwanza.
Kwani vipi tena,maji yamezidi unga ama.Muda muafaka wa kusema umefika ama yaliyo tukera au tulivyo yafurahia. Tutafika nyongo tuone.
Wengi wamechangia vizuri sana ufisadi wa Dkt. Magufuli na kwa upeo wa akili zao na muono wao, wako sahihi.
Hili lilikuwa fisadi sana na lilitulipa katika Ufisadi wake yafuatayo:
1) Miji yote ilipata bahati ya kurekebisha barabara za lami mijini.
2) Kuboresha vituo vya afya nchi nzima, sasa mama weka vivenda kazi na madawa.
3) Kurudisha Utendaji wa uwajibikaji katika utumishi wa Umma.
4) Kutamalaki kwa Usalama, Usalama, Usalama, Usalama, Usalama.
5) miradi Mikubwa ya mkakati, umeme, reli, vituo vya usafiri Mikoa yote.
6) Malipo ya mishahara kila tarehe 23 ya mwezi.
7) Kutengeneza mfumo wa kuwa adabisha watumishi wa umma.
8) Ku repair barabara kubwa zote nchini.
9) Kurekebisha mfumo wa uwekezaji kwenye mali asili zetu hasa madini.
10) kuripair shule zote kongwe nchini.
Na mengine mengi.
Mama Samia tunaamini wewe mtu safi sana na bora, umejifundisha mengi kwa fisadi mkubwa kwa hiyo tunakuomba uyafanye makubwa kuliko fisadi Mwendazake.
Ukifanya haya machache nilio andika chini pekee itafanya tuuchukie zaidi Ufisadi wa Mwendazake zake.
Wapeleke semina wabunge wote na waelekeze wafanye kinyume na ufisadi uliokithiri wa Mwenda zake ili nchi iende mbele.
Wabague Wasukuma na kanda nzima ya Magharibi kwa kuwa hawana maana tena kwa nchi yetu kwa kuwa fisadi lao limekwisha enda zake.
Sioni sababu ya kuwaomba kura kanda ya Magharibi( Mara Simiyu, Mwanza, Shinyanga, Geita, Kagera, Tabora, Rukwa, Katavi na Kigoma) kwa kuwa sioni maana yao kwa utawala wa leo hata uchaguzi ujao, Magufuli Mwendazake ilikuwa bahati mbaya tuu.
Anazisha kitengo cha mitandao na tutakusaidia maoni ya kutawala vyema, kwa sababu hata miaka yote ya nyuma, tumekuwa tukiielezea Ubaya wa Mwendazake Magufuli.
Na usiwa jengee nyumba família ya Magufuli kwa kuwa nyumba hujengewa Rais na sio família yake.
Na sio vibaya nyumba ya Mwinyi na Kikwete zika taifishwa, zili jenga kwa ufisadi wa Mwendazake. Kwani sasa hivi Mwinyi na Kikwete wanalala njee?
Hakikisha unafungulia Mbwa kuhusu usalama, tunakuomba Kibiti I rudi haraka. Tumeanza kuimiss ilikuwa hali ile, ilikuwa ikitupatia raha.
Madawa ya kulevya yalkitupatia maisha bora na kuimarisha afya za vijana wetu. Pamoja na hayo pesa ilikuwepo kila mahala.
Halalisha wizi wa mali ya uma ili tusisutane kila mtawala akiondoka madarakani, tulimsakama Kikwete kumbe ni kitu cha kawaida.
Ondoka msisitizo wa Kiswahili katika nchi zetu, na utumishi wa umma. Sio lugha ya lazima.
NGO zinazo promote Ushoga ziruhusiwe tuu, na ikiwezekana pawe na mtaalamu wa Ushoga tangu shule za msingi. Na hata hivyo mbona wasagaji na masenge tunaishi nao mitaani, na shuguli zina kwenda.
Ikulu ipo Dar es Salaam na ya Dodoma in manufaa gani?
SIMAMISHA KUHIFADHI FEDHA.
Turuhusu uvuvi kama siku za nyumba kwa nini tujibane bane wakati Bahari, Maziwa, mito na mabaya na samaki ni wa kwetu. Kuvua tuu kwa kwenda mbele?.
Fukuza Machinga wote mijini, wapatiwe sehemu ya kufanya biashara ikishindikana wewe Fukuza tuu kwani kabla ya Mwendazake waliishije.
Wizi wa bandarini ni kitu tulikwisha kuzoea miaka nenda rudi, hatuna maumivu tena hata kama hali hiyo ikirudi kwa nguvu.
Sio lazima baba na mama wafanye kazi ili watoto waishi, peleka maendeleo Unguja na Pamba kwa budgeting yetu, ni watoto wetu hao na wala usihofu.
Usihofu Mama yetu, CCM ilichoka vibaya wakati wa Utawala wa Kikwete na bado Wewe na Mwendazake Milishinda.
Jumapili njema.
Hata mtoto wa chekechea ukimuambia Magufuli fisadi atakucheka!Acheni ujinga.Muda muafaka wa kusema umefika ama yaliyo tukera au tulivyo yafurahia. Tutafika nyongo tuone.
Wengi wamechangia vizuri sana ufisadi wa Dkt. Magufuli na kwa upeo wa akili zao na muono wao, wako sahihi.
Hili lilikuwa fisadi sana na lilitulipa katika Ufisadi wake yafuatayo:
1) Miji yote ilipata bahati ya kurekebisha barabara za lami mijini.
2) Kuboresha vituo vya afya nchi nzima, sasa mama weka vivenda kazi na madawa.
3) Kurudisha Utendaji wa uwajibikaji katika utumishi wa Umma.
4) Kutamalaki kwa Usalama, Usalama, Usalama, Usalama, Usalama.
5) miradi Mikubwa ya mkakati, umeme, reli, vituo vya usafiri Mikoa yote.
6) Malipo ya mishahara kila tarehe 23 ya mwezi.
7) Kutengeneza mfumo wa kuwa adabisha watumishi wa umma.
8) Ku repair barabara kubwa zote nchini.
9) Kurekebisha mfumo wa uwekezaji kwenye mali asili zetu hasa madini.
10) kuripair shule zote kongwe nchini.
Na mengine mengi.
Mama Samia tunaamini wewe mtu safi sana na bora, umejifundisha mengi kwa fisadi mkubwa kwa hiyo tunakuomba uyafanye makubwa kuliko fisadi Mwendazake.
Ukifanya haya machache nilio andika chini pekee itafanya tuuchukie zaidi Ufisadi wa Mwendazake zake.
Wapeleke semina wabunge wote na waelekeze wafanye kinyume na ufisadi uliokithiri wa Mwenda zake ili nchi iende mbele.
Wabague Wasukuma na kanda nzima ya Magharibi kwa kuwa hawana maana tena kwa nchi yetu kwa kuwa fisadi lao limekwisha enda zake.
Sioni sababu ya kuwaomba kura kanda ya Magharibi( Mara Simiyu, Mwanza, Shinyanga, Geita, Kagera, Tabora, Rukwa, Katavi na Kigoma) kwa kuwa sioni maana yao kwa utawala wa leo hata uchaguzi ujao, Magufuli Mwendazake ilikuwa bahati mbaya tuu.
Anazisha kitengo cha mitandao na tutakusaidia maoni ya kutawala vyema, kwa sababu hata miaka yote ya nyuma, tumekuwa tukiielezea Ubaya wa Mwendazake Magufuli.
Na usiwa jengee nyumba família ya Magufuli kwa kuwa nyumba hujengewa Rais na sio família yake.
Na sio vibaya nyumba ya Mwinyi na Kikwete zika taifishwa, zili jenga kwa ufisadi wa Mwendazake. Kwani sasa hivi Mwinyi na Kikwete wanalala njee?
Hakikisha unafungulia Mbwa kuhusu usalama, tunakuomba Kibiti I rudi haraka. Tumeanza kuimiss ilikuwa hali ile, ilikuwa ikitupatia raha.
Madawa ya kulevya yalitupatia maisha bora na kuimarisha afya za vijana wetu. Pamoja na hayo pesa ilikuwepo kila mahala.
Halalisha wizi wa mali ya uma ili tusisutane kila mtawala akiondoka madarakani, tulimsakama Kikwete kumbe ni kitu cha kawaida.
Ondoka msisitizo wa Kiswahili katika nchi zetu, na utumishi wa umma. Sio lugha ya lazima.
NGO zinazo promote Ushoga ziruhusiwe tuu, na ikiwezekana pawe na mtaalamu wa Ushoga tangu shule za msingi. Na hata hivyo mbona wasagaji na masenge tunaishi nao mitaani, na shuguli zina kwenda.
Ikulu ipo Dar es Salaam na ya Dodoma in manufaa gani?
SIMAMISHA KUHIFADHI FEDHA.
Turuhusu uvuvi kama siku za nyumba kwa nini tujibane bane wakati Bahari, Maziwa, mito na mabaya na samaki ni wa kwetu. Kuvua tuu kwa kwenda mbele?.
Fukuza Machinga wote mijini, wapatiwe sehemu ya kufanya biashara ikishindikana wewe Fukuza tuu kwani kabla ya Mwendazake waliishije.
Wizi wa bandarini ni kitu tulikwisha kuzoea miaka nenda rudi, hatuna maumivu tena hata kama hali hiyo ikirudi kwa nguvu.
Sio lazima baba na mama wafanye kazi ili watoto waishi, peleka maendeleo Unguja na Pamba kwa budgeting yetu, ni watoto wetu hao na wala usihofu.
Usihofu Mama yetu, CCM ilichoka vibaya wakati wa Utawala wa Kikwete na bado Wewe na Mwendazake Milishinda.
Jumapili njema.
Si unajua ukiwa kinyonga utaishi vizuri.Kwani vipi tena,maji yamezidi unga ama.