polokwane
JF-Expert Member
- Dec 16, 2018
- 3,361
- 5,842
Nimeona mama akihangaika na haya ya huku mitandaoni; nikuombe mama haya ya mitandaoni haya yatakupotezea sana targets ulizo jiwekea na serikali yako.
Haya yaache huku huku hakuna sababu ya kuhangaika kuyajibu kitaasisi, mitandaoni kuna upuuzi mwingi sana ukisema uanze kuhangaika nayo utajikuta una mengi ya kuyajibia kuliko hata kutekeleza yale ya kiuraisi.
Nikuombe haya achana nayo pita yasome ili upate mwanga lakini usihangaike nayo maana maneno ya mitandaoni ni mengi mengi kweli kweli nikuombe sanaa.
Haya yaache huku huku hakuna sababu ya kuhangaika kuyajibu kitaasisi, mitandaoni kuna upuuzi mwingi sana ukisema uanze kuhangaika nayo utajikuta una mengi ya kuyajibia kuliko hata kutekeleza yale ya kiuraisi.
Nikuombe haya achana nayo pita yasome ili upate mwanga lakini usihangaike nayo maana maneno ya mitandaoni ni mengi mengi kweli kweli nikuombe sanaa.