Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
kwamba umeolewa?Kwamba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwamba umeolewa?Kwamba?
basi natanguliza pole za dhati kwa liyejitoa muhanga kukuoa.Ndio.
Wewe je, umeshaolewa au bado?
Haya sawa.basi natanguliza pole za dhati kwa liyejitoa muhanga kukuoa.
Katika yote uliyoweka hapo, hii ndiyo dhaifu zaidi kwa upande wako.4.Serikali ikusanye kodi biashara iyaachie makampuni binafsi. Pia hela zisifichwe benki kuu zikae kwenye mabenki ya biashara ili watu waweze kukopa na mzunguko wa fedha uwe mkubwa.
Neno laana umelitumia ndivyo sivyo....anyway uonavyo machoni pako ndivyo ulivyo rohoni mwako.Viongozi wa Tanzania wana mambo ya kushangaza sana.Nakumbuka huu mzaha uliondoka na watu lakini bado umerudiwa tena!
Imagine viongozi badala ya kuweka mikakati ya muda mrefu (Long-run strategies)ya kupambana na kirusi cha Corona ili kukizuia kisifanye mutations halafu kiwe hatari kama kile cha India, badala yake wanafanya mizahaa kama hii![emoji1][emoji1][emoji1]
Hivi kama Taifa tuna tatizo gani?Tulikosea wapi?Tuna laana?View attachment 1781239View attachment 1781240
Hamna ni Photoshop tuAise kumbe ni mfupi hivyo[emoji28][emoji28][emoji28]
Vibaya mnoKwa upande mwingine ilitusadia Sana.