Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

UMEMKOSEA HADHI RAIS NENO "ACHA"
Halafu unasema unashauri.
Jifunze kuandika kitu chenye maudhui,pia huna mamlaka yakumpangia Rais ahutubie lini na wakati gani.
Aweza hutubia hats usiku wamanane kupitia vyombo vya habari.

Ndugu mtoa mada fahamu kuwa Rais ni Amiri Jeshi Mkuu,hatendi kiuanaharakati ktk majukumu yake.
 
Uko Wapi Mkuu ambako hakuna Mzunguko..? Badili Channel ...Ikibidi Hama Chama Kabisa, wasikutanie hao...!!
 
UMEMKOSEA HADHI RAIS NENO "ACHA"
Halafu unasema unashauri.
Jifunze kuandika kitu chenye maudhui,pia huna mamlaka yakumpangia Rais ahutubie lini na wakati gani.
Aweza hutubia hats usiku wamanane kupitia vyombo vya habari.

Ndugu mtoa mada fahamu kuwa Rais ni Amiri Jeshi Mkuu,hatendi kiuanaharakati ktk majukumu yake.
👍👍
 
Si ushauri mzuri. Mimi sikubaliani nawe..

Awe anahutubia wakati wowote anaoona yeye mwenyewe inafaa na hususani kama ana jambo la kusema...

Nionavyo mimi ni kuwa, ipo kasoro kubwa ya hotuba zake nyingi, ya kusema baadhi ya mambo ambayo hapaswi kuyasema hadharani mbele ya subordinates wake...

Mfano leo ktk hotuba yake kwa ma - RAS na RC amesema kitu ambacho kina- expose udhaifu wake na walio chini yake wanaweza kuutumia kumwingiza mkenge ktk baadhi ya maeneo ktk utawala wake...

Alisema "....baadhi yenu (aliowateua) siwajui vizuri, lakini nitaendelea kuwaelewa kidogo kidogo..."

This is untimely statement and it was absolutely not required to be said there in public like that even if it is true..!!

Hii inatupa maswali sana sisi huku nje. Maana kama humjui vizuri mtu uliyemteua wewe mwenyewe na kumpa jukumu nyeti la uRC au uRAS au Uwaziri nk, ikawaje ukamteua...??

Tukumbuke kuwa wengi wa maRC au RAS wanaongoza mikoa mikubwa yenye wakazi (population) wengi na rasrimali nyingi kuliko idadi ya watu wote ambao Rais wa nchi ya Zanzibar yote anaowaongoza...!

Huwezi kulinganisha mathalani mkoa wa DSM, Mwanza, Arusha, Mbeya nk na nchi ya Zanzibar yote kwa idadi ya watu na rasrimali zilizopo ktk kila mikoa hii...

Nasema hivi kwa sababu, RC au RAS ni mtu muhimu na mwenye wajibu na jukumu nyeti na kubwa sana ktk utawala wa nchi hii. Uteuzi wao lazima uwe very carefully scrutinized...

Sasa Rais kukiri hadharani hawajui kwa undani baadhi ya wateule wake hawa inatia shaka kidogo...
SIO KAZI YA RAIS KUWAJUA WATU WOTE,MFUMO WA URAIS KAMA TAASISI UNAWAJUA HAO WATEULE HADI WALIKOZALIWA,HIVYO HAJAKOSEA.Nyie vipi hats wajukuu wake hawajui ila kupitia watoto wake atawajua taratibu.
MSIMPANGIE DELILAH
 
Kumbuka mama chama chetu kinawashabiki wengi ni wamachinga na bodaboda.

Hata mamluki Lowassa alipata kura nyingi zetu wamachinga na bodaboda.

Chama chetu kimeleta biashara kwenye kadi wakati hatuna pesa. Ili kutusaidia ruhusu mzunguko wa pesa na tuweze kununua kadi kwa sh 2500.
"Wakati hatuna pesa"

Wewe na nani?
 
Natoa ushauri kwa rais wa awamu ya sita mhe SSH kuachana na utaratibu huu mbaya uliobuniwa na mwendazake wa kulihutubia taifa kila anapowaapisha viongozi.

Rais SSH ajiwekee utaratibu wake wa kutoa hotuba kwa taifa. Aweza kupanga kulihutubia taifa kila mwezi, kila baada ya miezi 2 ama 3. Mkapa aliweza, na SSH ataweza tu.

Hata anapowaapisha hakuna haja ya kulifanya tukio hilo kuwa live (mubashara). Nyerere, Mwinyi sr, Mkapa na Kikwete hawakufanya utopolo huu wa kuwa kuwaapisha viongozi.mubashara.

Nchi ni yetu sote
Wewe Neuter, wacha kumpangia Mama. Ashasema Rais hakosei na ni kweli anajua anachofanya

Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
 
Natoa ushauri kwa rais wa awamu ya sita mhe SSH kuachana na utaratibu huu mbaya uliobuniwa na mwendazake wa kulihutubia taifa kila anapowaapisha viongozi.

Rais SSH ajiwekee utaratibu wake wa kutoa hotuba kwa taifa. Aweza kupanga kulihutubia taifa kila mwezi, kila baada ya miezi 2 ama 3. Mkapa aliweza, na SSH ataweza tu.

Hata anapowaapisha hakuna haja ya kulifanya tukio hilo kuwa live (mubashara). Nyerere, Mwinyi sr, Mkapa na Kikwete hawakufanya utopolo huu wa kuwa kuwaapisha viongozi.mubashara.

Nchi ni yetu sote
Madhara yake ni yapi? Tueleza basi ili nasisi tumshauri zaidi.
 
Dunia inaenda kasi mubashara ni muhimu.

Ila rundo la wakuu wa mikoa kutinga Dodoma kushuhudia viapo ndio limenishangaza labda kama kuna majukumu mengine!
Wote hao Wakuu wa Mikoa nao pia wamekula perdiem!! Kodi tamu sana!!
 
Mjuba alikaba wafanyabiashara pesa zikaelekezwa kwenye miundombinu.

Kazi ya mama ilikiwa ndogo sana, kushikilia pale pale, ila matumizi yawe tofauti,impact ilikuwa within a week.

Lakini kosa la kwanza lilikuwa kuamini wafanyabiashara sio watu wa kuwacommand.
 
Kumbuka mama chama chetu kinawashabiki wengi ni wamachinga na bodaboda.

Hata mamluki Lowassa alipata kura nyingi zetu wamachinga na bodaboda.

Chama chetu kimeleta biashara kwenye kadi wakati hatuna pesa. Ili kutusaidia ruhusu mzunguko wa pesa na tuweze kununua kadi kwa sh 2500.
Najitahidi Kukuelewa nimeshindwa.
 
Back
Top Bottom