Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Mimi nashauri amtoe kada ccm hapo TTCL alete mru aliebobea telecom ampe nguvu kubadili shirika sio jina tuu ujinga wap .Apige hadi sura mtazamo utendaji na mawazo piga chiniiiii
 
Mama, asilimia kubwa ya chakula cha mmea utafutwa na mizizi. Mti ukiwa na mizizi dhaifu hukosa ustawi na kupelekea kutoa zao dhaifu.

Vivyo ivyo kwa uwongozi wa nchi; kama ubora wa viongozi wa chini ni mdogo, utendaji wa kiongozi wa juu (Rais) na usitawi wake huwa dhaifu.

Bila shaka tunatambuwa hali ilivyokuwa maofisini mwetu, teuzi za wakuu wa idara/Taasisi/vitengo ulivyofanyika. Sehemu kubwa haukuzingatia weledi wa mteuliwa katika kutimiza majukumu yake kisheria.

Hata hapakuangaliwa historia ya mahusiano ya mteuliwa na watumishi kazini. Ni Kamavile UTUMISHI walikuwa wanapelekewa majina ya watu na kulazimishwa kuwaandikia barua ya uteuzi.

Kuna wakuu wa Idara wao ndo kila kitu (mhasibu, mkaguzi wa ndani, afisa mipango, Mtawala n.k).

Kuna wale wanaofanya Kitengo/Taasisi/Idara kama mali ya familia/kabila/mkoa/Kanda. Hawa ni wengi mnoo na pasipochukuliwa hatua mahususi, hali itakuwa sio hali.

Hali hiyo inapelekea kutengwa baadhi ya wafanyakazi na kusingiziwa mengi, matumizi mabaya ya fedha zinazo wanufaisha wachache sehemu husika na kutokuwa na ustawi sehemu ya kazi.

Pia, hali hii ya kubebana inapelekea watu kufanya kazi nje ya taaluma zao na kuharibu kazi

Mama, angalia haya katika Mawizara yetu kama TAMISEMI,NISHATI, AFYA nk, Taasisi zetu kama TANESCO REA, TANROADS n.k.
Naomba Mwenyezimungu akulinde na akuongoze.
Kuna baadhi ya taasisi wanaachiana tu kiurafiki
 
Kweli kabisa. Mwendazake alikuwa anapachika watu kwenye mashirika, idara na vitengo kwa mihemko.
mtoto wa darasa la pili huyu hapa haha ha ha! Yaani wewe unamuona Magufuli tu wakati ku promote watu kunafanywa na watendaji wa eneo husika. Hii ni Kansa ya Nchi nzima ya miaka na miaka. Nakumbuka miaka ya 2007 watu walikuwa wakitaka U DAS tu ukiwa na hela unaupata kiufi unanunua au connection.

Eneo hili ni gumu sana na linahitaji nguvu kubwa sana maana promotion zinafanyika kutokana na mahusiano ya mkubwa na anayemtaka ku mpromote.

Kuna maeneo hata ngazi ya watu kupewa tu ukuu wa shule inategemeana una uhusiano gani na Mkurugenzi. Ni hulka ya Binadamu.

Chenga hizo hata private sector zipo, unakuta promotion unapewa kutokana na relationship uliyo nayo na mkuu wa Idara.
 
Kweli kabisa. Mwendazake alikuwa anapachika watu kwenye mashirika, idara na vitengo kwa mihemko.
nadhani alikuwa achagua watu kwa interest zake. na si kwa qualification.
ukitaka ujue haya.. angalia wakuu wa mikoa aliowachagua kipindi hiko.. wengi ni hovyo
 
Mama Ana kazi kubwa sana...Kufumua Ule Mnyororo sio kazi rahisi...bahati mbaya haya magenge ya utesaji watu hayakua tu kwa Sabaya Kuna Mawizara na Taasisi watumishi wameteswa sana.

Wamenyanyaswa sana ama kwa kuambiwa wako chadema au ndugu zao wako chadema na hivyo kutumia gia hiyo kuwanyanyasa sana...

Mama hili unalijua vizuri anzia ofisi iliyokua yako zamani..Ofisi ya Makamu wa Rais...Unajua Kabisa uongozi wa pale ulivyotenda maovu dhidi ya Wafanyakazi na muundo Tesi ulivyojipanga kuzushia watumishi wasiowataka uongo.
 
Hapo kwenye wakuu wa idara nimemkumbuka AFISA ELIMU Fulani pale RUNGWE,yeye huwa anawafokea walimu Kama watoto wake!!!sijui bado yule Afsa Kama bado yupo ofisini.
 
Habari za wakati huu ndugu zangu.!

Kuna mambo kama siyaelewi kusema ukweli. Toka kifo cha Mwenda zake kuna mambo yanaendelea sielewi yaani sijui ni nini hii ??
Baada ya kifo cha mzee haya mambo yameanza kujitokeza
1. Umeme kukatika katika ovyo
2. Matukio ya kiharifu yameanza kujitokeza.

Swali langu dogo tu, Kwani ni kipi kimebadilika kiasi kwamba haya matukio yaanze kujirudia rudia tena. Ndio mkuu wetu Mama yetu amebadilisha baadhi ya viongozi lakini sehemu kubwa ya uongozi wa Meko upo kazini hadi leo alipobadilisha Mama SSH ni sehemu ndogo mnoo. Ndio naona kama kuna mchezo mchafu unafanywa na watu ili kuonyesha mama hafanyi kazi ili hali mama anafanya kazi hata zaidi ya vile watu walitegemea.
 
Habari za wakati huu ndugu zangu.!

Kuna mambo kama siyaelewi kusema ukweli. Toka kifo cha Mwenda zake kuna mambo yanaendelea sielewi yaani sijui ni nini hii ??
Baada ya kifo cha mzee haya mambo yameanza kujitokeza
1. Umeme kukatika katika ovyo
2. Matukio ya kiharifu yameanza kujitokeza.

Swali langu dogo tu, Kwani ni kipi kimebadilika kiasi kwamba haya matukio yaanze kujirudia rudia tena. Ndio mkuu wetu Mama yetu amebadilisha baadhi ya viongozi lakini sehemu kubwa ya uongozi wa Meko upo kazini hadi leo alipobadilisha Mama SSH ni sehemu ndogo mnoo. Ndio naona kama kuna mchezo mchafu unafanywa na watu ili kuonyesha mama hafanyi kazi ili hali mama anafanya kazi hata zaidi ya vile watu walitegemea.
Huuu ni Upumbavuh mpya . Sasa kila jambo ni kufunika kuwa anahujumiwa. So ni weak?
 
Back
Top Bottom