Chendembe
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 444
- 488
Ni Bora mpambavu mwelevu kuliko Mjinga Kama wwWtf?mama yako huyo?Ni rais atumike kama rais msilete mambo yenu ya kudekadeka eti Mama,mama pumbavu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Bora mpambavu mwelevu kuliko Mjinga Kama wwWtf?mama yako huyo?Ni rais atumike kama rais msilete mambo yenu ya kudekadeka eti Mama,mama pumbavu sana.
Tulio lelewa vema tupo sahihi katika Hilo.Samia siyo mama yenu. Achani kujipendekeza na kuabudia watu. Mbona hamkuwaita marais wanaume baba zenu?
Siyo kulelewa vizuri ni kujipendekeza. Mbona Magufuli na waliomtangulia baba zetu.Tulio lelewa vema tupo sahihi katika Hilo.
Jitafakari
Angekuwa huyo Rais ni Mama yako mzazi ungeongea hayaMiongoni mwa matumizi mabaya ya madaraka na ufujaji makubwa wa fedha tangu SSH aingie madarakani ni pamoja na matumizi yaliyokithiri ya madege ya ATCL.
Najua wapo wanaosema ni bora ayatumie kuliko kuyapaki! Naomba kupewa sababu zozote za kiuchumi ni kwanini aendekeze matumizi ya madege ya ATCL.
Ndege ya Rais ile ya Jamhuri ya Muungano ipo wapi?
NB: Suala lingine la kupunguza ni kuongea ongea sana tena off script! Na mauzinduzi ambayo PM, VPO, PS na Waziri wanaweza kufanya!
Mkuu you can do better than this! Kwa hiyo kama ni mama yako ndo asafiri kwa madege ya ATCL kwa safari za kikazi??Angekuwa huyo Rais ni Mama yako mzazi ungeongea haya
Au Mkuki kwa nguruwe
Na kwa huyu nae mmeanza vi maneno.Miongoni mwa matumizi mabaya ya madaraka na ufujaji makubwa wa fedha tangu SSH aingie madarakani ni pamoja na matumizi yaliyokithiri ya madege ya ATCL...
Kwahiyo mkuu yeye na watu wake wote unadhani hawajui kuwa Rais ana ndege yake ila wewe tu ndio umeona?Miongoni mwa matumizi mabaya ya madaraka na ufujaji makubwa wa fedha tangu SSH aingie madarakani ni pamoja na matumizi yaliyokithiri ya madege ya ATCL...
Kwa hiyo watu wakae kimya penye matatizo??Na kwa huyu nae mmeanza vi maneno...
Kwa hiyo hizo ndege zilikuja kwa ajili ya kuruka na kutua??Kwahiyo mkuu yeye na watu wake wote unadhani hawajui kuwa Rais ana ndege yake ila wewe tu ndio umeona?!?
Lazima sababu ipo na ungejikita kuijua kwanza badala ya kuanza kupinga solution wanayotumia wao dhidi ya utaratibu wa kawaida.
Enzi za mwendazake zilikuwa zinampeleka Chato kwa mama, zinamsubiri amalize mapumziko na kumrudisha Dodoma, hizi kelele hazikusikika...Kwa hiyo hizo ndege zilikuja kwa ajili ya kuruka na kutua??
Je, ATCL inalipwa stahiki zake?
Kesho na keshokutwa CAG akisoma ripoti msikatae
Atumie nini sasaMiongoni mwa matumizi mabaya ya madaraka na ufujaji makubwa wa fedha tangu SSH aingie madarakani ni pamoja na matumizi yaliyokithiri ya madege ya ATCL...
Umeshajua kwanza sababu kwanini hatumii? Iweke hapa kwanza tuanzie hapo.Kwa hiyo hizo ndege zilikuja kwa ajili ya kuruka na kutua??
Je, ATCL inalipwa stahiki zake?
Kesho na keshokutwa CAG akisoma ripoti msikatae
What if atcl benefits Kwa kulipwa gharama za kukodishwa?Miongoni mwa matumizi mabaya ya madaraka na ufujaji makubwa wa fedha tangu SSH aingie madarakani ni pamoja na matumizi yaliyokithiri ya madege ya ATCL....
Ingependeza zaidi.What if atcl benefits Kwa kulipwa gharama za kukodishwa?
Na hapo mwanzo kabla yake ulikuwa unatoa ushauri?Kwa hiyo watu wakae kimya penye matatizo??