Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Ukimsikiliza Makonda unaona kabisa ana uelewa na uthubutu wa kusukuma mambo ya msingi.

Mh.Rais Samia kama hutojali wewe Mteue Makonda awe Waziri Mkuu wako baada ya 2025.

Anaweza kuwasukuma Mawaziri wakawa wanashughulikia kero kama anavyofanya kulingana na ratiba ambayo atawapangia then wewe utapumua.

Baadhi ya mambo Kwa Sasa hayaendi Kwa sababu PM wa Sasa hana ujasiri wa kuwasimamia Mawaziri wenzake.

Ukiangalia kwenye Serikali Yako Mawaziri walau wanafanya kazi ya dhati ya Kumsaidia Rais ni

Bashungwa, Mchengerwa,Mavunde,Ulega,Aweso,Bashe na Naibu wa Uchukuzi.Waliosalia utawaona kwenye matukio tuu.

View: https://youtu.be/VpKhMRf7Oe4?si=0XsIzlSOD8QBIXaQ
Pili tubadili Muundo wa Wakuu wa Mikoa na Wilaya Ili wawajibike zaidi,Kwa sababu haiwezekani kero zimejaa na miradi imekwama na wao wapo na hawachukui hatua.Tuwape Nguvu za kimaamuzi Kwa kubadili muundo wa nafasi zao.

Mwisho Kwa Makonda umecheza kama Pele.

very visionary and focused suggestion👊
 
Ukimsikiliza Makonda unaona kabisa ana uelewa na uthubutu wa kusukuma mambo ya msingi.

Mh.Rais Samia kama hutojali wewe Mteue Makonda awe Waziri Mkuu wako baada ya 2025.

Anaweza kuwasukuma Mawaziri wakawa wanashughulikia kero kama anavyofanya kulingana na ratiba ambayo atawapangia then wewe utapumua.

Baadhi ya mambo Kwa Sasa hayaendi Kwa sababu PM wa Sasa hana ujasiri wa kuwasimamia Mawaziri wenzake.

Ukiangalia kwenye Serikali Yako Mawaziri walau wanafanya kazi ya dhati ya Kumsaidia Rais ni

Bashungwa, Mchengerwa,Mavunde,Ulega,Aweso,Bashe na Naibu wa Uchukuzi.Waliosalia utawaona kwenye matukio tuu.

View: https://youtu.be/VpKhMRf7Oe4?si=0XsIzlSOD8QBIXaQ
Pili tubadili Muundo wa Wakuu wa Mikoa na Wilaya Ili wawajibike zaidi,Kwa sababu haiwezekani kero zimejaa na miradi imekwama na wao wapo na hawachukui hatua.Tuwape Nguvu za kimaamuzi Kwa kubadili muundo wa nafasi zao.

Mwisho Kwa Makonda umecheza kama Pele.

Mbona unazunguka sana, kwanini Makonda asiwe ndiyo Rais!
 
Mbona unazunguka sana, kwanini Makonda asiwe ndiyo Rais!
Tumeshapata uzoefu wa Rais mkurupukaji.na dhaifu wa hisia ila mwenye uthubutu.

Aliharibu Nchi zaidi kuliko kujenga.Huyi akiwa PM anaweza kudhibitiwa na mambo yaka balance
 
Wewe hunaga akili kabisa ndugu yangu.
Hongera kwa kuwa na ndugu asie na akili lakini naona aibu mimi kuwa na ndugu wa kiume anayemlamba makalio mwanaume mwenzie kwa udi na uvumba na kumfanya godfather untouchable ambaye hakosei na hafai kurekebishwa. Mjinga wewe
 
Mimi silogeki Wala silipwi na Makonda simfahamu zaiis ya kumuona kwenye kioo
Mkishaona mtu anapiga kelele jukwaani kama Makonda, Chalamila, Sabaya na Magufuli basi ndio kipimo chenu kwamba anafaa kuwa kiongozi wa nchi?! Kuweni makini kuna watu wengi wenye uwezo, weledi na maadili la sivyo tutaongozwa na wapiga debe wa vyama na nchi itakwenda mrama. Na hili ndiolo kosa letu watanzania: kuongozwa na wapiga debe, wenye weledi wanafichwa mbali, ndio kosa la jamii ya kitanzania na ndilo kiini cha matatizo yetu.
 
Ukimsikiliza Makonda unaona kabisa ana uelewa na uthubutu wa kusukuma mambo ya msingi.

Mh.Rais Samia kama hutojali wewe Mteue Makonda awe Waziri Mkuu wako baada ya 2025.

Anaweza kuwasukuma Mawaziri wakawa wanashughulikia kero kama anavyofanya kulingana na ratiba ambayo atawapangia then wewe utapumua.

Baadhi ya mambo Kwa Sasa hayaendi Kwa sababu PM wa Sasa hana ujasiri wa kuwasimamia Mawaziri wenzake.

Ukiangalia kwenye Serikali Yako Mawaziri walau wanafanya kazi ya dhati ya Kumsaidia Rais ni

Bashungwa, Mchengerwa,Mavunde,Ulega,Aweso,Bashe na Naibu wa Uchukuzi.Waliosalia utawaona kwenye matukio tuu.

View: https://youtu.be/VpKhMRf7Oe4?si=0XsIzlSOD8QBIXaQ
Pili tubadili Muundo wa Wakuu wa Mikoa na Wilaya Ili wawajibike zaidi,Kwa sababu haiwezekani kero zimejaa na miradi imekwama na wao wapo na hawachukui hatua.Tuwape Nguvu za kimaamuzi Kwa kubadili muundo wa nafasi zao.

Mwisho Kwa Makonda umecheza kama Pele.

Huyu msukuma namkubali sana
 
Ngoja nimwite kaka yake bwana
Pascal Mayalla
Asante kuniita
Ukimsikiliza Makonda unaona kabisa ana uelewa na uthubutu wa kusukuma mambo ya msingi.

Mh.Rais Samia kama hutojali wewe Mteue Makonda awe Waziri Mkuu wako baada ya 2025.

Anaweza kuwasukuma Mawaziri wakawa wanashughulikia kero kama anavyofanya kulingana na ratiba ambayo atawapangia then wewe utapumua.

Baadhi ya mambo Kwa Sasa hayaendi Kwa sababu PM wa Sasa hana ujasiri wa kuwasimamia Mawaziri wenzake.

Ukiangalia kwenye Serikali Yako Mawaziri walau wanafanya kazi ya dhati ya Kumsaidia Rais ni

Bashungwa, Mchengerwa,Mavunde,Ulega,Aweso,Bashe na Naibu wa Uchukuzi.Waliosalia utawaona kwenye matukio tuu.

View: https://youtu.be/VpKhMRf7Oe4?si=0XsIzlSOD8QBIXaQ
Pili tubadili Muundo wa Wakuu wa Mikoa na Wilaya Ili wawajibike zaidi,Kwa sababu haiwezekani kero zimejaa na miradi imekwama na wao wapo na hawachukui hatua.Tuwape Nguvu za kimaamuzi Kwa kubadili muundo wa nafasi zao.

Mwisho Kwa Makonda umecheza kama Pele.

Naunga mkono hoja, mimi nilimpangia Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze... sasa kwa vile sasa ni Mama, wengi wanadhani 2025 ni Mama, only if sauti HII sio sauti ya kweli, ikitokea ikawa ni sauti ya kweli, then 2025 dogo atafiti sana kwa PM post, kisha 2030 kule top!.

Huyu dogo ni reincarnation ya JPM! Bado kuna ubishi kuwa hiki ni chuma? Je, chuma hiki ni chuma kingine ila ni kama kile au chuma hiki ni kile kile kimerejea kivingine?

Nilieleza Nikimwangalia Makonda, mambo anayoyafanya namuona kama Magufuli

Alipoteuliwa alianza moto sana hadi kwa kujisahau akajiona yeye ni level ya Maza hadi kumpanda kichwani Katelefoni!, tukamshauri Pongezi Paul Makonda kuifufua CCM kwa amsha amsha. Twende mdogomdogo ngoma ikivuma sana inakaribia kupasuka!

P
 
WATU WASAHAULIFU SANA MMESHASAHAU UNALOZI WA MAREKANI BADO WAMETUNZA ULE USHAIDI WAO WA DHULUMA DHIDI YA UHAI.
MSJIZIME DATA JINAI HAIFI
 
Ukimsikiliza Makonda unaona kabisa ana uelewa na uthubutu wa kusukuma mambo ya msingi.

Mh.Rais Samia kama hutojali wewe Mteue Makonda awe Waziri Mkuu wako baada ya 2025.

Anaweza kuwasukuma Mawaziri wakawa wanashughulikia kero kama anavyofanya kulingana na ratiba ambayo atawapangia then wewe utapumua.

Baadhi ya mambo Kwa Sasa hayaendi Kwa sababu PM wa Sasa hana ujasiri wa kuwasimamia Mawaziri wenzake.

Ukiangalia kwenye Serikali Yako Mawaziri walau wanafanya kazi ya dhati ya Kumsaidia Rais ni

Bashungwa, Mchengerwa,Mavunde,Ulega,Aweso,Bashe na Naibu wa Uchukuzi.Waliosalia utawaona kwenye matukio tuu.

View: https://youtu.be/VpKhMRf7Oe4?si=0XsIzlSOD8QBIXaQ
Pili tubadili Muundo wa Wakuu wa Mikoa na Wilaya Ili wawajibike zaidi,Kwa sababu haiwezekani kero zimejaa na miradi imekwama na wao wapo na hawachukui hatua.Tuwape Nguvu za kimaamuzi Kwa kubadili muundo wa nafasi zao.

Mwisho Kwa Makonda umecheza kama Pele.

CHAWA kama CHAWA.
 
Ukimsikiliza Makonda unaona kabisa ana uelewa na uthubutu wa kusukuma mambo ya msingi.

Mh.Rais Samia kama hutojali wewe Mteue Makonda awe Waziri Mkuu wako baada ya 2025.

Anaweza kuwasukuma Mawaziri wakawa wanashughulikia kero kama anavyofanya kulingana na ratiba ambayo atawapangia then wewe utapumua.

Baadhi ya mambo Kwa Sasa hayaendi Kwa sababu PM wa Sasa hana ujasiri wa kuwasimamia Mawaziri wenzake.

Ukiangalia kwenye Serikali Yako Mawaziri walau wanafanya kazi ya dhati ya Kumsaidia Rais ni

Bashungwa, Mchengerwa,Mavunde,Ulega,Aweso,Bashe na Naibu wa Uchukuzi.Waliosalia utawaona kwenye matukio tuu.

View: https://youtu.be/VpKhMRf7Oe4?si=0XsIzlSOD8QBIXaQ
Pili tubadili Muundo wa Wakuu wa Mikoa na Wilaya Ili wawajibike zaidi,Kwa sababu haiwezekani kero zimejaa na miradi imekwama na wao wapo na hawachukui hatua.Tuwape Nguvu za kimaamuzi Kwa kubadili muundo wa nafasi zao.

Mwisho Kwa Makonda umecheza kama Pele.

Bila shaka hapo ndio kila kitu kitaaendamoo mraaamaaa😝
 
Mkishaona mtu anapiga kelele jukwaani kama Makonda, Chalamila, Sabaya na Magufuli basi ndio kipimo chenu kwamba anafaa kuwa kiongozi wa nchi?! Kuweni makini kuna watu wengi wenye uwezo, weledi na maadili la sivyo tutaongozwa na wapiga debe wa vyama na nchi itakwenda mrama. Na hili ndiolo kosa letu watanzania: kuongozwa na wapiga debe, wenye weledi wanafichwa mbali, ndio kosa la jamii ya kitanzania na ndilo kiini cha matatizo yetu.
Naunga mkono hoja... sijui huo uwezo wa huyu mwenezi wanauona kwenye nini hasa ukiacha hizo siasa za majukwaani. Hana vision ya leadership ni mtoa taarifa tuu.. sioni weledi wake kwenye nafasi za juu za uongozi.
Wabongo tukue kimaarifa na kujua nani anafaa kuwa kuongozi na kwa vigezo vipi?
 
Naunga mkono hoja... sijui huo uwezo wa huyu mwenezi wanauona kwenye nini hasa ukiacha hizo siasa za majukwaani. Hana vision ya leadership ni mtoa taarifa tuu.. sioni weledi wake kwenye nafasi za juu za uongozi.
Wabongo tukue kimaarifa na kujua nani anafaa kuwa kuongozi na kwa vigezo vipi?
Waziri Mkuu anatakiwa kuwa na Vision ipi zaidi ya Kusimamia Maono ya Rais na Vision ya Nchi? Hiyo kazi Makonda anaiweza ila nyie mnamuogopa sana Kwa sababu mnajua hacheki na Kima.
 
Ukimsikiliza Makonda unaona kabisa ana uelewa na uthubutu wa kusukuma mambo ya msingi.

Mh.Rais Samia kama hutojali wewe Mteue Makonda awe Waziri Mkuu wako baada ya 2025.

Anaweza kuwasukuma Mawaziri wakawa wanashughulikia kero kama anavyofanya kulingana na ratiba ambayo atawapangia then wewe utapumua.

Baadhi ya mambo Kwa Sasa hayaendi Kwa sababu PM wa Sasa hana ujasiri wa kuwasimamia Mawaziri wenzake.

Ukiangalia kwenye Serikali Yako Mawaziri walau wanafanya kazi ya dhati ya Kumsaidia Rais ni

Bashungwa, Mchengerwa,Mavunde,Ulega,Aweso,Bashe na Naibu wa Uchukuzi.Waliosalia utawaona kwenye matukio tuu.

View: https://youtu.be/VpKhMRf7Oe4?si=0XsIzlSOD8QBIXaQ
Pili tubadili Muundo wa Wakuu wa Mikoa na Wilaya Ili wawajibike zaidi,Kwa sababu haiwezekani kero zimejaa na miradi imekwama na wao wapo na hawachukui hatua.Tuwape Nguvu za kimaamuzi Kwa kubadili muundo wa nafasi zao.

Mwisho Kwa Makonda umecheza kama Pele.

suluhisho ni Katiba Mpya
 
Mkishaona mtu anapiga kelele jukwaani kama Makonda, Chalamila, Sabaya na Magufuli basi ndio kipimo chenu kwamba anafaa kuwa kiongozi wa nchi?! Kuweni makini kuna watu wengi wenye uwezo, weledi na maadili la sivyo tutaongozwa na wapiga debe wa vyama na nchi itakwenda mrama. Na hili ndiolo kosa letu watanzania: kuongozwa na wapiga debe, wenye weledi wanafichwa mbali, ndio kosa la jamii ya kitanzania na ndilo kiini cha matatizo yetu.

Kabisa, ukiona kigezo Cha huyu mleta Uzi kuwa Makonda anaweza kuwa waziri mkuu, ni kwakuwa anaweza kufanya maigizo ya kuwafokea watendaji hadharani. Kumbe kufoka katika kusaka sifa, ni tofauti na uwajibikaji wenye tija.
 
Back
Top Bottom