Bilioni 97 zimeokolewa hadi sasa. Hii ni pesa ya mlipa kodi ambayo ingetumiwa kwa safari za nje na watumishi wa umma.
Ukiwa unaendelea kumdhihaki Dkt Magufuli hapa, yeye anaendelea kubana mianya ya upigaji hela iliyokuwa ikitumiwa na watendaji wa serikali na kuzidisha nguvu zaidi katika makusanyo ya kodi. Lengo ni kutimiza kila ahadi aliyoahidi wakati wa kampeni.
Hadi sasa navyoandika hapa, shule zote nchini kuanzia darasa la 1 hadi kidato cha nne zimepewa waraka wa kupigwa marufuku kuchangisha wanafunzi michango ya aina yoyote ile. Mwanao akikuomba hela ya mchango kuanzia sasa ujue anataka kukuingiza mjini tu.
#HapaKaziTu