Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Status
Not open for further replies.
Wewe usimsababishie Kimei matatizo... Baraza la Mawaziri halijatangazwa mpaka leo, watu aliowaamini kabisa akipitia records/mafaili yao anakuta ni majipu yanayohitaji tumbuliwa.

Muacheni Raisi aongozwe na Mungu.
 
Huu Ni ushauri wangu kwa kasi yako ya kiuongozi Dr kimei atakufaa kwani Ni msomi aliyebobea katika masuala ya uchumi na fedha,mbunifu na mchapakazi anaweza kupanga mikakati uchumi WA nchi ukapaa.vilevile sio mwanasiasi ni mtendaji .

usituletee kichefuchefu hapa
 
Acha ushoga wako wewe punga
 

Huyo jamaa ni kimeo
 

Umeandika kungereza kizr an mpk ninetmani ungekuwa ndg yangu
Tatzo wabongo ukiwa upinzani unakuwa adui Na adhabu yako ni kufanya kama vile Mawazo
 

Lizaboni we ni sawa na kinyesi maana hupendi kusikia mtu anampenda lowasa sasa kama msingeiba mngesoma namba.hizo hela alizochangisha wafanyakazi una uthibitisho? afterall we mburura mchango wa mfanyakazi ungesaidia kiasi gani ktkt kampeni kama sio uongo mtukufu nyamaafu mkubwa
 
Kimei huyu huyu anayeajiri watu CRDB kwa ubaguzi wa kabila, ukiwa mchaga CRDB ndio una uwezekano mkubwa wa kuajiriwa ata kama ambaye siye mchaga amekudhidi vigezo. Sipendi watu wakabila na wadini ata kama ni wa kwetu kwani hivyo ni vyanzo vya migogoro na matabaka. Kimei hafai kabisa labda aongoze umoja wa wac...
.ga
 

Tupilia mbali swala la yeye kumuunga mkono Lowassa, hata vigezo vya kuwa ndani ya serikali ya JPM hana, sijui wewe unamfahamu vipi huyu bwana,au unadhani kila mtu mwenye PhD anafaa kuwa kiongozi Wa umma?
 

hakuna mwenye jeuri ya kumuondoa zaidi wa wazungu waliomuamini wakamkabidhi benk yao,au kwa akili yako unadhani kimei ni mteule wa rais, la hasha hakubebwa yule bali wazungu walimuona anatenda vizuri wakampa na maeipaisha ile benk hadi wazungu wameona wamuache apige mzigo
 
Huyo ni mkabila sana.angalia alivyorundika wachaga wenzio crdb.
 

pamoja na kumsifia hatumtaki kama bora mpe mtoto wako amuoe
 

SIO WAKATI WAKE!,MAGJFULI NA LOWASSA WANAKUNYWA BAA MOJA,TOFAUTISHA WAKATI WA KAMPENI NA WAKATI HUU,WAKATI WA KAMPENI KILA MTU ALIKUWA UPANDE FULANI/ ITS OVER!
C.KIMEI,NI SAFI NA ANAFAA.
ii
 
Bila shaka Dr kimei alichofanya CRDB kufanya Bank Giant hapa nchini na kutia jambajamba hata bank za kigeni hata kwenye kulipa mshahara Dr Kimei ni bonge la CEO akipewa nafasi Tutatoboa

Sasa hivi ni zamu ya kanda ya ziwa! Kaskazini mlishanufaika sana na keki ya taifa sasa kaeni pembeni kwanza!
 
Tupilia mbali swala la yeye kumuunga mkono Lowassa, hata vigezo vya kuwa ndani ya serikali ya JPM hana, sijui wewe unamfahamu vipi huyu bwana,au unadhani kila mtu mwenye PhD anafaa kuwa kiongozi Wa umma?

Ndio maana nikasema 'kama anakidhi vigezo na achaguliwe tu' tribal and religious blindness included.
 
Huyu hafai hafai kabisa. Hata kwao huku Kilimanjaro hatumtaki kakwapua fedha za crdb.bila aibu hapa kajenga majumba magorofa na kanisa la gorofa kwa sababu ya roho yake mbaya hakai mtu yeyote wala hakuna anaye sali hapa...huyu kimei ni tatizo. Hatufai hata kidogo.
 
Huu Ni ushauri wangu kwa kasi yako ya kiuongozi Dr kimei atakufaa kwani Ni msomi aliyebobea katika masuala ya uchumi na fedha,mbunifu na mchapakazi anaweza kupanga mikakati uchumi WA nchi ukapaa.vilevile sio mwanasiasi ni mtendaji .

Nani kakwambia anafaa wala asithubutu
 
Huu Ni ushauri wangu kwa kasi yako ya kiuongozi Dr kimei atakufaa kwani Ni msomi aliyebobea katika masuala ya uchumi na fedha,mbunifu na mchapakazi anaweza kupanga mikakati uchumi WA nchi ukapaa.vilevile sio mwanasiasi ni mtendaji .

Dr. Kimei ni CEO wa a giant bank hapa nchini, anavuta super salary ya 100 milion plus!, wakati Dr. Magufuli ni mjamaa na mbana matumizi, jee ataweza kumlipa Dr. Kimei?!. Yaani umtoe mtu kwenye neema, umtupe kwenye dhiki?!.

Pasco
 

RECORD MATTERS..!!
UNAYEMCHAGUA AMEWAHI KULETA UFANISI KTK LIPI?,AMBALO NI LA PUBLIC?/ TUNAWEZA CHAGUA MTU TU,ALIYESTAWISHA FAMILIA YAKE HAKAWA HAWEZI KUSTAWISHA GENERAL PUBLIC....!!
ii
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…