Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Status
Not open for further replies.
Naunga mkono hoja 100% .... Kagasheki ni Kiongozi shupavu asieyumbishwa ... Watampa ? Maana watu wa Dini yake hawatakiwi ...
hivi wale wachina alioshiriki kuwakamata kule mikocheni kesi yao imefikia wapi ? hayo mambo yako ya dini ni uongo tu , mbona kasimu kawa pm ?
 
Hivi watu mnakuwa na akili ...gani...ndio maana ccm wanawafanya gunia la Mazoezi yaani nchi hii tuko watu zaidi 45ml kwahiyo wt hawafai ila arudishwe kagasheki duh....
 
Je hakuna watu wapya wanaoweza kuaminika na kuifanya hiyo kazi kwamaarifa zaidi. Magufuli bila shaka atamteuwa mtu anayefaa muda ukifika.
 
Hii hoja naunga mikono na miguu...

Kagasheki aliondolewa sbb ya Nyalandu na wawindaji wenzake kumfanyia hujuma... Nyalandu hafai kabisa kabisaaa...

Magufuli atamkumbuka tu Kagasheki na kumpa Wizara...
 
Kwani hakuna kazi nyingine? anaweza kutumia uchapa kazi wake sehemu nyingine kuleta maendeleo sio lazima awe waziri
 
Katika wabunge wa CCM wachache waliokua wakifanya kazi zao kwa weledi wa hali ya juu basi ni Khamis Kagasheki, alikuwa ana uchungu sana na maliasili hasa majangili waliokuwa wanahatarisha usalama wa wanyama pori hasa tembo, alisimama kidete hadi kuforce operesheni tokomeza kuanza ni bahati mbaya watekelezaj vyombo vya ulinzi ndio vilivyoharibu kwa kukosa weledi wa walichotakiwa kukifanya na Kagasheki kama kanuni ya collective responsibility akajiuzulu huku wengi tukijua kosa halikuwa lake per se.

Nadhani ni muda muafaka kwa serikali iliyodhamiria kufanya kazi ya Magufuli kurudisha hili jembe mahal husika, yule bishoo Nyalandu hana lolote ndio walewale wana conflict of interest na sekta ya utalii kinyume na kanuni za utumishi wa umma.



Kagasheki hafai kwa ubunge ama uongozi wowote, huyu jamaa ni mwizi asiye na akili. Alitumia madaraka vibaya sana kipindi yuko anacheza na maliasili kudhania wanyama wa Tanzania ni mali yake na waaarab.
 
Kwa dalili tu naona ni zamu ya kutumbua jipu la TRL sababu TPA na TRL zina aina moja ya majipu.
 
raisi JPM anatakiwa pia kushughulikia tanesco kila siku ikifika saa moja jioni umeme lazima ukatwe mpaka saa sita usiku hili suala la kuangaliwa jamani
 
Naunga mkono 100%. Kama.Magufuli anasikiliza kilio cha wengi huyu ni mtu muhimu asiypaswa kumuacha. Chini ya serikali.iliyopita huyu jamaa aliondoka kwa husuda maana alikuwa anawabana wengi. Bado nina imani na uchapakazi wake na kweli alikuwa na nia ya dhati kuiedeleza hiyo wizara.
 
Katika wabunge wa CCM wachache waliokua wakifanya kazi zao kwa weledi wa hali ya juu basi ni Khamis Kagasheki, alikuwa ana uchungu sana na maliasili hasa majangili waliokuwa wanahatarisha usalama wa wanyama pori hasa tembo, alisimama kidete hadi kuforce operesheni tokomeza kuanza ni bahati mbaya watekelezaj vyombo vya ulinzi ndio vilivyoharibu kwa kukosa weledi wa walichotakiwa kukifanya na Kagasheki kama kanuni ya collective responsibility akajiuzulu huku wengi tukijua kosa halikuwa lake per se.

Nadhani ni muda muafaka kwa serikali iliyodhamiria kufanya kazi ya Magufuli kurudisha hili jembe mahal husika, yule bishoo Nyalandu hana lolote ndio walewale wana conflict of interest na sekta ya utalii kinyume na kanuni za utumishi wa umma.

Nyalandu je atapewa wizarani gani?
 
Enzi hizo zimepita. Ajibu lile swali utalii uliingiza shs ngapi?
Hana lolote pamoja na Promo zenu.
 
Kwani lazima awe yeye tu? hebu mnipishe huko, Magufuli weka mtu mwingine hapo! Mbona wapo wengi tu, akina Luhaga (ingawa ni kasuluja), Kangi Lugola, Kigwangallah, Muhongo, Mwigulu, Serukamba, rafiki yangu Angela Kairuki, wote hao ni watu na wana sifa za kuifanya hiyo kazi. Kila zama na kitabu chake bwana mwacheni apumzike!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom