Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Status
Not open for further replies.
Hapo ndipo unapoona ubaguzi kwa moderators wa jf. Kwa nini uzi huu usiunganishwe kwenye ule uzi wa Faiza foxy
 
Hivi ccm haina watu wengine ?

Mkuu hilo ndo swali. CCM hakuna tena wengine? Kuna haja gani kwenda chambua makapi ya mwenzio wakati kapu limejaa tele? Tatizo letu ni watu kujimulikisha mulikisha angalao wakumbukwe. Sorry
 
Naunga mkono asilimia 100. Rais Magufuli tafadhali mrejeshe kagasheki. Huyu mtu makini sana.
 
Apewe mtoto wa mkwere maana wakwere watu poa sana sio kagasheki
 
Mkuu hilo ndo swali. CCM hakuna tena wengine? Kuna haja gani kwenda chambua makapi ya mwenzio wakati kapu limejaa tele? Tatizo letu ni watu kujimulikisha mulikisha angalao wakumbukwe. Sorry
hueleweki .
 
Kwanini watu wale wale kati ya mamilioni ya watanzania? Wengine nao wapewe nafasi.
Waliowahi kutumikia taifa huko nyuma, tuwashukuru na watumie uzoefu wao kusaidia jamii huko walipo!
 
Katika viongozi wa awamu iliyopita nilifurahishwa sana na utendaji wa naibu wazi wa tamisemi ndugu Agrey Mwanri kwakweli ni mtendaji mahiri ila nimeshangaa kwanini amekosa ubunge kule kwao ina maana hawaoni uwajibikaji wake?

Naomba muheshimiwa rais umwone huyu ndugu kwani atakufaa kwenye kikosi chako hasa mambo ya ndani.
 
kama hajawatimizia wananchi wake maendeleo,wangemrudisha wa nini? kwani alikuwa na hatimiliki ya jimbo.
 
Ila kusema kweli Mwanri yuko vizuri.I feel sorry for him kukosa Ubunge
 
Katika viongozr wa awamu iliyopita nilifurahishwa sana na utendaji wa naibu wazi wa tamisemi ndugu agrey mwanri.kwakweli ni mtendaji mahiri ila nimeshangaa kwanini amekosa ubunge kule kwao.ina maana hawaoni uwajibikaji wake?naomba muheshimiwa rais umwone huyu ndugu kwani atakufaa kwenye kikosi chako hasa mambo ya ndani.

Nyie mnamuona ni mtendaji mzuri,ila jimbo alilisahau sana na pia akajiona kama Mungu mtu jimboni na dharau nyingi kwa wapiga kura wake.Sisi waSiha hatutaki mtu kudharau hadi wamama ambao ni sawa na mama yako,au kuwaambia wazee wetu kua hawakusomesha vijana wao,hivyo bado ww utaendelea kushikilia ubunge ww na familia yako.
 
Nchi hii ukitaka kupigwa vita basi simamia haki kwa nguvu zako zite! Kipande Madeni alipowakazia wapigaji wa Bandari alipigwa vita sana ikafikia hatua Gazeti la jamhuri kila front page lazima limchafue mara ooh hana mahusiano mazuri na wasaidizi wake mara hana mahusiano na wafanyabiashara sasa akaletwa Masawe watu wote wakapiga kimya kumbe ndo..
 
Kagasheki hafai kwa ubunge ama uongozi wowote, huyu jamaa ni mwizi asiye na akili. Alitumia madaraka vibaya sana kipindi yuko anacheza na maliasili kudhania wanyama wa Tanzania ni mali yake na waaarab.

Wee kweli jamaa mbishi unaandika andika tu bila ushahidi. Aliyeuza wanyama ni Maige siyo Kagasheki huyu alikuja kudhibiti hivi vitendo viovu kupitia operation tokomeza
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom