Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Status
Not open for further replies.
Huko parefu sana mkuu, hawezi fikia, mikwara itaishia huku kwenye maigizoo
 
Tuache utani,kuna majipu yakiguswa mtumbuaji anapokonywa kadi ya chama.Kuna hili jipu la Home Shoping Center,Meli za katibu kwenye kodi au hata ile kashfa ya meno ya tembo,Lake Oil na umilishwaji wa maeneo kwa Mtoto wa Mfalme.Wakuu
Acha uzushi boban,subiri uone moto wa muheshimiwa JPM hadi mlangoni kwako,
 
Tuache utani,kuna majipu yakiguswa mtumbuaji anapokonywa kadi ya chama.Kuna hili jipu la Home Shoping Center,Meli za katibu kwenye kodi au hata ile kashfa ya meno ya tembo,Lake Oil na umilishwaji wa maeneo kwa Mtoto wa Mfalme.Wakuu

Hilo jipu akijaribu hata kulikuna tutamzika chato kesho, hana ubavu huoo
 
Tuache utani,kuna majipu yakiguswa mtumbuaji anapokonywa kadi ya chama.Kuna hili jipu la Home Shoping Center,Meli za katibu kwenye kodi au hata ile kashfa ya meno ya tembo,Lake Oil na umilishwaji wa maeneo kwa Mtoto wa Mfalme.Wakuu

Acha uchokozi arifu
 
Onezea na yale Malori ya Dalbit maana nasikia ni ya Mkwere yale.
 
Lumumba njooni huku, eti ni kweli mtampokonya mtu kadi ya chama kama mijipu ya home shopping na meli za katibu zikipasuliwa?
 
Usikurupuke ndugu,mpe nafasi muheshimiwa JPM atekeleza alivyovipanga,then atazingatia maoni yenu,
 
Duuuuu ila kweli! Magu hebu nenda ''Loliondo'' ukanda wa UAE uliopo Tanzania! hahahaah! Utaporwa kadi ya chama fasta!

Haahaaaaaa...hasa

1: Lake Oil, Lake Gas

2: Meli za Katibu Mkuu..

3: Home Shopping Center.. hili anaweza litumbua sana tu.... na hili i hope lipo in progress...

4: Wauaji wakuu wa Tembo... 🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘

...mdogomdogo..🚶🚶🚶


Hapa tunahitaji wenye kuthubutu, waingie wakachokoze haya mambo Bungeni theni wahusika watafunwe kuanzia huko
 
Ndugu wana jamvi, nadhani wote tupo mamoja katika kusikitikia ubinafsishaji wa maeneo ya wazi. Hili ni tatizo kubw sana. Ukiangalia wanaonunua maeneo ya wazi ni wale ambao tayari wana magorofa ambayo yanaviwanja vya juu kwa ajili ya wajukuu wao. Je mtoto wa mlala hoi atacheza wapi.

Ni dhahiri Mkuu wetu Raisi Dr Magufuli nae hili linamkera. Sasa basi tumuombe atupie jicho katika halmashauri zetu maana hali i mbaya. Tafadhali Mkuu Dr Magufuli usisahau kuanglia halmashauri hizi.
 
Naomba Raisi Atenganishe Shuguli Za Kiserikali Na Za Kisiasa Ili Kuleta Tija, Apige Marufuku Wakuu Wa Mikoa Na Wilaya Kuudhuria Vikao Na Kushiriki Shughuli Za Chama Pia Vyombo Vya Dola,
 
atakaekuzodoa kuwa una mwandiko mbaya ntampa bonge la TUSI %%$##@@%&&&%f6444u!


ujumbe wako umefka vizuri cha muhm subira najua magufuli ataweza!
 
Hapo vipi Wandugu, naona Majipu yanakamuliwa tu, wakiwa wengi wataanza kubishana ooo huyo Mkamue wewe ooooooooooo hilo halijaiva, hawahawa wanatosha
 
Kweli. ziwe mbili tu Wzara ya mambo ya ndani name wizara ya mambo ya nje. Maana mambo ya ndani ita deal na kila kitu cha mdani.
 
NAJUA HUKU UTAKUTANA NA MAWAZIRI NA DILI ZAOO BAADHI WAKUBWA NAO WAMEPITISHA DILI ZAO NA.MAKAMPNI YAO

MH RAIS KWA HESHIMA NA TAADHIMA TUMBUA JIPU HILI FUMUA WAKURUGENZI WOTE USIOGOOE WALIOSE
MA JANA MUNGU NDIE MCHUNGAJI WAKO NA SIO BINADAMU..WALIOIBA WOTEW FUMUUAA..WANASEMA MAJUNGU KWELI WAMEIBA ..KUNAMAJuNGU GANI WAKATI WEZI.SHIDA UMEGUSA NANIIZAO WASIKUTISHEHAO FUMUA NA KESHO ANZA.NA BODI YA TRA ONDOA KABOSA HII..
 
Mpwa hii ni thread ya ngapi kwa leo........andika mambo ya kueleweka, zamani mods walikuwa wanakueditia, sasa wamechoka wanabaki kuvuta tu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…