Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Status
Not open for further replies.
Yaani kwa sasa huo ushauri hauwez sikilizwa halafu ina onekana kila mtu kamuacha tuu afanye anavo taka ,akiumia huko mbele ata omba msaada.
Na ufikiria mwisho wa huyu jamaa halafu sipati picha yaani
 
Huyo SEMBOJA sialikuwepo kwenye Serikali ya mkwere kuna lipi kafanya..Angalau KABUDI lkn nae katulizwa kwenye Uenyekiti wa Bodi ...TIB kama sikosei
 
mkuu umemsahau Dr. Bana (UDSM) [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] JAMAA JASIRI SANA HUYU
 
Yaani kwa sasa huo ushauri hauwez sikilizwa halafu ina onekana kila mtu kamuacha tuu afanye anavo taka ,akiumia huko mbele ata omba msaada.
Na ufikiria mwisho wa huyu jamaa halafu sipati picha yaani

Hapana. Ni vyema tukalisaidia taifa hilo kusonga mbele kwa pamoja... Tusimuache mtu yoyote aongoze nchi hii, hata ingekuwa Mimi..
 
Hapana. Nafkiri alikuwa anachombeza, unajua Rais wetu anapenda sana kuchombeza... Kwa manufaa ya Taifa itamlazimu achukue wanazuoni. Wanasiasa ni waoga sana hawawezi kumshauri..


Je yuko tayari kupokea Ushauri huyo mnayemtafutia washauri?. Pitieni hotuba zake utaona kuwa hakuna harufu yoyote ya washauri-lugha ya Raisi kwenye hotuba inakupa ladha na hisia ya kutosha kuwa Raisi kama Taasisi iko sawa au lah!
 
Huyo SEMBOJA sialikuwepo kwenye Serikali ya mkwere kuna lipi kafanya..Angalau KABUDI lkn nae katulizwa kwenye Uenyekiti wa Bodi ...TIB kama sikosei

Nafkiri umemchanganya na Semboja wa Uongozi Institute... Wa Uongozi bado yupo...

Haji Semboja yeye ni mwalimu wa uchumi UDSM
 
kati ya hao uliowataja, ondoa namba tatu,namba nne na namba mbili. waliobaki labda kidogo. lakini naamini kule ikulu au popote walipo hao wanaomshauri, ni wazuri kuliko hao wote uliowataja hapo. ninyi ndio mnampotezaga sana rais kwa ushauri wenu wa ajabu na watu wa ajabu.
 
Hapana. Ni vyema tukalisaidia taifa hilo kusonga mbele kwa pamoja... Tusimuache mtu yoyote aongoze nchi hii, hata ingekuwa Mimi..
Tatizo anaye pewa ushauri sio watoa ushauri
Sasa kama ana lilia wembe wacha apewe tuu maana hakuna namna
Na yeye alisha sema ngoja ajaribu anayo ya waza kwanza akishindwa ata cheki na mengine
 
Amchukue Pia Dr.Chacha Bhoke Murungu(Pretoria S.A), (UDOM)
 
Tatizo anaye pewa ushauri sio watoa ushauri
Sasa kama ana lilia wembe wacha apewe tuu maana hakuna namna
Na yeye alisha sema ngoja ajaribu anayo ya waza kwanza akishindwa ata cheki na mengine

Hapana Mkuu.... Tumsaidie Rais wote kwa pamoja
 

Je wanauthubutu wa kumshauri?.. Sijui unanielewa
 
Hao wote hawawezi kumsaidia.....
yuko Benno Ndulu.....ndie aliepaswa kumsikiliza kwa masuala yote ya uchumi ..hamsikilizi...
Huyo afadhali wengine ni theorists, by the way Semboja kawa prof lini?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…