Watu mnafanya mambo yenu huko on private basis, afu wewe unakuja kuyaleta hapa. Mbaya zaidi unayaandika na maongezi/conversation kabisa with subjects za hiyo convo.
Naonaga humu baadhi ya watu hudondosha hizi swaga. Hivi hizi huwa ni 'chai' iliyokosa sukari ama huwa ni real happenings?
Coz huwa najiuliza, sasa huyo the other party anayezungumzwa hapa kama naye yupo humu JF si atasoma uzi na kugundua?
Mfano Uzi huu, mleta mada kaweka kabisa mpk convo ya simu walivyokuwa wanachat (hata kama katumia pseudo names), je what if huyo mhusika nayeye yupo humu?
Ama kweli JF ni kama kokoro.
-Kaveli-