Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Status
Not open for further replies.
Mzinifu hupata wazinifu wenzie ... Kwani yeye anauadilifu upi? Anajua amewekwa madarakani kwa style ya wizi wa kura ...
 
Prosper Joseph Mbena, waziri mkuu
 
Mi nadhani mtulie tu kampeini zimekwisha pengine msubili 2020.
 
Anne Kilango tena...yani katika watu wote umeona huyo mama anafaa? Namshauri raisi atumie nafasi zake 10 kuteua watu makini kumsaidia, Kilango sio mmoja wao.
 
Atamchagua Lema ili amtumie kwa ziara za kushtukiza za kulala magerezani
 
Chini ya CCM watanzania wameteseka na kunyanyasika sana ila nashangaa watanzania hawa bado tu wanawapa kura zao.

Mkosamali,popote ulipo, maneno yako Bungeni kuhusu watanzania nitayakumbuka daima.
 
Anne Kilango tena...yani katika watu wote umeona huyo mama anafaa? Namshauri raisi atumie nafasi zake 10 kuteua watu makini kumsaidia, Kilango sio mmoja wao.
Nitashangaa sana huyu anayetajwa na vijana wa bavicha kama Dr mihogo asipokuwemo, labda akatae mwenyewe.
 
aisee magufuli amechukua nchi ikiwa na matatizo mengi sana,
kikubwa wanachi wote tumuunge mkono ktk harakati zake na tumuombee kwa Mola amjaalie atimize ahadi,, tumpe muda Dk JPM atimize kauli mbiu ya "Hapa Kazi Tu!"
 

Siku hizi huyu Mzee Mwanakijiji sielewi uwezo wake umeenda wapi?
 
Last edited by a moderator:

Tuko pamoja kwenye hilo.
 
Hii ni mbaya kama nina bifu na boss si namlipua tu
Magufuli anajua wizi wote.
Bandari stay tuned..

Hiyo njia itafanya wachapakazi wote ndo wapigwe chini.Siku zote wafanyakazi wa umma Tanzania hawapendi kazi wanaenda kazini na kutoka muda wanaotaka.Ikitokea boss akawa anawakaba basi anachukiwa balaa.Sasa kama boss wafanyakazi hawampendi halafu unawapa njia hiyo atapona?Isije kuwa kama enzi zile watu waliambiwa wapige kura wauwaji wa albino na vikongwe mtu anaenda kumpigia mtu kura kwa kuwa ana bifu naye.Serikalini kuna mfumo mzuri tu wa inteligensia na wanajua kila kitu usione wako kimya.
 
Rais wangu Dr. John, pombe Joseph Magufuri, muziki wako unaelekea kukolea naona gita la rizimu limetulia ongeza gita la solo ili muziki ukolee vizuri, tunaomba ubadirishe wafanyakazi kwenye BWAWA la pesa pale WIZARA YA FEDHA na idara zake ukianza na TRA NA HAZINA. Hili ndilo gitaa linalotengeneza muziki, pia kata safisha mitambo chakavu yote ya kurekodia kwani muziki haufiki vizuri kwa walengwa, kuna studio ndogo ndogo hapo kati kati nazo zinaongonzwa na baadhi ya watendaji wakubwa tena wengine ni wakubwa km mibuyu kuyakata unahitaji cheso mpya. mfano kuna mIbuyu pale TRA, BANDARI, DAWASCO, TANESCO, USALAMA WA TAIFA, POLISI NA NK.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…