mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Na aendelee kutumia ilani na sera za ukawa maana ndy anawasomesha # lumumbazKwa ubora wa rais tulienae nakubaliana na wewe kabisa kwa asilimia kubwa tu. Hivi vichwa viwili vinatosha kabisa kuendesha nchi hii, yani rais na PM wake tu.
Ila kwa kuwa rais kaapa kuilinda katiba ya nchi, lazima afanye uteuzi wa mawaziri na manaibu kama katiba inavyo elekeza.