Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Status
Not open for further replies.
Hana impact yoyote ndio maana jimboni kwake wamampumzisha.
 
Nakubaliana nawe...Magufuli aje na special programme ya kuvutia taaluma za vijana na wazee wa Diaspora..awawekee mazingira mazuri na atengeneze serious "pulling factors"...tuwe na database kabisa ya kujua nani yupo wapi na amebobea katika taaluma ipi..kabla ya expatriate kupata kazi hapa tanzania, lazima tuwe tumekosa mtu wa ndani ya tz na hata diaspora..
 
Ukiona mtu ameikimbia nchi yake na kwenda kufanya kazi ughaibuni, ujue huyo sio mzalendo hafai
 
Je, atafanya makosa kama alivofanya JK kumrudisha J.Mbatia kwenye duru za siasa? Nia ya ccm ni kuufifidha upinzani kwa gharama yeyote ile.... Ngoja tusubir muda uamue coz ameshafungua kesi...
 

Mmmmh,ngumu kumeza iyo ndugu
 
Kula hawatoacha kula kwani kuna baadhi yao hawategemei mishahara bali wanafanya na biashara za magendo ikiwemo nyara za serikali na ukwepaji wa kodi. Hivyo kuzuia moja kwa moja ni ngumu labda watapunguza.
 
Mawazo yenu sio mabaya lkn siasa ya kibongo haina wapambanaji wa ukwel ni walewale kila siku
 
Huyo Kafulila hakuwa na lolote la maana....mara kumi Zitto kuliko Kafulila.
 
Huyo wachu hana mana yoyote, ndio mana huku jimboni tumempiga chini.
 

Sasa hua mnailalamikia nini serikali kama inafanya hvyo kwa wananchi?watumishi wote wastaafu ni waTanzania,wanatendewa vyema maisha bora afu we tena unalaumu,taratibu mpaka tutafikia na kupewa hata wale ambao hawakusoma na kufanya kazi,ndo maana unasikia huko ulaya kuna mataifa yanatoa posho kwa raia au huduma za afya bure na elimu,sasa hii ni nchi changa na bado inajitahidi kufanya hayo afu unaleta lawama.sisi waTanzania kwa kweli MUNGU atusaidie
 
Huyo Kafulila hakuwa na lolote la maana....mara kumi Zitto kuliko Kafulila.

Kafulila kateketezwa na Zito baada ya kumwomba ahamie ACT akagoma wakatibuana wakawa maadui wakubwa ndipo Zito akala njama na ccm za kumhujumu kwa njia za kimafia ilkiwemo Goli la mkono.
 
Huyo wachu hana mana yoyote, ndio mana huku jimboni tumempiga chini, anayempenda amchukue akawe mme wake.

Hakupigwa chini kwa kura bali Zito na ccm ndiyo wamemhujumu kwa kupenyeza Goli la mkono.
 

Ugonvi wake na Zito ndiyo umemletea majanga inaelekea alikuwa hajui kuwa Zito ni ccm na akiamua lolote juu yake litawezekana. na sasa Zito yupo busy kuihujumu hiyo rufaa yake mpaka Kafulila ashindwe tena ili aende kumpigia magoti na kuhamia ACT haraka.
 
Mh Rais,watu hawa ni wengi kwa sasa na hawafi mapema ...
Kutokana na hilo napendekeza kulipwa asilimia 10 tu ya mshahara wa aliyeko madarakani !
Good point! eti hawafi haraka he he!!
Hahaha hawafi mapema
wewe jamaa kwahiyo ulitaka wafe???? anyway u have good idea.
Kumbe ni walipwe 10% ili wafe mapema ili serikali iokoe fedha za kuwalipa wastaafu hao?!.
Kama lengo ni wafe mapema baada ya kustaafu, unamaanisha use ya watu hao imemalizika rasmi baada ya kukoma kwa utumishi wao wa umma, ukimaanisha they are better dead than alive?!, hivyo sasa hawana use yoyote bali wanatia hasara tuu?!.

Kwa vile life expectancy ya Mtanzania ni miaka 53 tuu, na umri wa kustaafu ni miaka 60, then ili kuokoa fedha za kuwalipa wastaafu hawa, unaonaje kama serikali ikiweka mekanisim kuhakikisha life ya wastaafu hawa ends at 60 ili mtu akistaafu tuu pia uwe ndio mwisho wa maisha yake, hivyo kutoingizia kabisa hasara serikali yetu?!. (This is very possible kupitia well set cyanide capsules na polonium 360!)

Pasco
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…