laki si pesa.
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 10,003
- 9,755
Bila shaka utakuwa mke wa huyo Kiyabo...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata hivyo Maghufuli kama uko seriou kwa sababu hata watangulizi wako walianza hivi hivi
1.Tutajie mali zako na madeni yako sasa ili siku ukitoka utueleze umetoka na nini
2.Pia ndani ya siku sitini waliobeba fedha kwa viroba pale STANIBIC zile za ESCROW watajwe majina yao na wafunguliwe kesi haraka.
3.Singasinga wa ESROW awe wa kwanza kuhudhuria kesi ya mafisadi shahidi awe Mh Kaulila
3.Mh Kafulila alidishiwe Ubunge wake haraka
Jaman wanabody mnamjua huyu mtu Andy magufuli kwani alikua anafanyaga kazi wapi sio BOT naomba mnisaidie
Tunaunga mkono mpango wako wa kubana matumizi ya serikali ili fedha hizo zikatumike katika kuwasaidia watanzania.
Kuna kundi ambalo ningependa serikali yako kwa kushirikiana na bunge iliangalie,hili ni la wastaafu wa ngazi za juu ambao hata baada ya kustaafu wanaendelea kulamba asilimia 75 ya mshahara wa aliyeko madarakani.Watu hawa wakiwa madarakani hugharamiwa kila kitu na serikali hivyo posho zao na mishahara hawaitumii kabisa na hawakatwi kodi.Baada ya kustaafu wanapata mafao makubwa lakini pia huendelea kulipwa asilimia 75.
Mh Rais,watu hawa ni wengi kwa sasa na hawafi mapema kiukweli,baada ya kustaafu wanaishi zaidi ya miaka 30 na hii ni kutokana na maisha mazuri na huduma bora za afya wanazopata wakiwa madarakani na baada ya kutoka.Wao wakiugua hutibiwa nje na familia zao.
Kutokana na hilo napendekeza baada ya wao kustaafu waendelee kulipwa asilimia 10 tu ya mshahara wa aliyeko madarakani kutoka asilimia 75.
in a long run tutakuwa tumeokoa pesa nyingi sana!
Huyo Kafulila hakuwa na lolote la maana....mara kumi Zitto kuliko Kafulila.
Huyo wachu hana mana yoyote, ndio mana huku jimboni tumempiga chini, anayempenda amchukue akawe mme wake.
Mhe Rais Magufuli,
Ni mapema mno kusema lolote kwa sasa LAKINI naomba niseme in advance. Tunajua kuwa Mhe. Kafulila amefungua kesi Mahakama Kuu huko Tabora kupinga matokeo ya ubunge katika jimbo lake. Endapo hatafaulu katika rufaa hiyo, nakuomba kwa kutumia mamlaka yako ya kikatiba uturudishie kijana huyu katika Bunge letu tukufu. Kila Mtanzania anaweza akakumbuka mchango wake kwenye Bunge lililopita.
Ninakuombea mema katika nafasi yako hiyo mpya na nikupongeze kwa ulivyoanza kazi.
Mtiifu,
Oikos
Mh Rais,watu hawa ni wengi kwa sasa na hawafi mapema ...
Kutokana na hilo napendekeza kulipwa asilimia 10 tu ya mshahara wa aliyeko madarakani !
Good point! eti hawafi haraka he he!!
Hahaha hawafi mapema
Kumbe ni walipwe 10% ili wafe mapema ili serikali iokoe fedha za kuwalipa wastaafu hao?!.wewe jamaa kwahiyo ulitaka wafe???? anyway u have good idea.