Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Status
Not open for further replies.
Aje NCAA na kiboko. Wakikaribia kustaafu wanaiba mabilioni halaf eti ndo wanasimamishwa kazi. Kuna walioiba mwaka jana not less than 5B watu watatu.
 
Serikali is one of the biggest sources od usd demand!! Bvr, foreign trips, mashangingi! !!
 
Bila kusahau Halmashauri zote Tanzania zimeoza kabisa zinanuka halufu ya mzoga plus Kinyesi. DED + DE + DT+ PMU Bandari ni kamfano
 
Yani mtu aharibu asiwajibishwe eti kisa ni muislamu?ujinga wa kiwango cha juu kabisa huu.
 
Naanza na wachache;

1. Shubashi Patel

2. Salum Mpuchu

3. RA

4. R1

5. Home Shopping Centre

6. GMS

Ongeza unao wajua
 

Sio lazima uanzishe thred ndio uonekane upo.

Umeuliza ukajua gharama za umeme zinatokana na nini? Pia TANESCO haipangi gharama za umeme zinapangwa na EWURA, wao wanapendekeza tu bei.
 
anawapa mda wa kurekebisha makosa ili akiwazukia na akakuta makosa ni kufukuza na kuweka ndani tu
 
Silent ocean ndio mkwepaji kodi yaani ipo hivi home hii silent ocean imevaa koti la home shopping center wananchi wanachojua wao ni home shopping center but ndani yake Kuna kampuni kubwa inaitwa silent ocean ofisi zao zipo pale kwenye jengo la tra stesheni labda wawe wamehama hawa wana kwepa kodi na kuzulumu wateja
 
Unapohoji dini za wabadhirifu na kuuliza humu kwa nn hawa wazembe wanaoshughulikiwa sasa ni waisilamu umekosea
Ulitakiwa uhoji nani aliyewapa hizo ajira nyeti ambazo zinahitaji uaminifu uliotukuka kwani ndio lifeline ya sisi watanzania tusiokuwa na viwanda.
 
kichaka cha escrow,iptl,richmond, dowans...

mikataba mibovu, huduma mbovu, chanzo cha ufisadi!!.
 
Naanza na wachache;

1. Shubashi Patel

2. Salum Mpuchu

3. RA

4. R1

5. Home Shopping Centre

6. GMS

Ongeza unao wajua
Weka ushahidi na vielelezo watu wachukue hatua usiongee tu kama mnywa viroba.Au umeshakolea tayari?
 
Acheni mh rais afanye kazi yake...tumpe ushirikiano kwa sasa ila kuanza kuhoji udini ni upuuzi ulio kithiri.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…