commonmwananchi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 3,377
- 1,956
Nenda ukapange Kenya kama vp? Unadhani Nyumba ni kama tako linakuja tu automatic ukivunjwa ungo!! Kama unakerwa sana na kodi olewa!
Acha matusi ya kijinga hizi nyumba hapa duniani ni mapito tu... Si ajabu kesho ukamuacha unayemtusi humu JF kwa ajili ya nyumba ya tofali ukatangulia nyumba ya kudumu KABURINI busara na hekima ni vitu muhimu sana hapa duniani,
Unaweza kununua nyumba lakini huwezi kununua Familia