Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Status
Not open for further replies.
bahati mbaya kwako mie sijasoma kipindi cha ndalichako..sikujua kama najadili na toto la juzi,tuition zimekuharibu wewe,kichwa yako vivu ya kufikiri

Nyerere mwenyewe anasalute sembuse wewe. Hakuna cha tuition wala nini hapa ukweli lazima uwekwe wazi. Na kwa taarifa tu yule mama hakutoka kwa sababu ya islamic exam ni issue nyingine tofauti.
 
Ni maoni YANGU kama mdau WA ELIMU pia katiba ya nchi 1977 ibara ya 18(a) inaniruhusu kutoa MAWAZO YANGU KWA rais wangu. Wizara ya ELIMU inahitaji MTU aliye makini na msomi, pia awe angalau anafahamu changamoto zake.

Kwa heshima na utii ningeomba umrejeshe Mama Ndalichako ama awe katibu mkuu WA Wizara ya ELIMU au umpe UBUNGE kisha awe waziri WA ELIMU.

Wizara ya fedha ukamate mwenyewe, waziri mkuu akamate Utalii, nchi itatoka hapa tulipo.

Nilichopenda tu ni kumuweka benchi the best lobbyist in bongo mzee wa tembo
 
kwa nini kwenye somo hilo tu?

Mwaka huo format ya somo hilo tu ndio ilibadilika. Badala ya paper Tatu zikawa mbili.

Kosa lililotokea ni MTU wa IT alisahau kubadili formula ya mabadiliko hayo kwenye system. Kosa lilipofahamika lilirekebishwa Mara moja.

Suala hilo lilitolewa ufafanuzi na Waziri Shukuru Kawambwa kwa tamko lililotolewa magazetini.
 
Hatutaki wabaguzi wa kiimani serkalini! Huyu mama alitolewa kwa sababu za kubagua wanafunzi wa kiislam kwenye usahihishaji mitihani ya taifa. Hatutaki,taifa limejaa wasomi wengi wenye weledi hatutaki wabaguzi.

Alibagua je waislamu wakati pepa kuna namba tu? Nyie waislamu kama hamsomi mnakalia madrasa unakuja kulaumu hapa. Mbna mnalia lia sana. Sasa hao waislamu wa mwambao wa pwani wako siriaz na masomo kweli?
 
Hatutaki wabaguzi wa kiimani serkalini! Huyu mama alitolewa kwa sababu za kubagua wanafunzi wa kiislam kwenye usahihishaji mitihani ya taifa. Hatutaki,taifa limejaa wasomi wengi wenye weledi hatutaki wabaguzi.
Hili jambo hulijui vizuri pengine nyamaza tu.
 
Hii wizara kama ikweli tunataka ukombozi secta ya elimu basi magufuli ampe aliyekua mkuu wa Haki Elimu Rakesh kuongoza wizara ya elimu. Ni mpambanaji na amekua mdau mkubwa wa elimu Tanzania.
Hili litawezekana kama hatujali kumuona mhindi akiongoza wizara hio.
Naamini atasaidia sana koboreshwa elimu yetu.
Kuhusu Ndalichako labda apewe ukatibu mkuu.
 
nimekurupuka kama nguruwe wako alie kwenye siku zake huko nyuma bandani?

Unakaribishwa kula hujanyimwa maana naona unamtamani kweli. Thread nzima mnazungumzia nguruwe. Kwa hiyo kula nguruwe kwenu ndiyo dhambi kubwa, wakati nyinyi ni wazinzi wa kutupwa, wezi wa mali za umma (rejea majina ya walipitisha makontena), waongo wakubwa na watu wa kutamani wake za watu. Ila we unaona dhambi kubwa kula nguruwe tu. Shame muslims.
 
Hatutaki wabaguzi wa kiimani serkalini! Huyu mama alitolewa kwa sababu za kubagua wanafunzi wa kiislam kwenye usahihishaji mitihani ya taifa. Hatutaki,taifa limejaa wasomi wengi wenye weledi hatutaki wabaguzi.
Sio kweli unaloongea.

Kabla hujaendelea kutoa uliyoyapokea toka kwa wapotoshaji soma tamko hili la Waziri wa Elimu Mh. Shukuru Kawambwa.

attachment.php


Ukishasoma, kama umeelewa vizuri, rudi hapa tuendelee kujadili.
 

Attachments

  • PATA HABARI- KUHUSU MALALAMIKO DHIDI YA MATOKEO YA SOMO LA ISLAMIC KNOWLEDGE KATIKA MTIHANI WA K.jpg
    PATA HABARI- KUHUSU MALALAMIKO DHIDI YA MATOKEO YA SOMO LA ISLAMIC KNOWLEDGE KATIKA MTIHANI WA K.jpg
    339.4 KB · Views: 840
kwa nini alama za mtihani uzigawe kwa tatu badala ya mbili kama utaratibu unaousimamia unavotaka?
Jibu alilitoa Waziri wa Elimu Mh. Shukuru Kawambwa. Soma hapa kisha rudi tujadili...

attachment.php
 

Attachments

  • SERIKALI YATOA TAMKO KUHUSU MALALAMIKO YA MATOKEO YA SOMA LA ISLAMIC KNOWLEDGE .jpg
    SERIKALI YATOA TAMKO KUHUSU MALALAMIKO YA MATOKEO YA SOMA LA ISLAMIC KNOWLEDGE .jpg
    61.5 KB · Views: 405
vilaza wa BRN ukiwaambia habari za ndalichako wanaona ka ma wataambiwa warudie upya mitihani yao
elimu imepoteza thamani ya tafsiri yake ingekuwa elimu ni kufauli mitihani mbona tanzania tungekuwa tumeendelea sana kiteknologia sababu kuna wahitimu wengi tu waliofauli tena kwa kiwango cha juu lakini hawana msaada wowote kwenye kuendeleza technology yetu
 
Huwa wanaelewa hawa!? Hawa hata uwaeleweshe uchi hawaelewi, wamekaririshwa madrassa na mashekh wao baaasi
 
Majuzi nikiwa field Nilikutana na wazee fulani waliosoma naye tangu enzi hizo... Walimsifu sana Ndalichako wakidai 'lina akili lile'
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom