Baba yetu kipenzi chetu, umetuzoeza vibaya sana, haipiti wiki, Hatujakuona Babaaa. Ila sasa yapata Wiki ya pili hatujakutia machoni Babaa Kunani?
Tumezoea Rafudhi yako, na namna unavyopambana kuirudiha nyumba katika nidhamu, Ukatuzoeza kuliona neno MUBASHARAAAA kwenye Vionyesheo vyetu. Ukiwa pale tumezoea ukisema jitihada zako katika kuweka nyumba katika mstari ulonyooka.
Sasa kimyaaa Baba nini tenaaa?
Ungeenda basi hata kwenye game la LION na Jangwani atilist tukuoone Baba...
Dah tunapata shida sana kutokuona kwa sababu tumekuzoea kukuona....
Tuambi kwenye ile nyumba nyeupe yenye heshima duniani kote kuwa majukumu ama nini? Cha ajabuu hata Teuzi kumekuwa kimyaaaaaaaaaaa.
Tulizoea mara wiki hii kateuliwa mtu mara wiki hii kapigwa mweleka mtu sasa kimyaaaaaaaaaaa.....Kunani Babaaaaa...
Naona hata tule anayeandika ulichosema nayeee kimyaaaa, hatumwoni kule kwenye ile page ya yule dada mblack aliyekuwa anaitumia kusema saaana kuhusu nyumba yetu na Wazazi wetu wakiwemo ndugu zetu....Simwoni tena kuleee....sasa Baba rudi basi...Kesho sababisha hata tukio watu tukuone Babaaaaaaaaa
Dah ila kweli tumekumisss Babaaaa
Rudi Basi Babaaaa!!!!!!!!
Sent using
Jamii Forums mobile app