Maoni: Watu Kumi wenye nguvu zaidi Tanzania kwa sasa (Ten most powerfull people)

Maoni: Watu Kumi wenye nguvu zaidi Tanzania kwa sasa (Ten most powerfull people)

Attachments

  • Screenshot_20230328-151955~2.png
    Screenshot_20230328-151955~2.png
    373.7 KB · Views: 7
Ainisha vigezo ulivo vitumia kwenye kuwapata hao most powerful pipo kwa tz hii
 
Namuona mzee wa sf group umemweka kwenye listi hivi bado ni mbunge wa kibaha mjini sijamsikia kitambo jirani huyu
 
Habari,

Kila nchi ina watu wenye ushawish na watu wenye nguvu.

Wazungu husema power is no permanent and is always shifting, kwa sasa hawa ni watu wenye nguvu na ushawishi sana.

1. H.E Samia Hassan
2. Jakaya Kikwete
3. Abrahaman Kinana
4. Hussein Mwinyi
5. January Makamba
6. Freeman Mbowe
7. Mwigulu Nchemba
8. Ridhwan Kikwete
9. Innocent Bashungwa
10. Nape Nnauye.

Bonus
1. Rostam Aziz
2. Sylivester Koka
3. SS Bakheresa

Kwa ground hizo ndio machinery zenye nguvu Tanzania kwa kipindi hiki..

This is so just you know, don't mess with any.
Agenda ilikua nikupamba watu wa ccm ila ukaona Mbowe umuungize hapo, hujataja ni katika ushawishi upi wa kiuchumi au kisiasa,

Ila all in all malengo yako unajua mwenyewe,


List yako imekaa kichawa
Kwa ushawishi wa kisiasa tz kwa sasa

1.john heche
2 . Lissu
3. Mbowe
4. Lema
5. Msigwa
6. Sugu
7. SSH UYU ANABEBWA NA KITI AMEKALIA
8. Mtaka ndo hivyo hapendwi na wenye viti vyao ila hii mashine inahitaji kuwa branded kidogo tu
 
Habari,

Kila nchi ina watu wenye ushawish na watu wenye nguvu.

Wazungu husema power is no permanent and is always shifting, kwa sasa hawa ni watu wenye nguvu na ushawishi sana.

1. H.E Samia Hassan
2. Jakaya Kikwete
3. Abrahaman Kinana
4. Hussein Mwinyi
5. January Makamba
6. Freeman Mbowe
7. Mwigulu Nchemba
8. Ridhwan Kikwete
9. Innocent Bashungwa
10. Nape Nnauye.

Bonus
1. Rostam Aziz
2. Sylivester Koka
3. SS Bakheresa
.....
Extra..

1. Yuda Thadei Ruwaichi
2.George Mkuchika
3.George Simbachawene
4.Abubakar Zuber
5.Fedrick Shoo
6.Zitto Kabwe.


Kwa ground hizo ndio machinery zenye nguvu Tanzania kwa kipindi hiki..

This is so just you know, don't mess with any.

Mkuchika how??
 
Back
Top Bottom