Maoni: Watu Kumi wenye nguvu zaidi Tanzania kwa sasa (Ten most powerfull people)

Maoni: Watu Kumi wenye nguvu zaidi Tanzania kwa sasa (Ten most powerfull people)

Habari,

Kila nchi ina watu wenye ushawish na watu wenye nguvu.

Wazungu husema power is no permanent and is always shifting, kwa sasa hawa ni watu wenye nguvu na ushawishi sana.

1. H.E Samia Hassan
2. Jakaya Kikwete
3. Abrahaman Kinana
4. Hussein Mwinyi
5. January Makamba
6. Freeman Mbowe
7. Mwigulu Nchemba
8. Ridhwan Kikwete
9. Innocent Bashungwa
10. Nape Nnauye.

Bonus
1. Rostam Aziz
2. Sylivester Koka
3. SS Bakheresa
.....
Extra..

1. Yuda Thadei Ruwaichi
2.George Mkuchika
3.George Simbachawene
4.Abubakar Zuber
5.Fedrick Shoo
6.Zitto Kabwe.


Kwa ground hizo ndio machinery zenye nguvu Tanzania kwa kipindi hiki..

This is so just you know, don't mess
Ukimuacha hussein mwinyi kwa hiyo orodha ya kwanza wote ni muelekeo wa upigaji. Uso wao ni nape nauye. Yeye ana guts za kumkejeli magufuli na kuonesha kiburi na jeuri kwa niaba yao.
 
Habari,

Kila nchi ina watu wenye ushawish na watu wenye nguvu.

Wazungu husema power is no permanent and is always shifting, kwa sasa hawa ni watu wenye nguvu na ushawishi sana.

1. H.E Samia Hassan
2. Jakaya Kikwete
3. Abrahaman Kinana
4. Hussein Mwinyi
5. January Makamba
6. Freeman Mbowe
7. Mwigulu Nchemba
8. Ridhwan Kikwete
9. Innocent Bashungwa
10. Nape Nnauye.

Bonus
1. Rostam Aziz
2. Sylivester Koka
3. SS Bakheresa
.....
Extra..

1. Yuda Thadei Ruwaichi
2.George Mkuchika
3.George Simbachawene
4.Abubakar Zuber
5.Fedrick Shoo
6.Zitto Kabwe.


Kwa ground hizo ndio machinery zenye nguvu Tanzania kwa kipindi hiki..

This is so just you know, don't mess with any.
Lissu ana ushawishi zaidi ya Ridhiwani, January na Bashungwa combined. When he talks haijalishi ameongea kitu gani, it makes headlines.
Kumuacha Majaliwa kumuweka Ridhiwani it's kinda crazy.
 
Back
Top Bottom