Uchaguzi 2020 Maoni ya Jeffery Smith juu ya Uchaguzi wa Tanzania 2020

Uchaguzi 2020 Maoni ya Jeffery Smith juu ya Uchaguzi wa Tanzania 2020

Hayo siyo maoni yake bali ya Mwandishi wa The Times la UK. Ndiyo maana kaweka quotation marks na reference chini
 
Naomba statement yake juu ya demokrasia ya weusi wa marekani kama ipo pls....
We are a cutting edge, wholly unique nonprofit launched in 2016 with a simple goal: to build and promote democratic solutions for African nations.
Ni muanzilishi wa hii NGO
 
Mzungu kuua mweusi ni haki sio suala la demokrasia....

Achana na wajinga weupe hao...
"I can't breathe...... I can't breathe....... I can't breathe.... I can't breathe...." Gorge. Huyo Smith mbona mpaka Leo hajaitolea onyo marekani mpaka leo,, send all evils to the hell.
 
Duh...!. Huku ni kumtishia maisha Jesca kuwa kuna kitu kitamfika Baba Jesca!, hili ni kosa la jinai la kusababisha kilio kwa maneno!.
Usije kusema ni mimi nimekuchongea wakati ni wewe ndio unayesema Luna siku!. Please tuacheni haya mambo ya kutishia watu maisha kwa kauli za "Luna siku"!. Hakuna siku yoyote ya kutokea kilio chochote inayopangwa na mwanadamu!. Mpaji ni Mungu!, mpangaji ni Mungu.
P
Unakunywa sumu kwa hiari halafu unasema kifo mpangaji ni Mungu? Mkuu huoni hilo nalo ni kosa kumsingizia Mungu uongo? Matendo ya hovyo ndio yamewapa mwisho wa mateso wengi tuu barani Afrika, na mbaya ni kuwa ikifika wakati huo watu huwa hawaangalii kina Jesca wamehusikaje bali wanawachanganya mulemule!
 
Duh...!. Hawa mabeberu wa kizungu, wanahaha sana!. Wanadai kukiwa na uwanja sawa wa ushindani, Magufuli na CCM hawawezi kushinda!.
Duh...
Kwa hiyo P. swala ni kukosa upinzani makini wa kukabidhiwa ikulu au swala ushindani ulio wa haki ?!.

P. Kila upande unauona upande wa pili kama usiofaa. Hata wapinzani wa Ccm wanaona kama wasiofaa na walioifelisha taifa hili kwa miaka 60 sasa.
 
Duh...!. Hawa mabeberu wa kizungu, wanahaha sana!. Wanadai kukiwa na uwanja sawa wa ushindani, Magufuli na CCM hawawezi kushinda!.
Duh...!.
Masikini Wazungu hawa tuwasamehe bure tuu!...

Kwa taarifa yako Paskali mtu yoyote, narudia tena mtu yoyote mwenye akili timamu anaweza kuiongoza Tanzania. Hayo ya kusema kuna chama fulani kinaweza, hata akina Mugabe, Elbashir walikuwa wanasema hivyo hivyo.

Na huko kote hao viongozi wahuni walipokuwa wakijisifia kuwa ndio wenye uwezo wa kuongoza, kulikuwa na wapambe kama nyie akina Paskali wakisema hivi hivi usemavyo ww, ili wapate ulaji.

Kwahiyo utetezi unaoufanya ww Paskali ni muendelezo ule ule wa wawatetea watawala, ili wapate ulaji.
 
Kwa taarifa yako Paskali mtu yoyote, narudia tena mtu yoyote mwenye akili timamu anaweza kuiongoza Tanzania. Hayo ya kusema kuna chama fulani kinaweza, hata akina Mugabe, Elbashir walikuwa wanasema hivyo hivyo. Na huko kote hao viongozi wahuni walipokuwa wakijisifia kuwa ndio wenye uwezo wa kuongoza, kulikuwa na wapambe kama nyie akina Paskali wakisema hivi hivi usemavyo ww, ili wapate ulaji. Kwahiyo utetezi unaoufanya ww Paskali ni muendelezo ule ule wa wawatetea watawala, ili wapate ulaji.
Duh...!. Mimi umeniweka kundi hili?.
Niangalie kwa Jicho la pili na la tatu
Kati ya wakosoaji wa Rais Magufuli na Serikali yake, na wasifiaji nani wanamsaidia zaidi? Ijue nafasi ya JamiiForums
P
 
Japo nchi yetu haina dini, lakini watu wake wana dini zao, na serikali haingilii imani za watu wake, hivyo miongoni mwa dini hizo ni dini za asili. Hao unaowaita wachawi wa Gamboshi sio wachawi bali ni 'wazee' wataalamu wa kiasili wa Kisikuma, ambao wanatumia utaalamu wa sayansi za asili, kufanya 'mambo' na kwa kutumia utaalamu huo, wamebaini ni rais Magufuli pekee ndiye aliepangiwa kuendelea kuwa rais wa JMT, na kwamba yoyote ambaye angechukua fomu CCM kumpiga, kifo cha kiasili kingemkumba..
PASKALI, ni wewe umejibu hivi au ni Kawe Alumni? Kama ni wewe kweli, Basi tukufanyie sala ya urejesho, urudi ligi kuu.
Sasa naanza kuamini kuwa ni kweli ulishauri Twitter ifungiwe
 
Duh...!. Hawa mabeberu wa kizungu Buana!, wanahaha sana!. Wanadai kukiwa na uwanja sawa wa ushindani, Magufuli na CCM hawawezi kushinda!.
Duh...!.
Masikini Wazungu hawa tuwasamehe bure tuu!.
Hatuna upinzani Tanzania
Wako bize wanapingana kutwa kucha
 
Tanzania opposition is not strong and is not credible!!!


Anyway You comment on our elections but for US we don't recommend on your elections because we respect international agreements respecting each country internal affairs.

Dunia haiwezi kukaa kimya wakati mambo ya kihuni yakifanyika ndani ya nchi kwa kisingizio cha mambo ya ndani. Huwezi ukawabaka watoto wako, majirani wakakaa kimya eti kisa unawalisha na kuwasomesha, ukasema usiingiliwe mambo yako ya ndani kwani ni ya kifamilia.
 
Anachoweza kusaidia ni ku'highlight' maovu yote yanayofanyika na kuyaweka wazi dunia iyajue yanapotokea.

Na ili hili liweze kuwa la msaada zaidi, ni jukumu la vyama hivi vya upinzani kuwa makini sana na hujuma zote wanazofanyiwa, kuzitambua, kuzikusanya na kuziwekea ushahidi kamili wakati wowote zinapotokea...
Nilishauri toka utawala wa awamu ya nne kuwa Chadema watengeneze documentary ya madhila yooote waliyofanyiwa wapinzani tangu kurudishwa kwa mfumo wa vyama vingi ili iwe ushahidi wakati muafaka ukifika.

Naamini kama wametengeneza hiyo kitu basi wakati muafaka wa kuimwaga ni kwenye kampeni za uchaguzi mkuu ujao ili Watanzania wajue kwa nini tunataka kuiondoa CCM madarakani ili kukomesha Udhalimu huu.
 
Wanajidanganya tu, wangejua upinzani Tanzania hata Ngazi ya mashina hawana ,hawajui hata wana mtaji wa wapiga kura wangapi ,

Ccm wanaweza kukuambia wana mtaji wa wapiga kura wangapi , kwa data zilizo rasmi , wana mtaji kuanzia ngazi ya mashina , hadi juu

Chadema na upinzani mwingine wanategemea Mikumbo tu ili kuokoteza kura...
Huna akili au umeamua kujitoa akili ufahamu. Wapinzani wamezuiwa kufanya chochote ndani ya miaka mitano na bado mpaka jana wanakamatwa wakikutana na wananchi . Halafu unaleta ngonjera zako za wao kukosa mashina na vijiji ?! Mpuuzi kabisa wewe.

Kabla vitu hivi nenda NEC ukaone walikuwa na mitaa, vijiji na halmashauri ngapi !!. Udictator siyo kupendwa
 
Duh...!. Hawa mabeberu wa kizungu Buana!, wanahaha sana!. Wanadai kukiwa na uwanja sawa wa ushindani, Magufuli na CCM hawawezi kushinda!.
Duh...!.
Masikini Wazungu hawa tuwasamehe bure tuu!
Wewe nawe unachosha Bro sometimes... Kwanini huwa unapenda kuwa na ndimi mbilimbili??
 
Pasi sema ukweli mtazamo uliokuwa nao wakati unaandika post ya kumkosoa Magu ndiyo msimamo wako wa sasa? Wakati ule ulikuwa neutral lakini sasa hivi umeshakuwa na upande hivyo huna mawazo huru tena, ndiyo maana unawaona wapinzani ni takataka tu isiyokuwa na thamani na ukichanganya na kaelement ka ukabila ndiyo kabisaaaaa.
 
Duh...!. Hawa mabeberu wa kizungu Buana!, wanahaha sana!. Wanadai kukiwa na uwanja sawa wa ushindani, Magufuli na CCM hawawezi kushinda!.
Duh...!.
Masikini Wazungu hawa tuwasamehe bure tuu!
Siku zote unatuelekeza tujadili hoja na sio mtu,,Naomba usijadili hilo beberu JADILI hoja iliyotolewa na beberu ,ipinge kwa kutoa hoja
KWA NINI MNAOGOPA TUME HURU?.. KWA NINI MNAZUIA WAPINZANI WASIFANYE MIKUTANO YA NDANI?....
 
Back
Top Bottom