Uchaguzi 2020 Maoni ya Jeffery Smith juu ya Uchaguzi wa Tanzania 2020

Uchaguzi 2020 Maoni ya Jeffery Smith juu ya Uchaguzi wa Tanzania 2020

Tatizo la Tanzania watu wanapigia kelele udikteta wa Magu ila wao hawaamini katika demokrasia,unakuta mtu anapinga vitendo vya kidikteta vya Magu ila mtu huyohuyo anatetea vitendo visivyo vya kidemokrasia vinavyofanywa na chama chake cha siasa.

Unakuta chama cha siasa chenyewe hakiamini katika demokrasia na wala huwezi kutumia chama hicho kama mfano mzuri wa kufuata demokrasia ila unakuta chenyewe ndio cha kwanza kulalamikia udikteta.
 
Duh...!. Hawa mabeberu wa kizungu Buana!, wanahaha sana!. Wanadai kukiwa na uwanja sawa wa ushindani, Magufuli na CCM hawawezi kushinda!.
Duh...!.
Masikini Wazungu hawa tuwasamehe bure tuu!.
Wanadhani Tanzania kuna serious na credible opposition ya kuweza kukabidhiwa Ikulu yetu!.
It's very unfortunately hawajui kuwa Tanzania hatuna upinzani wowote wa maana wenye uwezo wa kushika dola!. Huu upinzani uliopo ni upinzani uchwala!.

Kwa uchaguzi huu wa 2020, japo ni mchungu kumeza ila ndio ukweli wenyewe
Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au Ni Magufuli tu?!.
P
Mmmh kwani wewe unaonaje,Mkuu?usiwe msemaji wa hao unaowaita Mabeberu toa maoni yako
 
Duh...!. Hawa mabeberu wa kizungu Buana!, wanahaha sana!. Wanadai kukiwa na uwanja sawa wa ushindani, Magufuli na CCM hawawezi kushinda!.
Duh...!.
Masikini Wazungu hawa tuwasamehe bure tuu!

How dare you are?
Kama kweli ulichokiandika mwambie aruhusu uwanja huru wa mapambano, Mwambie aachane na polisi, Mwambie aruhusu tume huru
 
Duh...!. Hawa mabeberu wa kizungu Buana!, wanahaha sana!. Wanadai kukiwa na uwanja sawa wa ushindani, Magufuli na CCM hawawezi kushinda!.
Duh...!.
Masikini Wazungu hawa tuwasamehe bure tuu!
Mayalla kwa tabia na vitendo vyako tangu 1995 ulipokuwa DTV, hata wewe ni mpinzani. Hivi hata wewe hujiamini kiasi cha kujiona ni uchwala!? Siamini. Ninadhani ume-joke tu. Tafadhali usiendekeze mizaa kwanye serious issues hususan masuala ya utawala wa nchi.

Unatakiwa kuelelwa kuwa kinachoitwa 'wapinzani hawawezi' kuongoza Serikali/nchi/Dola la Tanzania ni myth tu kama wengi tulivyoamini enzi hizo kuwa Tanzania isingekwenda popote bila uongozi wa Mwl. Nyerere.

That was mythical ethos men!
 
Nakubaliana na wewe Mr Smith
Magufuli na CCM wanajua, wakiweka fair ground kwa wote, CCM wanashindwa uchaguzi asubuhi na mapema!
 
Duh...!. Hawa mabeberu wa kizungu Buana!, wanahaha sana!. Wanadai kukiwa na uwanja sawa wa ushindani, Magufuli na CCM hawawezi kushinda!.
Duh...!.
Masikini Wazungu hawa tuwasamehe bure tuu!

Trump katika kampeni za uchaguzi wa Marekani alielezwa kama hayuko serious kuongoza nchi. Wengi tuliamini hivyo. Lakini wamarekani katika sanduku la kura wakaamua vinginevyo. Mpaka leo Trump anaiendesha nchi vizuri: Ajira zimeongezeka, vita Syria imekwisha, Afghanistan nako vita imekwisha, waliokuwa wameunda na ku-sponsor IS (Islamic state)- Obama and the company wameumbuka - Yaani kaweka mambo kwenye mstari - Kifupi anamapungufu yake lakini ni Rais asiyetaka unafiki.

Hali kadhalika kwa CCM na kwako mchangiaji_: Si mimi na wewe tutayesema eti upinzani haupo serious bali ni wananchi ndio wataoamua. Acha vyama vishiriki katika mchakato wote wakiwa huru. Jana nasikia Zitto na Bwege wamekamatwa na polisi wakiwa katika mikutano ya ndani ambayo Rais mwenyewe kauiruhusu - Kulikoni!!! Tuwaache wapinzani wajieleze kwa wananchi na hawa wananchi ndio wataoamua tar 25/10-2020 nani awaongoze.

Pili, katiba za chama na nchi zilizomo lazima zifuatwe: Membe anahitaji kuchukua fomu ya kugombea urais lazima aruhusiwe, kwa sababu katiba ya CCM inamruhusu. Na katiba ya nchi inaruhusu vyama vya upinzani kujinadi kwa wananchi na kueleza sera zao ili wananchi wajue kama wapo serious au la. Kama kweli mtoa hii hoja unaamini kuwa upinzani haupo serious basi kwanza Laani kitendo cha serikali kuwanyanyasa upinzani. Wote wawe na play ground sawa.
 
Back
Top Bottom