Uchaguzi 2020 Maoni ya Jeffery Smith juu ya Uchaguzi wa Tanzania 2020

Uchaguzi 2020 Maoni ya Jeffery Smith juu ya Uchaguzi wa Tanzania 2020

Tukio la hivi karibuni la KUUWAWA kwa George kwa ubaguzi wa rangi kule Marekani mbona alikaa kimya?
Kwa sababu George alikuwa mfiraji hivyo kifo chake hakikupaswa kusikitikiwa.
 
Smith ni ka Beberu kadogo kako huko ubeberuni kajua ku twit basi ana m under rate Mh. Rais wetu, just ignore him, kujibu jibu vibeberu vya aina hii tutaonekana of low IQ.
Utawala wa JPM, umefanikiwa kujiimarisha kwa kubuni rushwa ya Teuzi! Teuzi za JPM zimewafanya watu wengi kuwa mahayawani. Mfano ni wewe naona uko tayari kumpiga mtu mapanga na kupeleka picha za tukio ili uukwae uteuzi.
 
Hakuna mpinzani anaeteswa mkuu,wapinzani wanajitesa wenyewe kwa kukosa hoja za msingi za kusimamia kwa sababu mambo yote yaliyokuwa yanapigiwa kelele yamepata muarobaini sasa badala ya wapinzani kubadilika na kuja na strategy mpya wameshindwa wamebaki kufanya maigizo tu kutafuta huruma ya wananchi.
Kwa kweli wameishiwa na upinzani wao uchwara ndio umedhihirika wala sijui wataambia nini watu kipindi cha kampeni kuelekea uchaguzi mkuu oktoba
Mwangalieni huyu....

Eti mambo yote yaliyokuwa yanapigiwa kelele yamepata mwarobaini!

Kwa miaka nenda rudi suala la ufisadi ndo limekuwa likipigiwa kelele! Kwa mwenye akili timamu anafahamu wazi ufisadi mkubwa nchi umekuwa ukifanywa na Watendaji wa juu kabisa serikalini kama Makatibu Wakuu wa wizara pamoja na high profile politicians kama vile mawaziri

Magu akajifanya eti kuanzisha Mahakama ya Mafisadi ili kuwahadaa wajinga! Nitajie Katibu Mkuu mmoja TU na/au Waziri mmoja tu aliyefikishwa kwenye mahakama ya mafisadi au kwenye mahakama nyingine yoyote ile kwa tuhuma za ufisadi!

Moja ya scandal kubwa kabisa kuwahi kutokea nchini ni Escrow Scandal! Ni takribani miaka 4 sasa Rugemalila na Singasinga wapo mahabuhusu kwa tuhuma za Escrow Scandal!

Kila mwenye akili timamu anafahamu Ruge na Singasinga hawakwenda pale BoT na vifaru wakiambatana na Jeshi la Mamluki kwenda kuiba zile pesa bali ukwapuaji wao ulipata baraka zote za watendaji wakuu wa serikali ikiwa ni pamoja na Katibu Mkuu na Wizara, Watendaji wa BoT, pamoja na Mahakama!

Nitajie mtu mmoja tu kutoka hayo makundi ambae ameunganishwa na akina Rugemalila!!

Baada ya JPM kuingia tu madarakani ikaibuka scandal ya Said Lugumi! Tueleze hapa kesi ya LUGUMI imeishia wapi, na ni watendaji gani wamefikishwa mahakamani kutokana na ile scandal?!

NI miezi kadhaa tu iliyopita JPM alimtumbua Andegenye na Lugola kwa kile alichoita ufisadi wa madudu gani sijui! Tuambie ile scandal imeishia wapi, na how come JPM anamsamehe Andengenye aliyehusika kwenye huo ufisadi?!

Btw, hivi ni nani aliongea hadharani kwamba Makonda ametumiwa na watu kukwepa kodi kwenye lile sakata la fenicha pale bandarini?!

How come serikali inayopambana na ufisadi inaendelea kuwa na kiongozi ambae rais amesema wazi kwamba kiongozi husika anahusika kwenye suala la ukwepaji kodi?! Hivi unafahamu miongoni mwa mambo ya haramu kabisa ambayo kiongozi wa umma hatakiwi kufanya ni ukwepaji kodi kwa sababu hiyo ni hujuma kwa serikali?
 
Mbona mnajifanya kupaza sauti kwa waliouliwa huko mbali, wa Tz je mbona hamuwasemei, au wao ni wanyama?!
Hakuna anaefurahia au kuunga mkono mauaji ya yeyote yule, iwe Mwangosi, Akwilina, Polisi waliouwawa kule kibiti the list goes on.

Mtu mwenye ufadhili wa kuendesha NGO toka kwa mabeberu, hana moral authority ya kitufundisha what is good governance.

Iko haja tujenge mifumo yetu na kukosoana kwa mambo ambayo hayako sawa humu humu ndani ili kesho yetu iwe bora kuliko leo yetu.
 
The Magufuli regime in #Tanzania “knows they cannot win on an equal political playing field ... They use any means necessary, including violence, to try to silence the opposition. This is a clear sign of weakness, not strength."

View attachment 1487318


Fears that President Magufuli will create a dictatorship in Tanzania
President Magufuli during an official visit to Kenya the year after he took office promising to tackle corruption

President Magufuli during an official visit to Kenya the year after he took office promising to tackle corruption

THOMAS MUKOYA/REUTERS

Tanzania dissolved its parliament and set course for an election in October days after an opposition leader was badly beaten and laws were passed granting senior government figures immunity from prosecution.

There is growing concern that President Magufuli, who took office in 2015 promising to tackle corruption, wants to create a dictatorship.

A range of amendments approved by MPs will protect senior ministers from any legal action in the course of governing. Critics say the legislation effectively hands “powers to continue violating constitutional rights” to President Magufuli whose time in office has been marked by crushing freedoms and dissent.

The latest beating of a senior opposition figure came only hours after Tundu Lissu, Mr Magufuli’s most high-profile critic, announced he would return from exile

Fears that President Magufuli will create a dictatorship in Tanzani hi
Duh...!. Hawa mabeberu wa kizungu Buana!, wanahaha sana!. Wanadai kukiwa na uwanja sawa wa ushindani, Magufuli na CCM hawawezi kushinda!.
Duh...!.
Masikini Wazungu hawa tuwasamehe bure tuu!.
Wanadhani Tanzania kuna serious na credible opposition ya kuweza kukabidhiwa Ikulu yetu!.
It's very unfortunately hawajui kuwa Tanzania hatuna upinzani wowote wa maana wenye uwezo wa kushika dola!. Huu upinzani uliopo ni upinzani uchwala!.

Kwa uchaguzi huu wa 2020, japo ni mchungu kumeza ila ndio ukweli wenyewe
[URL="https://www.jamiiforums.com/threads/swali-la-ukweli-mchungu-je-2020-magufuli-ana-mpinzani-au-mshindani-au-ni-magufuli-tu.1312536/"]Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au Ni Magufuli tu?!.
Wa kukaya umefukiza uturi Jamvini,aroma yake inafungua mishipa yetu ya fikra....
Nimefarijika na maneno yako kuwa TANZANIA HAKUNA UPINZANI CREDIBLE...Hao wazungu wamekariri siasa za nchi ZAO kuwa KILA waendako duniani NI lazima WAWAKUTE WAPINZANI MITHILI YA WA NCHI ZAO simply ni OPPOSITION...
KALAGHABAHO Jeffrey Smith's et al.

WAKATABAHO
 
Duh...!. Hawa mabeberu wa kizungu Buana!, wanahaha sana!. Wanadai kukiwa na uwanja sawa wa ushindani, Magufuli na CCM hawawezi kushinda!.
Duh...!.
Masikini Wazungu hawa tuwasamehe bure tuu!
Mayala bana eti Ikulu yetu hembu kuwe na uthubutu wa hata nusu saa wa kuweka tume huru ya uchaguzi uone hao watanzania wataamua nini usiogope
 
Aiseeeee akili za wasomi wa nchi hii wengi huwa zinanipa shida sana wakati mwingine mpaka najikuta naghairi kwenda kusoma degree yangu ya kwanza, nikuulize swali? Unafikiri wakati tunakabidhiwa nchi na wakoloni mwaka 1961, tulikuwa credible enough kuweza kukabidhiwa nchi? Au unaongea tu hutaki kufikirisha akili yako kureason?
Wala usipate shida kasome tu asilimia 98% ni wanafiki
 
Hivi magu mbona analazimisha watu wasahau hata yale mazuri aliyoyafanya? Hivi anajua kuwa mwelekeo ni kuwa ataondolewa vibaya kwenye hicho kiti kwa hii tabia inayo lazimishwa na wapambe wake ambao moto ukiwaka watamkana kuwa alikuwa haambiliki?
Yeye kama anaendesha mambo mpaka "atajisikiaje atakapoamka" halafu kina Pascal Mayalla wanamsifia kuwa hakuna kama yeye basi shauri yake. Kuna siku kilio kitakuwa chake pekee na wanae kina Jeska hao kina Pascal wakigongeana glass za whiskey!
Hamna kitu kama hicho miaka mingine mitano ijayo kama Mungu atatupa uzima ni Magufuli wengine wasubiri 2025 watimuliane vumbi kama hao watangulizi walikaa miaka kumi kila mmoja kwa Mema,na Mabaya kwa nini huyu tusimpe tena ataishangaza Dunia kwa kura wabunge atakao pata kwa kishindo mnyonge mnyongeni haki yake mpeni tuombeane uzima
 
....Iko haja tujenge mifumo yetu na kukosoana kwa mambo ambayo hayako sawa humu humu ndani ili kesho yetu iwe bora kuliko leo yetu.
Are you serious?? Kwny nchi ya kiimla wakosoaji wanakuwa salama?

Hujui nini kiliwapata Lissu, Mwangosi, Mawazo, Saa8,.... etc ?
 
Hakuna anaempenda magufulu, wanaompenda ni wale wanufaika wachache sana
 
Smith ameshawahi kuishi Tanzania miaka zaidi ya 4 na haya maoni yake aliyopost ni baada ya kufanya tafiti..
Sometimes kama hamjui kitu ni Bora utulie Kwanza......makachero wapo wengi wanafanya Yao ili chama chenu cha kijani kipigwe chini October

Sisi sisiem ndio Top Lecturers wa makachero, umeelewa, so hayo maneno yako ya kujitia moyo waambie wengine sio CCM.
 
Hata Gavana wa Uingereza hakuamini kama Mwalimu Nyerere na TANU wanaweza kuiongoza Tanganyika. Matokeo yake umeyaona mwenyewe.

Unawezaje kumhukumu mtu kuwa hawezi wakati hapewi nafasi?
anakazana kweli lakini hawamuoni kwny uteuzi
 
Duh...!. Hawa mabeberu wa kizungu Buana!, wanahaha sana!. Wanadai kukiwa na uwanja sawa wa ushindani, Magufuli na CCM hawawezi kushinda!.
Duh...!.
Masikini Wazungu hawa tuwasamehe bure tuu!.
Wanadhani Tanzania kuna serious na credible opposition ya kuweza kukabidhiwa Ikulu yetu!.
It's very unfortunately hawajui kuwa Tanzania hatuna upinzani wowote wa maana wenye uwezo wa kushika dola!. Huu upinzani uliopo ni upinzani uchwala!.

Kwa uchaguzi huu wa 2020, japo ni mchungu kumeza ila ndio ukweli wenyewe
Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au Ni Magufuli tu?!.
P
Hili la kusema hakuna watu wengine wenye uwezo wa kuongoza nchi yetu sikubaliani nalo hata chembe! Ni uongo na uzandiki! Shame on you!
 
Duh...!. Hawa mabeberu wa kizungu Buana!, wanahaha sana!. Wanadai kukiwa na uwanja sawa wa ushindani, Magufuli na CCM hawawezi kushinda!.
Duh...!.
Masikini Wazungu hawa tuwasamehe bure tuu!.
Wanadhani Tanzania kuna serious na credible opposition ya kuweza kukabidhiwa Ikulu yetu!.
It's very unfortunately hawajui kuwa Tanzania hatuna upinzani wowote wa maana wenye uwezo wa kushika dola!. Huu upinzani uliopo ni upinzani uchwala!.

Kwa uchaguzi huu wa 2020, japo ni mchungu kumeza ila ndio ukweli wenyewe
Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au Ni Magufuli tu?!.
P
Kama mtukufu mwenye mashauri mkuu Naibu Rais ndugu Daud Bashite kaweza kuongoza Nchi hakuna atakayeshindwa kuiongoza Nchi, kumbuka Bashite hana vyeti lakini ndiye mshauri mkuu wa mtukufu na Nchi inakwenda sembuse wapinzani ambao watakuwa na washauri wazuri wenye upeo mkubwa.
 
Kama Naibu Rais na mtukufu wameweza kuongoza Nchi ni mpinzani gani atashindwa kuongoza Nchi?
 
Hili la kusema hakuna watu wengine wenye uwezo wa kuongoza nchi yetu sikubaliani nalo hata chembe! Ni uongo na uzandiki! Shame on you!
Kama Naibu Rais ndugu Daud Bashite na mtukufu wameweza kuongoza Nchi ni mpinzani gani atashindwa ?
 
Pascal Mayalla, Magufuli Ni mwoga kuliko kunguru. Kwanini hakuwakemea wale Wasukuma wachawi wa Gamboshi waliposema watamuua mtu yeyote atakaye chukua fomu CCM kushindana na Magufuli?
Kwanini fomu ya urais CCM Tanzania 🇹🇿 Bara itolewe moja tu?
Jibu rahisi ni kwamba Magufuli kausoma upepo, kwamba hata angeshindana na Kingwendu kamati kuu ingempiga chini na kumpendekeza Kingwendu, full stop.
Simiyu: Waganga wa jadi kutoka Gamboshi na Bariadi wadai kumloga Mwana CCM atakayechukua fomu kumpinga Magufuli
Tanganyika CCM walitaka aishie kwenye miaka 5 tu walimtaka mtu atakayeirejesha Dsm kuwa mji mpya toka Dodoma wanataka kurejesha Serikali huko Dsm ujue CCM hawapendani kwa kiwango kikubwa lakini sasa wanaishi kinafiki kwa kuzikariri zidumu fikra za mwenyekiti wa CCM.
 
P anaongea kutaka kuwavunja moyo watu wenye nia ya kuona haki inatawala. Serikali ya ccm inategemea kupata viongozi kutoka upinzani harafu anajitokeza msukuma kusema ati hakuna upinzani thabiti.
Mkuu ni muoga ccm ni chama kilichofirisika kifikra, kuna wazee waliozoea kudhulumu, kuiba haki, kuiba raslimali na kutafuta uhalali kitapeli.
Kuna utapeli mkubwa ktk miradi inayo endelea bandari kavu ya kwala ni aibu, na reli yote pia. Utapeli huu lengo lake ni wizi wa haki katika kura.

ACHIENI USAWA KATIKA KUFANYA SIASA UONE WEWE P
NI AIBU KUKAA UNASHABIKIA CHAMA CHA WATU WAOVU WEZI WA HAKI.
 
Back
Top Bottom