Kwa sababu George alikuwa mfiraji hivyo kifo chake hakikupaswa kusikitikiwa.Tukio la hivi karibuni la KUUWAWA kwa George kwa ubaguzi wa rangi kule Marekani mbona alikaa kimya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sababu George alikuwa mfiraji hivyo kifo chake hakikupaswa kusikitikiwa.Tukio la hivi karibuni la KUUWAWA kwa George kwa ubaguzi wa rangi kule Marekani mbona alikaa kimya?
Utawala wa JPM, umefanikiwa kujiimarisha kwa kubuni rushwa ya Teuzi! Teuzi za JPM zimewafanya watu wengi kuwa mahayawani. Mfano ni wewe naona uko tayari kumpiga mtu mapanga na kupeleka picha za tukio ili uukwae uteuzi.Smith ni ka Beberu kadogo kako huko ubeberuni kajua ku twit basi ana m under rate Mh. Rais wetu, just ignore him, kujibu jibu vibeberu vya aina hii tutaonekana of low IQ.
Mwangalieni huyu....Hakuna mpinzani anaeteswa mkuu,wapinzani wanajitesa wenyewe kwa kukosa hoja za msingi za kusimamia kwa sababu mambo yote yaliyokuwa yanapigiwa kelele yamepata muarobaini sasa badala ya wapinzani kubadilika na kuja na strategy mpya wameshindwa wamebaki kufanya maigizo tu kutafuta huruma ya wananchi.
Kwa kweli wameishiwa na upinzani wao uchwara ndio umedhihirika wala sijui wataambia nini watu kipindi cha kampeni kuelekea uchaguzi mkuu oktoba
Hakuna anaefurahia au kuunga mkono mauaji ya yeyote yule, iwe Mwangosi, Akwilina, Polisi waliouwawa kule kibiti the list goes on.Mbona mnajifanya kupaza sauti kwa waliouliwa huko mbali, wa Tz je mbona hamuwasemei, au wao ni wanyama?!
The Magufuli regime in #Tanzania “knows they cannot win on an equal political playing field ... They use any means necessary, including violence, to try to silence the opposition. This is a clear sign of weakness, not strength."
View attachment 1487318
Fears that President Magufuli will create a dictatorship in Tanzania
![]()
President Magufuli during an official visit to Kenya the year after he took office promising to tackle corruption
THOMAS MUKOYA/REUTERS
Tanzania dissolved its parliament and set course for an election in October days after an opposition leader was badly beaten and laws were passed granting senior government figures immunity from prosecution.
There is growing concern that President Magufuli, who took office in 2015 promising to tackle corruption, wants to create a dictatorship.
A range of amendments approved by MPs will protect senior ministers from any legal action in the course of governing. Critics say the legislation effectively hands “powers to continue violating constitutional rights” to President Magufuli whose time in office has been marked by crushing freedoms and dissent.
The latest beating of a senior opposition figure came only hours after Tundu Lissu, Mr Magufuli’s most high-profile critic, announced he would return from exile
Fears that President Magufuli will create a dictatorship in Tanzani hiDuh...!. Hawa mabeberu wa kizungu Buana!, wanahaha sana!. Wanadai kukiwa na uwanja sawa wa ushindani, Magufuli na CCM hawawezi kushinda!.
Duh...!.
Masikini Wazungu hawa tuwasamehe bure tuu!.
Wanadhani Tanzania kuna serious na credible opposition ya kuweza kukabidhiwa Ikulu yetu!.
It's very unfortunately hawajui kuwa Tanzania hatuna upinzani wowote wa maana wenye uwezo wa kushika dola!. Huu upinzani uliopo ni upinzani uchwala!.
Kwa uchaguzi huu wa 2020, japo ni mchungu kumeza ila ndio ukweli wenyewe
[URL="https://www.jamiiforums.com/threads/swali-la-ukweli-mchungu-je-2020-magufuli-ana-mpinzani-au-mshindani-au-ni-magufuli-tu.1312536/"]Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au Ni Magufuli tu?!.Wa kukaya umefukiza uturi Jamvini,aroma yake inafungua mishipa yetu ya fikra....
Nimefarijika na maneno yako kuwa TANZANIA HAKUNA UPINZANI CREDIBLE...Hao wazungu wamekariri siasa za nchi ZAO kuwa KILA waendako duniani NI lazima WAWAKUTE WAPINZANI MITHILI YA WA NCHI ZAO simply ni OPPOSITION...
KALAGHABAHO Jeffrey Smith's et al.
WAKATABAHO
Mayala bana eti Ikulu yetu hembu kuwe na uthubutu wa hata nusu saa wa kuweka tume huru ya uchaguzi uone hao watanzania wataamua nini usiogopeDuh...!. Hawa mabeberu wa kizungu Buana!, wanahaha sana!. Wanadai kukiwa na uwanja sawa wa ushindani, Magufuli na CCM hawawezi kushinda!.
Duh...!.
Masikini Wazungu hawa tuwasamehe bure tuu!
Wala usipate shida kasome tu asilimia 98% ni wanafikiAiseeeee akili za wasomi wa nchi hii wengi huwa zinanipa shida sana wakati mwingine mpaka najikuta naghairi kwenda kusoma degree yangu ya kwanza, nikuulize swali? Unafikiri wakati tunakabidhiwa nchi na wakoloni mwaka 1961, tulikuwa credible enough kuweza kukabidhiwa nchi? Au unaongea tu hutaki kufikirisha akili yako kureason?
Hamna kitu kama hicho miaka mingine mitano ijayo kama Mungu atatupa uzima ni Magufuli wengine wasubiri 2025 watimuliane vumbi kama hao watangulizi walikaa miaka kumi kila mmoja kwa Mema,na Mabaya kwa nini huyu tusimpe tena ataishangaza Dunia kwa kura wabunge atakao pata kwa kishindo mnyonge mnyongeni haki yake mpeni tuombeane uzimaHivi magu mbona analazimisha watu wasahau hata yale mazuri aliyoyafanya? Hivi anajua kuwa mwelekeo ni kuwa ataondolewa vibaya kwenye hicho kiti kwa hii tabia inayo lazimishwa na wapambe wake ambao moto ukiwaka watamkana kuwa alikuwa haambiliki?
Yeye kama anaendesha mambo mpaka "atajisikiaje atakapoamka" halafu kina Pascal Mayalla wanamsifia kuwa hakuna kama yeye basi shauri yake. Kuna siku kilio kitakuwa chake pekee na wanae kina Jeska hao kina Pascal wakigongeana glass za whiskey!
Are you serious?? Kwny nchi ya kiimla wakosoaji wanakuwa salama?....Iko haja tujenge mifumo yetu na kukosoana kwa mambo ambayo hayako sawa humu humu ndani ili kesho yetu iwe bora kuliko leo yetu.
Smith ameshawahi kuishi Tanzania miaka zaidi ya 4 na haya maoni yake aliyopost ni baada ya kufanya tafiti..
Sometimes kama hamjui kitu ni Bora utulie Kwanza......makachero wapo wengi wanafanya Yao ili chama chenu cha kijani kipigwe chini October
anakazana kweli lakini hawamuoni kwny uteuziHata Gavana wa Uingereza hakuamini kama Mwalimu Nyerere na TANU wanaweza kuiongoza Tanganyika. Matokeo yake umeyaona mwenyewe.
Unawezaje kumhukumu mtu kuwa hawezi wakati hapewi nafasi?
Hili la kusema hakuna watu wengine wenye uwezo wa kuongoza nchi yetu sikubaliani nalo hata chembe! Ni uongo na uzandiki! Shame on you!Duh...!. Hawa mabeberu wa kizungu Buana!, wanahaha sana!. Wanadai kukiwa na uwanja sawa wa ushindani, Magufuli na CCM hawawezi kushinda!.
Duh...!.
Masikini Wazungu hawa tuwasamehe bure tuu!.
Wanadhani Tanzania kuna serious na credible opposition ya kuweza kukabidhiwa Ikulu yetu!.
It's very unfortunately hawajui kuwa Tanzania hatuna upinzani wowote wa maana wenye uwezo wa kushika dola!. Huu upinzani uliopo ni upinzani uchwala!.
Kwa uchaguzi huu wa 2020, japo ni mchungu kumeza ila ndio ukweli wenyewe
Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au Ni Magufuli tu?!.
P
Kama mtukufu mwenye mashauri mkuu Naibu Rais ndugu Daud Bashite kaweza kuongoza Nchi hakuna atakayeshindwa kuiongoza Nchi, kumbuka Bashite hana vyeti lakini ndiye mshauri mkuu wa mtukufu na Nchi inakwenda sembuse wapinzani ambao watakuwa na washauri wazuri wenye upeo mkubwa.Duh...!. Hawa mabeberu wa kizungu Buana!, wanahaha sana!. Wanadai kukiwa na uwanja sawa wa ushindani, Magufuli na CCM hawawezi kushinda!.
Duh...!.
Masikini Wazungu hawa tuwasamehe bure tuu!.
Wanadhani Tanzania kuna serious na credible opposition ya kuweza kukabidhiwa Ikulu yetu!.
It's very unfortunately hawajui kuwa Tanzania hatuna upinzani wowote wa maana wenye uwezo wa kushika dola!. Huu upinzani uliopo ni upinzani uchwala!.
Kwa uchaguzi huu wa 2020, japo ni mchungu kumeza ila ndio ukweli wenyewe
Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au Ni Magufuli tu?!.
P
Kama Naibu Rais ndugu Daud Bashite na mtukufu wameweza kuongoza Nchi ni mpinzani gani atashindwa ?Hili la kusema hakuna watu wengine wenye uwezo wa kuongoza nchi yetu sikubaliani nalo hata chembe! Ni uongo na uzandiki! Shame on you!
Tanganyika CCM walitaka aishie kwenye miaka 5 tu walimtaka mtu atakayeirejesha Dsm kuwa mji mpya toka Dodoma wanataka kurejesha Serikali huko Dsm ujue CCM hawapendani kwa kiwango kikubwa lakini sasa wanaishi kinafiki kwa kuzikariri zidumu fikra za mwenyekiti wa CCM.Pascal Mayalla, Magufuli Ni mwoga kuliko kunguru. Kwanini hakuwakemea wale Wasukuma wachawi wa Gamboshi waliposema watamuua mtu yeyote atakaye chukua fomu CCM kushindana na Magufuli?
Kwanini fomu ya urais CCM Tanzania 🇹🇿 Bara itolewe moja tu?
Jibu rahisi ni kwamba Magufuli kausoma upepo, kwamba hata angeshindana na Kingwendu kamati kuu ingempiga chini na kumpendekeza Kingwendu, full stop.
Simiyu: Waganga wa jadi kutoka Gamboshi na Bariadi wadai kumloga Mwana CCM atakayechukua fomu kumpinga Magufuli
Umesahau pia usalamaccm,mahakamaccm,NecccmMagufuli watz wameshamchoka anstumia policcm waliobashite kutisha watu