Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Du umenikumbusha mbali, beberu ni pale tuu anapotusema na kuingilia mambo yetu ya ndani ya sovereignty yetu. Lakini anapotusaidia ni nchi wahisani, nchi wafadhili, the donor community, the development partners, nchi marafiki, washirika wa maendeleo etc.".
And something reminds that, it's "Beberu" Claire Short who revealed BAE Scandal wakati akina Mayalla enzi hizo mnakula mishahara inayolipwa na wale wale waliokuwa wametuingiza kwenye BAE Saga, na wala hamkutujuza kuhusu BAE!
Enzi za kashfa ya Radar nilikuwa mtumishi wa FCO nikila £ zao!.
The Radar Scam: Chenge & Rashid...
Zanzibar kunyimwa 'Change ya RADA'
P