Uchaguzi 2020 Maoni ya Jeffery Smith juu ya Uchaguzi wa Tanzania 2020

Uchaguzi 2020 Maoni ya Jeffery Smith juu ya Uchaguzi wa Tanzania 2020

".
And something reminds that, it's "Beberu" Claire Short who revealed BAE Scandal wakati akina Mayalla enzi hizo mnakula mishahara inayolipwa na wale wale waliokuwa wametuingiza kwenye BAE Saga, na wala hamkutujuza kuhusu BAE!
Du umenikumbusha mbali, beberu ni pale tuu anapotusema na kuingilia mambo yetu ya ndani ya sovereignty yetu. Lakini anapotusaidia ni nchi wahisani, nchi wafadhili, the donor community, the development partners, nchi marafiki, washirika wa maendeleo etc.

Enzi za kashfa ya Radar nilikuwa mtumishi wa FCO nikila £ zao!.

The Radar Scam: Chenge & Rashid...

Zanzibar kunyimwa 'Change ya RADA'
P
 
Duh...!. Hawa mabeberu wa kizungu Buana!, wanahaha sana!. Wanadai kukiwa na uwanja sawa wa ushindani, Magufuli na CCM hawawezi kushinda!.
Duh...!.
Masikini Wazungu hawa tuwasamehe bure tuu!.
Wanadhani Tanzania kuna serious na credible opposition ya kuweza kukabidhiwa Ikulu yetu!.
It's very unfortunately hawajui kuwa Tanzania hatuna upinzani wowote wa maana wenye uwezo wa kushika dola!. Huu upinzani uliopo ni upinzani uchwala!.

Kwa uchaguzi huu wa 2020, japo ni mchungu kumeza ila ndio ukweli wenyewe
Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au Ni Magufuli tu?!.
P
Kusingekuwa na upinzani imara Tanzania wewe Pascal na wasukuma wenzako kwa maelfu msingesambazwa kila kona ya nchi kumfanyia jiwe propaganda na kutesha wapinzani. Hakuna serikali iliyofanikiwa kwenye propaganda kama hii. Na tena ina ajenda za siri za kuua nyingi sana.

Nina uhakika mwisho wa jiwe ni mbaya tu! Kuweni na akili ya kumsaidia ajifunze kutoka kwa akina Mobutu, Idd Amin, Mugabe, Ghadaffi, Saadam, Hosni Mubarak, n.k na hata Jose Edwardo dos Santos juzi tu.

Hawa wote walikuwa na fedha kuliko jiwe, walikuwa na nguvu kuliko jiwe, walikuwa wanaabudiwa kuliko jiwe na walitawala kwa zaidi ya miaka 30 lakini mwisho wao kila mtu anajua hakuna aliyeishia vizuri hata mmoja.

Dos santos yupo ukimbizini Portugal tena anateswa na successor wake ambaye alikuwa ni kama bashite kwa jiwe hapa kwetu. Mshaurini mtu wenu aache kulewa madaraka.
 
Huyu jeffrey smith ni nani?
Yani anaacha kufatilia ishu za nchini kwake anaongelea mambo ya Tanzania yanamuhusu nini?
 
Duh...!. Hawa mabeberu wa kizungu Buana!, wanahaha sana!. Wanadai kukiwa na uwanja sawa wa ushindani, Magufuli na CCM hawawezi kushinda!.
Duh...!.
Masikini Wazungu hawa tuwasamehe bure tuu!.
Wanadhani Tanzania kuna serious na credible opposition ya kuweza kukabidhiwa Ikulu yetu!.
It's very unfortunately hawajui kuwa Tanzania hatuna upinzani wowote wa maana wenye uwezo wa kushika dola!. Huu upinzani uliopo ni upinzani uchwala!.

Kwa uchaguzi huu wa 2020, japo ni mchungu kumeza ila ndio ukweli wenyewe
Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au Ni Magufuli tu?!.
P
Beberu mzawa!
1592575.jpg
 
Kusingekuwa na upinzani imara Tanzania wewe Pascal na wasukuma wenzako kwa maelfu msingesambazwa kila kona ya nchi kumfanyia jiwe propaganda na kutesha wapinzani. Hakuna serikali iliyofanikiwa kwenye propaganda kama hii. Na tena ina ajenda za siri za kuua nyingi sana. Nina uhakika mwisho wa jiwe ni mbaya tu! Kuweni na akili ya kumsaidia ajifunze kutoka kwa akina Mobutu, Idd Amin, Mugabe, Ghadaffi, Saadam, Hosni Mubarak, n.k na hata Jose Edwardo dos Santos juzi tu...
Hakuna mpinzani anaeteswa mkuu,wapinzani wanajitesa wenyewe kwa kukosa hoja za msingi za kusimamia kwa sababu mambo yote yaliyokuwa yanapigiwa kelele yamepata muarobaini sasa badala ya wapinzani kubadilika na kuja na strategy mpya wameshindwa wamebaki kufanya maigizo tu kutafuta huruma ya wananchi.

Kwa kweli wameishiwa na upinzani wao uchwara ndio umedhihirika wala sijui wataambia nini watu kipindi cha kampeni kuelekea uchaguzi mkuu oktoba
 
Pascal Mayalla, Magufuli Ni mwoga kuliko kunguru. Kwanini hakuwakemea wale Wasukuma wachawi wa Gamboshi waliposema watamuua mtu yeyote atakaye chukua fomu CCM kushindana na Magufuli?
Kwanini fomu ya urais CCM Tanzania 🇹🇿 Bara itolewe moja tu?
Jibu rahisi ni kwamba Magufuli kausoma upepo, kwamba hata angeshindana na Kingwendu kamati kuu ingempiga chini na kumpendekeza Kingwendu, full stop.
Simiyu: Waganga wa jadi kutoka Gamboshi na Bariadi wadai kumloga Mwana CCM atakayechukua fomu kumpinga Magufuli
Fomu bado zipo na hakuna aliekatazwa kuchukua kinachoendelea ni kwamba kila anaefikiria kuchukua na akijipima na Chuma mzani unaelemea upande mmoja hiyo ndio raha na faida ya uchapakazi....kila wakiwaza wanaona bora iendelee kuwa fomu moja tu.
 
Magufuli mwoga sana, hana ushawishi wowote na anajua kabisa jinsi asivyokubalika na wengi.
Endeeleni kujifariji hivyohivyo mtashangaa Oktoba na akimaliza tunabadili katiba aendelee ATAKE ASITAKE
 
Fomu bado zipo na hakuna aliekatazwa kuchukua kinachoendelea ni kwamba kila anaefikiria kuchukua na akijipima na Chuma mzani unaelemea upande mmoja hiyo ndio raha na faida ya uchapakazi....kila wakiwaza wanaona bora iendelee kuwa fomu moja tu.
Mnamfahamu Membe? Msimfanyie figisu, hilo pepo lenu chafu, hata Gaefalo analibwaga mchana kweupeeee
 
Duh...!. Hawa mabeberu wa kizungu Buana!, wanahaha sana!. Wanadai kukiwa na uwanja sawa wa ushindani, Magufuli na CCM hawawezi kushinda!.
Duh...!.
Masikini Wazungu hawa tuwasamehe bure tuu!...


P,

Hakuna upinzani kwasababu hizohizo za wapinzani kupigwa risasi, kuibiwa kura, kufutwa majina yao, kununuliwa, kufungiwa biashara zao, kufungiwa vyombo vya habari n.k. Hivyo tukiaminisha watu kwamba upinzani hawawezi kushika dolla tujiulize dolla ni nini kwanza. Hivyo kutokuwa na upinzani Tanzania sio watu kutokupenda na watu ndiyo muhimu sio vyama. Upepo utafuata watu kila siku kama Urusi ilivyokuwa

Polisi, Jeshi , mahakama na hata bunge sio serikali. Wakuu wa mkoa, wilaya, na wakurugenzi sio hawatakiwi kufanya kazi za kisiasa ni watendaji.

Nafasi za kuchaguliwa na Uraisi, udiwani na ubunge tu. Sasa hapo kuna ugumu gani! hati wizarani makatibu wote sio wanasiasa ambao ndiyo waendesha shughuli. Miradi pesa za watu wote na sio vyama vya siasa. Ukiangalia vizuri wananchi wanaaminishwa kama vile serikali ni kitu kigumu lakini sio kweli na nafasi nyingi sio za kisiasa na zitaendelea na watu walewale waliopo. Tofauti ni sera tu. Mawaziri tu hao 20 ndiyo nafasi za kisiasa nyingine zote ni nafasi za kiserikali.

Kama hatupendi huu mfumo tubadilishe lakini mfumo wetu umetoka kwa hao hao unao waita mabeberu. Ni bora kubadilisha tujue moja badala ya kunyanyasa watu kuazia kupigwa risasi wapinzani mpaka kuaribiwa biashara zao. Tujue tu kwamba Magu kabaliza muda mfupi sana na miradi mingi hata treni mpaka Moro haijamalizika je lini itafika Kigoma.
 
Duh...!. Hawa mabeberu wa kizungu Buana!, wanahaha sana!. Wanadai kukiwa na uwanja sawa wa ushindani, Magufuli na CCM hawawezi kushinda!.
Duh...!.
Masikini Wazungu hawa tuwasamehe bure tuu!...
Kumekucha. CCM, Magu na kanisa wanahitaji vurugu tu TZ. siioni dalili yeyote ile ya CCM kukubali kuachia madaraka. Mwaka huu ni kiboko.
 
Wadau wamemkaba koo "pascal" mpk amekuwa "pasiko"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
The Magufuli regime in #Tanzania “knows they cannot win on an equal political playing field ... They use any means necessary, including violence, to try to silence the opposition. This is a clear sign of weakness, not strength."

View attachment 1487318


Fears that President Magufuli will create a dictatorship in Tanzania
President Magufuli during an official visit to Kenya the year after he took office promising to tackle corruption

President Magufuli during an official visit to Kenya the year after he took office promising to tackle corruption

THOMAS MUKOYA/REUTERS

Tanzania dissolved its parliament and set course for an election in October days after an opposition leader was badly beaten and laws were passed granting senior government figures immunity from prosecution.

There is growing concern that President Magufuli, who took office in 2015 promising to tackle corruption, wants to create a dictatorship.

A range of amendments approved by MPs will protect senior ministers from any legal action in the course of governing. Critics say the legislation effectively hands “powers to continue violating constitutional rights” to President Magufuli whose time in office has been marked by crushing freedoms and dissent.

The latest beating of a senior opposition figure came only hours after Tundu Lissu, Mr Magufuli’s most high-profile critic, announced he would return from exile

Fears that President Magufuli will create a dictatorship in Tanzania
Ni vizuri wakaanza kuondoa udikteta kwenye nchi zao halafu wazungumzie ya kwetu. Wanawaua weusi wenzetu eti ndio demokrasia !!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Magufuli watz wameshamchoka anstumia policcm waliobashite kutisha watu
Nadhani unaongelea watz walio in your house not all citizens, issue hapa tunaongelea article ya huyo jamaa ambayo ina ukweli ila tusilishane maneno kuwa watz wamemchoka.

Kiongozi yeyote wa kitaifa akija na dhamila yake ya ujenzi wa taifa tofauti na mazoea ya wananchi siku zote anakuwa mbaya, tunakumbuka wkt wa Mkapa mlisema sana hasa pale aliposema (wananchi tufunge mkanda..) ikaja JK oooh hafai anacheka cheka aje rais serious mmh, kaja huyo huyo ambaye hata Mbowe alitamani aje jasiri as JPM leo 📣HAFAIII HUYOOOO...

Hapana ngoja kwanza.....
 
Nadhani unaongelea watz walio in your house not all citizens, issue hapa tunaongelea article ya huyo jamaa ambayo ina ukweli ila tusilishane maneno kuwa watz wamemchoka.

Kiongozi yeyote wa kitaifa akija na dhamila yake ya ujenzi wa taifa tofauti na mazoea ya wananchi siku zote anakuwa mbaya, tunakumbuka wkt wa Mkapa mlisema sana hasa pale aliposema (wananchi tufunge mkanda..) ikaja JK oooh hafai anacheka cheka aje rais serious mmh, kaja huyo huyo ambaye hata Mbowe alitamani aje jasiri as JPM leo 📣HAFAIII HUYOOOO...

Hapana ngoja kwanza.....



Ni wivu tu Magufulio apendwi.
 
Ni wivu tu Magufulio apendwi.
Takwimu zako zinakudanganya na inaonekana umekaa upande wa wapinzani uchwara ambao from morning to evening mna hasira tu kutwa kujazana sumu tu.

Watanzania wamemuelewa Rais wanampenda sana na watamchagua tena
 
Back
Top Bottom