Uchaguzi 2020 Maoni ya Jeffery Smith juu ya Uchaguzi wa Tanzania 2020

Uchaguzi 2020 Maoni ya Jeffery Smith juu ya Uchaguzi wa Tanzania 2020

upo sahihi mkuu.
hata wakoloni na wapiga debe wao nao pia walikuwa wakisema hivi hivi dhidi ya Mwalimu Nyerere enzi za kupigania Uhuru wa Tanganyika.
ni historia inajirudia.
Wapizani ni watz na wanasifa sawa na CCM navwanawwza sana
 
Duh...!. Hawa mabeberu wa kizungu Buana!, wanahaha sana!. Wanadai kukiwa na uwanja sawa wa ushindani, Magufuli na CCM hawawezi kushinda!.
Duh...!.
Masikini Wazungu hawa tuwasamehe bure tuu!.
Wanadhani Tanzania kuna serious na credible opposition ya kuweza kukabidhiwa Ikulu yetu!.
It's very unfortunately hawajui kuwa Tanzania hatuna upinzani wowote wa maana wenye uwezo wa kushika dola!. Huu upinzani uliopo ni upinzani uchwala!.

Kwa uchaguzi huu wa 2020, japo ni mchungu kumeza ila ndio ukweli wenyewe
Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au Ni Magufuli tu?!.
P
P hivi uwanja wa kisiasa kwa wapinzani upo sawa na chama tawala Tanzania?
Zengwe wanazoundiwa kila uchao sijui kama unaziona au kuzisikia?
Upinzani serious wenye kushika dola ni upi kwa mazingira ya utawala huu wa sasa?
Umetokea kubadilika mno kwenye hoja zako P hasa awamu hii . Ila ni kwa sababu ya kutegemea fadhila flani mbeleni. Kila kheri nikutakie.
 
Hata Gavana wa Uingereza hakuamini kama Mwalimu Nyerere na TANU wanaweza kuiongoza Tanganyika. Matokeo yake umeyaona mwenyewe.

Unawezaje kumhukumu mtu kuwa hawezi wakati hapewi nafasi?
Tatizo chadema mna fikra za kitumwa mnakomaa na Jambo ambalo kasema mzungu Kama vile ninyi hamna mawazo yenu. Akisema mzungu basi huko ufipa Fc inakuwa habari ya kweli na mnafarijika Sanaa. Mwenzenu Lissu kaamu kuuamia kabisa. Mkipewa nchi mtatuletea matatizo Sana na hao wazungu mnaowaabudu.
 
Hivi magu mbona analazimisha watu wasahau hata yale mazuri aliyoyafanya? Hivi anajua kuwa mwelekeo ni kuwa ataondolewa vibaya kwenye hicho kiti kwa hii tabia inayo lazimishwa na wapambe wake ambao moto ukiwaka watamkana kuwa alikuwa haambiliki?
Yeye kama anaendesha mambo mpaka "atajisikiaje atakapoamka" halafu kina Pascal Mayalla wanamsifia kuwa hakuna kama yeye basi shauri yake. Kuna siku kilio kitakuwa chake pekee na wanae kina Jeska hao kina Pascal wakigongeana glass za whiskey!
Jeska nitakuwa nae,hata husika na hicho kilio.
 
Sisi sisiem ndio Top Lecturers wa makachero, umeelewa, so hayo maneno yako ya kujitia moyo waambie wengine sio CCM.
Makachero uchwara wa tiss mmechemka Kwa KIGOGO 2014 anawapindua atakavyo nyie ni misukule Tu Kwenye mambo ya ukachero
 
Huu ni ukweli ulio wazi kabisa
Uzeni sera zenu badala ya majungu. Dkt Magufuli ndiyo habari ya mujini na vijijini, kama mnaona vipi mumufuate shangazi (nasikia mabeberu wamempatia mzigo kwao ulaya) au mumufuate Lisu au yule binti mtoa habari za magonjwa ya mlipuko
 
Hata Gavana wa Uingereza hakuamini kama Mwalimu Nyerere na TANU wanaweza kuiongoza Tanganyika. Matokeo yake umeyaona mwenyewe.

Unawezaje kumhukumu mtu kuwa hawezi wakati hapewi nafasi?
Huyu anajitahidi homeboy amsikie. Na sasa mayala (njaa) inauma kweli kweli na hiki kipindi ni mhula wa mwisho, asipokumbukwa atakufa
 
Nanyinyi mnajipendekeza kwa nani??
Sisi na nani? Kwani hiyo post imeandikwa na watu wangapi? Uliza mimi. Mimi sijipendekezi, naishi maisha yangu na sitarajii katika maisha yangu kushikiwa akili kama wewe na akina mayala. Tumia nguvu na akili yako na kumtegemea Mwenyezi Mungu, uwe huru. Mtaliwa ndogo. Shauri yenu.
 
Sisi na nani? Kwani hiyo post imeandikwa na watu wangapi? Uliza mimi. Mimi sijipendekezi, naishi maisha yangu na sitarajii katika maisha yangu kushikiwa akili kama wewe na akina mayala. Tumia nguvu na akili yako na kumtegemea Mwenyezi Mungu, uwe huru. Mtaliwa ndogo. Shauri yenu.
Mungu unayemtegemea humwamini basi,kama kutwa kucha ni povu namna hii.unaamini katika nguvu zako mwenyewe.
Hapo ndipo chuki,visasi,hasira na kinyongo huzaliwa.mnawaangalia watu kama sisi au mayala kwa jicho lenye chuki.ndio sababu hata madai ya hovyo hovyo yanazaliwa vichwani mwenu.
 
Duh...!. Hawa mabeberu wa kizungu Buana!, wanahaha sana!. Wanadai kukiwa na uwanja sawa wa ushindani, Magufuli na CCM hawawezi kushinda!.
Duh...!.
Masikini Wazungu hawa tuwasamehe bure tuu!.
Wanadhani Tanzania kuna serious na credible opposition ya kuweza kukabidhiwa Ikulu yetu!.
It's very unfortunately hawajui kuwa Tanzania hatuna upinzani wowote wa maana wenye uwezo wa kushika dola!. Huu upinzani uliopo ni upinzani uchwala!.

Kwa uchaguzi huu wa 2020, japo ni mchungu kumeza ila ndio ukweli wenyewe
Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au Ni Magufuli tu?!.
P
Leading a country like Tanzania, you don't need to be serious as you claim. Unahitaji mamlaka ya kidola tu kufanya wanayo fanya. Mzee Mayala amini nakwambia hata wewe ukiwa na nguvu hizo unaweza hata kuwazidi.
 
It's very unfortunately hawajui kuwa Tanzania hatuna upinzani wowote wa maana wenye uwezo wa kushika dola!. Huu upinzani uliopo ni upinzani uchwala!.


Hata wewe Paschal leo unaongea off point OUT OF CONTEXT??!!., sijui unataka kumpendeza nani!!!!

Huyo jamaa anasema; Magufuli can not win the coming general election; "ON AN EQUAL POLITICAL PLAYING FIELD", ----hicho ndicho alichosema, sasa kama vyama vya upinzani ni weak or not hiyo ni habari nyingine na Watanzania ndio watakaoamua through the ballot box, Watz hawahitaji kupangiwa utashi na haki yao ya kuchagua wanachopenda, kinachotakiwa ni; a plain, thorn less political field to all parties, otherwise the whole election will be dubious and bogus.
 
Kila aamiye atabatizwa, endeleeni kuwaamini wazungu na propaganda zao huku mkishindwa kuimarisha vyama vyenu mnategemea kuishinda CCM.

Ukiacha CCM kuwa na dola CCM ina mfumo wa uongozi hadi ngazi ya kaya 10 wakati upinzani mfumo tu wa hadi Wilayani hauna maeneo yaliyo mengi ya nchi
 
Uzeni sera zenu badala ya majungu. Dkt Magufuli ndiyo habari ya mujini na vijijini, kama mnaona vipi mumufuate shangazi (nasikia mabeberu wamempatia mzigo kwao ulaya) au mumufuate Lisu au yule binti mtoa habari za magonjwa ya mlipuko
Mataga vipi mbona umepanic?
 
Back
Top Bottom