Uchaguzi 2020 Maoni ya Jeffery Smith juu ya Uchaguzi wa Tanzania 2020

Uchaguzi 2020 Maoni ya Jeffery Smith juu ya Uchaguzi wa Tanzania 2020

Duh...!. Hawa mabeberu wa kizungu Buana!, wanahaha sana!. Wanadai kukiwa na uwanja sawa wa ushindani, Magufuli na CCM hawawezi kushinda!.
Duh...!.
Masikini Wazungu hawa tuwasamehe bure tuu!
Nyerere wakati anakabidhiwa nchi si alikuwa mwalimu wa Sekonda
 
Mwangalieni huyu....

Eti mambo yote yaliyokuwa yanapigiwa kelele yamepata mwarobaini!

Kwa miaka nenda rudi suala la ufisadi ndo limekuwa likipigiwa kelele! Kwa mwenye akili timamu anafahamu wazi ufisadi mkubwa nchi umekuwa ukifanywa na Watendaji wa juu kabisa serikalini kama Makatibu Wakuu wa wizara pamoja na high profile politicians kama vile mawaziri...
Tulitegemea wapinzani wangeendelea kuyashikia kidete mambo haya kama walivyokuwa wakifanya nyuma lakini hawafanyi tena wamebakia kuigiza na kujifanya wanaonewa ili wananchi wawaonee huruma na mwaka huu wataisoma namba hakuna cha huruma wala nini tunataka kuwasikia kwa miaka 5 wamefanya nini cha maendeleo ili tuwachague tena kama hamna wasubiri Oktoba
 
Duh...!. Hawa mabeberu wa kizungu Buana!, wanahaha sana!. Wanadai kukiwa na uwanja sawa wa ushindani, Magufuli na CCM hawawezi kushinda!.
Duh...!.
Masikini Wazungu hawa tuwasamehe bure tuu!

Umechelewa washachagua ma dc na ded arusha. Naona unajitutumua. Komaa watakuona
 
Sihitaji kupitia mabandiko yako ya zama damu eti ndio nijue mitazamo yako. Najua ni wapi unasimamia, mara baada ya mambo yako kuyumba.

Rejea hiki nilichokuambia kuwa msimamo wako umekuwaje kwa sasa baada ya mambo yako kwenda mrama. Hivyo ww sio mzalendo, bali ni msaka ulaji, na tiketi ya kuupata huo ulaji ni kujifanya mzalendo.
 
Pascal Mayalla, Magufuli Ni mwoga kuliko kunguru. Kwanini hakuwakemea wale Wasukuma wachawi wa Gamboshi waliposema watamuua mtu yeyote atakaye chukua fomu CCM kushindana na Magufuli?
Kwanini fomu ya urais CCM Tanzania 🇹🇿 Bara itolewe moja tu?
Jibu rahisi ni kwamba Magufuli kausoma upepo, kwamba hata angeshindana na Kingwendu kamati kuu ingempiga chini na kumpendekeza Kingwendu, full stop.
Simiyu: Waganga wa jadi kutoka Gamboshi na Bariadi wadai kumloga Mwana CCM atakayechukua fomu kumpinga Magufuli
Mimi mwenyewe najua hata nikishindana na kivuli changu, naogopa nitashindwa tu. Watu wanaweza kulipa jiwe kura kuliko kwenda kupata kinywaji.
 
Wanajidanganya tu, wangejua upinzani Tanzania hata Ngazi ya mashina hawana ,hawajui hata wana mtaji wa wapiga kura wangapi ,

Ccm wanaweza kukuambia wana mtaji wa wapiga kura wangapi , kwa data zilizo rasmi , wana mtaji kuanzia ngazi ya mashina , hadi juu

Chadema na upinzani mwingine wanategemea Mikumbo tu ili kuokoteza kura .

Kwa Tanzania VYAMA vya upinzani ni makampuni ya watu binafsi ,

Hivi uliwahi kujiuliza kwanini waligomea uchaguzi wa Serikali za mitaa , lakini kuelekea uchaguz mkuu hawajagomea ?

Serikali za mitaa hazina faida kwa kikundi cha watu kama Mbowe, mdee,Zito , Sugu, Zina faida kwa vijana wanaochipukia kwenye Siasa .


Ila Uchaguzi mkuu kwao ni fursa ya kuongeza Ruzuku na kupata angalau ubunge , na sio kuchukua dola.

Sababu walizotumia kugomea Uchaguzi Serikali za mitaa je kwenye Uchaguzi mkuu zimerekebishwa?

Utagundua Tanzania hatuna Upinzani ,Bali tuna wasakatonge tu, na upinzani uchwara .
Kama upinzani tanzania ni dhaifu kama mnavyosema mbona kila siku mnautumia polisi wauuwe?

Wakiweka vikao vya ndani mnawakamata .

Wakiweka mikutano ya nje mnawazuia kwa sababu za kiintelijensia.

Kwa miaka mitano mmewazuia kufanya siasa kwa namna yoyote ile mnategemea upinzani ukue?

VYOMBO vya habari vyao mnavifungia.

VYOMBO vya habari ambavyo sio vyao mmevitisha visitangaze habari zao nzuri.

Mnaviruhusu vitangaze habari za wabunge wao kuja CCM tu.

Yani upinzani mnaufanyia kila Aina ya ugaidi.

Viongozi wait ama mnawapiga risasi au mnawafungulia.kesi za uonezi.

Kwenu nyie credible opposition ni wanasiasa Aina ya mbatia na mrema.

Mnausema upinzani wa Tanzania ni dhaifu huku mnaupambanisha na dola (polisi na majeshi)

Mahaka zote mmezitia mfukoni mtu kama lisu alieonewa vibaya mno mahakama zenu zimeshindwa kumpa haki.

Kiufupi watanzania wenye akili wanauelewa upinzani Sana na CCM wanaiona Kama chama cha kigaidi kilichoshikilia dola.

Kama mnaamini upinzani wa Tanzania ni dhaifu wekeni uwanja sawa wa mapambano muone.

Msivyo na aibu mnajiwekea Kinga msishtakiwe kwasababu mnajua madhambi yenu.
 
dola inaiterorize Strong oposition halafu mnasema Haina nguvu ha ha ha
 
Duh...!. Hawa mabeberu wa kizungu Buana!, wanahaha sana!. Wanadai kukiwa na uwanja sawa wa ushindani, Magufuli na CCM hawawezi kushinda!.
Duh...!.
Masikini Wazungu hawa tuwasamehe bure tuu!
Pascal. What criterion are you using to conclude that opposition in TZ at the moment is that weak and incredible? Come out with some concrete and testable reasons.
 
Hata Gavana wa Uingereza hakuamini kama Mwalimu Nyerere na TANU wanaweza kuiongoza Tanganyika. Matokeo yake umeyaona mwenyewe.

Unawezaje kumhukumu mtu kuwa hawezi wakati hapewi nafasi?
Mpe hongera Mayala kwa ka-press card kake kurejeshwa. Tumtakie urafiki mwema na Bia Yao.
 
Hata Gavana wa Uingereza hakuamini kama Mwalimu Nyerere na TANU wanaweza kuiongoza Tanganyika. Matokeo yake umeyaona mwenyewe.

Unawezaje kumhukumu mtu kuwa hawezi wakati hapewi nafasi?
0
Urais sio sehemu ya majaribio ya kila mtu apewe nafasi hilo lielewe na utie akilini mwako DAKTARI, pili TZ
Ukiondoa wanachama baadhi waliopo ndani ya CCM huko nje hakuna kiumbe yeyote kwasasa labda miaka 50 ijayo angalau atakuwa na sifa za kuwa RAIS kwa sasa hakuna kabisa na hawako SERIOUS, labda ubunge na udiwani tu nako wanaenda pata kipigo kikali mithili ya kipigo cha mbwa KOKO unapigwa na kuchakaa...
 
Aiseeeee akili za wasomi wa nchi hii wengi huwa zinanipa shida sana wakati mwingine mpaka najikuta naghairi kwenda kusoma degree yangu ya kwanza, nikuulize swali? Unafikiri wakati tunakabidhiwa nchi na wakoloni mwaka 1961, tulikuwa credible enough kuweza kukabidhiwa nchi? Au unaongea tu hutaki kufikirisha akili yako kureason?
Mkuu usimchukulie kwa umakini Pasco uwezo wake wa kufikiri umekoma.
 
Bro angalau sasa umerudishiwa card yako...mihela itamiminika soon 77.

Na nakuhakikishia baada ya october tegemea mazuri hata ukuu wa wilaya lazima utaupata.
Duh...!. Hawa mabeberu wa kizungu Buana!, wanahaha sana!. Wanadai kukiwa na uwanja sawa wa ushindani, Magufuli na CCM hawawezi kushinda!.
Duh...!.
Masikini Wazungu hawa tuwasamehe bure tuu!.
Wanadhani Tanzania kuna serious na credible opposition ya kuweza kukabidhiwa Ikulu yetu!.
It's very unfortunately hawajui kuwa Tanzania hatuna upinzani wowote wa maana wenye uwezo wa kushika dola!. Huu upinzani uliopo ni upinzani uchwala!.

Kwa uchaguzi huu wa 2020, japo ni mchungu kumeza ila ndio ukweli wenyewe
Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au Ni Magufuli tu?!.
P
 
Back
Top Bottom