Nyerere wakati anakabidhiwa nchi si alikuwa mwalimu wa SekondaDuh...!. Hawa mabeberu wa kizungu Buana!, wanahaha sana!. Wanadai kukiwa na uwanja sawa wa ushindani, Magufuli na CCM hawawezi kushinda!.
Duh...!.
Masikini Wazungu hawa tuwasamehe bure tuu!
Tulitegemea wapinzani wangeendelea kuyashikia kidete mambo haya kama walivyokuwa wakifanya nyuma lakini hawafanyi tena wamebakia kuigiza na kujifanya wanaonewa ili wananchi wawaonee huruma na mwaka huu wataisoma namba hakuna cha huruma wala nini tunataka kuwasikia kwa miaka 5 wamefanya nini cha maendeleo ili tuwachague tena kama hamna wasubiri OktobaMwangalieni huyu....
Eti mambo yote yaliyokuwa yanapigiwa kelele yamepata mwarobaini!
Kwa miaka nenda rudi suala la ufisadi ndo limekuwa likipigiwa kelele! Kwa mwenye akili timamu anafahamu wazi ufisadi mkubwa nchi umekuwa ukifanywa na Watendaji wa juu kabisa serikalini kama Makatibu Wakuu wa wizara pamoja na high profile politicians kama vile mawaziri...
Duh...!. Hawa mabeberu wa kizungu Buana!, wanahaha sana!. Wanadai kukiwa na uwanja sawa wa ushindani, Magufuli na CCM hawawezi kushinda!.
Duh...!.
Masikini Wazungu hawa tuwasamehe bure tuu!
Paskali ni yule yule Pasco wa jf ila sasa kawa Mzalendo zaidi.
P
Sihitaji kupitia mabandiko yako ya zama damu eti ndio nijue mitazamo yako. Najua ni wapi unasimamia, mara baada ya mambo yako kuyumba.
Mimi mwenyewe najua hata nikishindana na kivuli changu, naogopa nitashindwa tu. Watu wanaweza kulipa jiwe kura kuliko kwenda kupata kinywaji.Pascal Mayalla, Magufuli Ni mwoga kuliko kunguru. Kwanini hakuwakemea wale Wasukuma wachawi wa Gamboshi waliposema watamuua mtu yeyote atakaye chukua fomu CCM kushindana na Magufuli?
Kwanini fomu ya urais CCM Tanzania 🇹🇿 Bara itolewe moja tu?
Jibu rahisi ni kwamba Magufuli kausoma upepo, kwamba hata angeshindana na Kingwendu kamati kuu ingempiga chini na kumpendekeza Kingwendu, full stop.
Simiyu: Waganga wa jadi kutoka Gamboshi na Bariadi wadai kumloga Mwana CCM atakayechukua fomu kumpinga Magufuli
Kama upinzani tanzania ni dhaifu kama mnavyosema mbona kila siku mnautumia polisi wauuwe?Wanajidanganya tu, wangejua upinzani Tanzania hata Ngazi ya mashina hawana ,hawajui hata wana mtaji wa wapiga kura wangapi ,
Ccm wanaweza kukuambia wana mtaji wa wapiga kura wangapi , kwa data zilizo rasmi , wana mtaji kuanzia ngazi ya mashina , hadi juu
Chadema na upinzani mwingine wanategemea Mikumbo tu ili kuokoteza kura .
Kwa Tanzania VYAMA vya upinzani ni makampuni ya watu binafsi ,
Hivi uliwahi kujiuliza kwanini waligomea uchaguzi wa Serikali za mitaa , lakini kuelekea uchaguz mkuu hawajagomea ?
Serikali za mitaa hazina faida kwa kikundi cha watu kama Mbowe, mdee,Zito , Sugu, Zina faida kwa vijana wanaochipukia kwenye Siasa .
Ila Uchaguzi mkuu kwao ni fursa ya kuongeza Ruzuku na kupata angalau ubunge , na sio kuchukua dola.
Sababu walizotumia kugomea Uchaguzi Serikali za mitaa je kwenye Uchaguzi mkuu zimerekebishwa?
Utagundua Tanzania hatuna Upinzani ,Bali tuna wasakatonge tu, na upinzani uchwara .
100% true to anybody with a rational mind. It is a pity!Huu ni ukweli ulio wazi kabisa
Pascal. What criterion are you using to conclude that opposition in TZ at the moment is that weak and incredible? Come out with some concrete and testable reasons.Duh...!. Hawa mabeberu wa kizungu Buana!, wanahaha sana!. Wanadai kukiwa na uwanja sawa wa ushindani, Magufuli na CCM hawawezi kushinda!.
Duh...!.
Masikini Wazungu hawa tuwasamehe bure tuu!
Mpe hongera Mayala kwa ka-press card kake kurejeshwa. Tumtakie urafiki mwema na Bia Yao.Hata Gavana wa Uingereza hakuamini kama Mwalimu Nyerere na TANU wanaweza kuiongoza Tanganyika. Matokeo yake umeyaona mwenyewe.
Unawezaje kumhukumu mtu kuwa hawezi wakati hapewi nafasi?
Duh...!. Hawa mabeberu wa kizungu Buana!, wanahaha sana!. Wanadai kukiwa na uwanja sawa wa ushindani, Magufuli na CCM hawawezi kushinda!.
Duh...!.
Masikini Wazungu hawa tuwasamehe bure tuu
0Hata Gavana wa Uingereza hakuamini kama Mwalimu Nyerere na TANU wanaweza kuiongoza Tanganyika. Matokeo yake umeyaona mwenyewe.
Unawezaje kumhukumu mtu kuwa hawezi wakati hapewi nafasi?
Mkuu usimchukulie kwa umakini Pasco uwezo wake wa kufikiri umekoma.Aiseeeee akili za wasomi wa nchi hii wengi huwa zinanipa shida sana wakati mwingine mpaka najikuta naghairi kwenda kusoma degree yangu ya kwanza, nikuulize swali? Unafikiri wakati tunakabidhiwa nchi na wakoloni mwaka 1961, tulikuwa credible enough kuweza kukabidhiwa nchi? Au unaongea tu hutaki kufikirisha akili yako kureason?
Daaaaaah aiseeeee, kwakweli kila ninapotafakari wasomi wa nchi hii nabaki kushangaaa tuMkuu usimchukulie kwa umakini Pasco uwezo wake wa kufikiri umekoma.
Yani mtu anaongea jambo utazani mtoto anayejifunza kuongeaMkuu usimchukulie kwa umakini Pasco uwezo wake wa kufikiri umekoma.
Duh...!. Hawa mabeberu wa kizungu Buana!, wanahaha sana!. Wanadai kukiwa na uwanja sawa wa ushindani, Magufuli na CCM hawawezi kushinda!.
Duh...!.
Masikini Wazungu hawa tuwasamehe bure tuu!.
Wanadhani Tanzania kuna serious na credible opposition ya kuweza kukabidhiwa Ikulu yetu!.
It's very unfortunately hawajui kuwa Tanzania hatuna upinzani wowote wa maana wenye uwezo wa kushika dola!. Huu upinzani uliopo ni upinzani uchwala!.
Kwa uchaguzi huu wa 2020, japo ni mchungu kumeza ila ndio ukweli wenyewe
Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au Ni Magufuli tu?!.
P