Maoni ya Mwanasheria kuhusu kufungiwa kwa Diamond Platnumz na Rayvanny

Mkuu, lengo la jukwaa kama hili ni kuelimishana, kuelimishana hakuna mipaka. Ni vyema ungeitumia nafasi hii kumuelimisha huyu jamaa (siyo wakili ni Mwanasheria wa kawaida "legal officer") kwa kuweka wazi makosa yaliyomo kwenye hili bandiko lako kuliko kukaa unarukaruka bila kutaja amekosea wapi, ukileta kejeli nitakujibu kwa kejeli. It is clear kiingereza cha jamaa ni kizuri mara 1000 ukilinganisha na kiongozi wako wa chama.
Usifanye masikhara. Huyo mwanasheria hajui Kiingereza vizuri. Hakuna cha Magufuli wala nini.
 
Nimeshafanya hivyo. Angalia sehemu nilizokoleza kwa wino mwekundu. Makosa ni makosa tu; usianze oh kiongozi wako wa chama sijui nini. Haisaidii kitu.
 
Asikilizwe Mara ngapi huyo Freemason nakati hata kwenye ule upumbavu wake wa "African Beauty" walimsitiri?

Ngoja liendelee tu kufunzwa hilo punguwani lenu mxiuuuu...!
Natural justice? Diamond aliitwa akasikilizwa na nyimbo ikafungiwa.

Wamekaidi adhabu waliopewa.
 
Yah ni tatizo siyo kwa wanasheria tu ni kwa watanzania wote mkuu. Huyo Jaji mkuu anayesema mawakili ngoja tukae kimya maana kuna hukumu za mahakimu wake utacheka utafikiri siyo judicial commission iliyochini yake iliyowaajiri.
Ndio maana Jaji Mkuu anasema Kiingereza bado ni janga kwa wanasheria wetu.
 
Nadhani lay person atakayeshindwa kumuelewa mtoa post ni wewe mkuu.

You are common man in this thread,

Haijalishi Diamond Platnumz amefanya kosa gani violation of the principle of natural justice is fatal, inaharibu nia njema yote ya BASATA. Ni muhimu hao watendaji wakapewa elimu juu ya vitu vidogo vidogo kama hivi tena its purely administrative law.
 
Sometimes tuache dharau,umekatazwa kucheza wimbo flani still ukaucheza,umeambiwa futa huo wimbo YouTube still hujafuta,Kama sio dharau ni nn?,wasijione kuwa wao ni wasanii wakubwa kiasi kwamba hawaguswi sheria lazima ile pote!
Nakazia mkuu
 
This thread made me laugh alot wallahi am trying to understand every comment posted here. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…