Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,237
- Thread starter
- #41
Mkuu, lengo la jukwaa kama hili ni kuelimishana, kuelimishana hakuna mipaka. Ni vyema ungeitumia nafasi hii kumuelimisha huyu jamaa (siyo wakili ni Mwanasheria wa kawaida "legal officer") kwa kuweka wazi makosa yaliyomo kwenye hili bandiko lako kuliko kukaa unarukaruka bila kutaja amekosea wapi, ukileta kejeli nitakujibu kwa kejeli. It is clear kiingereza cha jamaa ni kizuri mara 1000 ukilinganisha na kiongozi wako wa chama.
Usifanye masikhara. Huyo mwanasheria hajui Kiingereza vizuri. Hakuna cha Magufuli wala nini.