Mhonzuyadilu
Senior Member
- Oct 28, 2012
- 156
- 53
eti dr kikwete! no wonder alikacha mdahalo wakati wa kampeni za uchaguzi 2010! washabiki wake wote ni wale wababaishaji na wanafiki kama akina samweli sitta, Buchannan, Mwigulu Nchemba, and the like![/
QUOTE]
Tundu Lisu ni noooooooooomaaaaaaaaa ni hatariiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ana nondo za baraaaaaaaa mavi Tbc yamewatoka hadi wamesitisha matangazo yao Bungeni.Lisu kaivua hadi chupi serikali ya ccm na hitimisho kumbe hakuna hati ya muungano popote pale duniani.Ccm na kikwete aibu ya mwaka hiyo teeeeena.
Safi sana Video kabisa
Da hawa tbc ni ccm nini
Ndugai alitaka matangazo ya bunge yasirushwe na chombo chochote,eti bunge liwe na MEDIA zake
eti dr kikwete! no wonder alikacha mdahalo wakati wa kampeni za uchaguzi 2010! washabiki wake wote ni wale wababaishaji na wanafiki kama akina samweli sitta, Buchannan, Mwigulu Nchemba, and the like![/
QUOTE]
Tundu Lisu ni noooooooooomaaaaaaaaa ni hatariiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ana nondo za baraaaaaaaa mavi Tbc yamewatoka hadi wamesitisha matangazo yao Bungeni.Lisu kaivua hadi chupi serikali ya ccm na hitimisho kumbe hakuna hati ya muungano popote pale duniani.Ccm na kikwete aibu ya mwaka hiyo teeeeena.
Teh!!!teh!!!so funny kwakweli....wameishiwa sera wana kazi ya kutudanganya kama watoto..watanzania wa sasa siyo sawa na wa zamani
usichukue muda mrefu mkuu, nina maswali mengi yasio na majibu
Ninyi CDM si mligomea TBC leo imekuwaje mnawasaliti viongozi wenu mnaangalia?
Unauliza nini na wewe..!?