Maoni yangu binafsi kuhusu dini

Maoni yangu binafsi kuhusu dini

Mkuu kwanza kabisa unaelewa kwamba mpaka mwaka 1869, kabla ya mfereji wa Suez kuchimbwa, hapo kipande cha Egypt na hii inayoitwa Israel leo hapakuwa pametenganishwa na maji? Unaelewa kwamba watu waliweza kupita kwa mguu tu hapo mpaka mwaka 1869 watu walipochimba mfereji wa Suez ili meli zipite?
Sasa Kiranga unataka kutuambia kuwa wanaotuambia kuwa wakati tukio hili linatokea, waliandika mambo haya kwa fikra zao binafsi bila uhalisia? Wangekuwa na interest gani kutunga mambo yasiyo na ukweli? Kwa wakati huu, ambapo bahari ya Sham (Red Sea) ilikuwepo, tayari Wana wa Israel walikuwa wameishi kitambo utumwani nchini Misri! Habari nyingi sana zinaongelea kuhusu Red Sea wakati Wana wa Israel tayari wakiwa Misri!
 
Sasa Kiranga unataka kutuambia kuwa wanaotuambia kuwa wakati tukio hili linatokea, waliandika mambo haya kwa fikra zao binafsi bila uhalisia? Wangekuwa na interest gani kutunga mambo yasiyo na ukweli? Kwa wakati huu, ambapo bahari ya Sham (Red Sea) ilikuwepo, tayari Wana wa Israel walikuwa wameishi kitambo utumwani nchini Misri! Habari nyingi sana zinaongelea kuhusu Red Sea wakati Wana wa Israel tayari wakiwa Misri!
Mimi sikubisha kusema Red Sea haikuwepo, nakwambia kulikuwa na land bridge.

Mkuu umesoma huyo Profesa wa Harvard alivyoeleza kwamba stories za Biblia zina utata mwingi sana kwa sababu.

1. Hazikuandikwa muda mambo yalipotokea, zimeandikwa miaka mingi sana. Pengine mamia ya miaka, na zimekuwa edited mpaka maelfu ya miaka baadaye.

2. Zimeandikwa kwa kubadilishwa badilishwa sana, yani kama leo tuwe tunamuandika Nyerere, halafu tunaona Nyerere alikosea kumrudisha Kassim Hanga aende kuuawa na Karume Unguja, halafu tutake kubadili story tuseme Kassim Hanga alipaa kimaajabu akafika Unguja ili tumuondolee Nyerer lawama kwamba alimpeleka Unguja.

3. Watu wanaosemwa wameaandika si walioandika.

4. Kuna watu wengine ni wa kutungwa tu, hawakuwapo.

5. Mambo mengine ni kama allegory, mafumbo tu, unaweza kusoma Adam na Hawa waliishi bustani ya Edeni, ukafikiri watu hawa waliishi, kumbe story inakwambia jamii ilivyotoka kuwa hunter gatherers na kuwa wakulima na wafugaji.
 
Mimi sikubisha kusema Red Sea haikuwepo, nakwambia kulikuwa na land bridge.

Mkuu umesoma huyo Profesa wa Harvard alivyoeleza kwamba stories za Biblia zina utata mwingi sana kwa sababu.

1. Hazikuandikwa muda mambo yalipotokea, zimeandikwa miaka mingi sana. Pengine mamia ya miaka, na zimekuwa edited mpaka maelfu ya miaka baadaye.

2. Zimeandikwa kwa kubadilishwa badilishwa sana, yani kama leo tuwe tunamuandika Nyerere, halafu tunaona Nyerere alikosea kumrudisha Kassim Hanga aende kuuawa na Karume Unguja, halafu tutake kubadili story tuseme Kassim Hanga alipaa kimaajabu akafika Unguja ili tumuondolee Nyerer lawama kwamba alimpeleka Unguja.

3. Watu wanaosemwa wameaandika si walioandika.

4. Kuna watu wengine ni wa kutungwa tu, hawakuwapo.

5. Mambo mengine ni kama allegory, mafumbo tu, unaweza kusoma Adam na Hawa waliishi bustani ya Edeni, ukafikiri watu hawa waliishi, kumbe story inakwambia jamii ilivyotoka kuwa hunter gatherers na kuwa wakulima na wafugaji.
Hivi kitabu cha historia, au jiografia, au sayansi, kilichosomwa na mababu zetu ndio hichohicho tunachosoma sisi leo? Si kunakuwa na edition tofauti tofauti zimepita tangu kipindi hicho cha mababu zetu?

Edition mpya haibadili quality ya kitabu bali ni maboresho, na theory na principles zitabaki kuwa ni zile zile. Kama kungekuwa na mabadiliko, hata vitu vinavyotengenezwa kwa kutumia theories na principles hizo navyo vingebadilika.

Ndege au meli zilitengenezwa karne nyingi zilizopita, na mpaka leo bado zinatengenezwa, kwa kutumia principles zilezile, lakini kitabu chenye principle hiyo leo sio kile cha karne ya 19.

Kuwa na matoleo tofauti ya vitabu hakubadili ukweli uliokusudiwa. Na hii ndio njia pekee ya kurithisha jambo toka kizazi kimoja hadi kingine. Hatutaki jamii ijayo (au kizazi kijacho) ipotoke, hivyo lazima kuwe na udhibiti wa mambo hayo (consistency).

Vivyo hivyo kwa Biblia, imerithishwa toka vizazi na vizazi, habari zilikusanywa kutoka maktaba mbalimbali na kuwekwa pamoja kwa uangalifu wa hali ya juu. Hakuna mtu aliweza kuipotosha Biblia, kwani mambo yaliyoandikwa yalishuhudiwa na watu wengi!
 
Hivi kitabu cha historia, au jiografia, au sayansi, kilichosomwa na mababu zetu ndio hichohicho tunachosoma sisi leo? Si kunakuwa na edition tofauti tofauti zimepita tangu kipindi hicho cha mababu zetu?

Edition mpya haibadili quality ya kitabu bali ni maboresho, na theory na principles zitabaki kuwa ni zile zile. Kama kungekuwa na mabadiliko, hata vitu vinavyotengenezwa kwa kutumia theories na principles hizo navyo vingebadilika.

Ndege au meli zilitengenezwa karne nyingi zilizopita, na mpaka leo bado zinatengenezwa, kwa kutumia principles zilezile, lakini kitabu chenye principle hiyo leo sio kile cha karne ya 19.

Kuwa na matoleo tofauti ya vitabu hakubadili ukweli uliokusudiwa. Na hii ndio njia pekee ya kurithisha jambo toka kizazi kimoja hadi kingine. Hatutaki jamii ijayo (au kizazi kijacho) ipotoke, hivyo lazima kuwe na udhibiti wa mambo hayo (consistency).

Vivyo hivyo kwa Biblia, imerithishwa toka vizazi na vizazi, habari zilikusanywa kutoka maktaba mbalimbali na kuwekwa pamoja kwa uangalifu wa hali ya juu. Hakuna mtu aliweza kuipotosha Biblia, kwani mambo yaliyoandikwa yalishuhudiwa na watu wengi!
Hoja ya kuwapo Mungu, hoja ya neno la Mungu, tofauti ya habari za Mungu na habari zingine za watu tu, kubwa kuliko yote, kubwa kabisa, ni moja tu.

Neno la Mungu halina makosa. Neno la Mungu halibadiliki. Neno la Mungu ni ukweli wa milele.

Ukishaona neno la Mungu linaanza kubadilishwa ili liende na wakati, hapo ujue hakuna Mungu, hilo si neno la Mungu, ni neno la watu tu.

Vitabu vinavyoandikwa na watu vya historia, jiografia, sayansi etc, ni lazima vibadilishwe kwenda na muda.

Kwa sababu uelewa wetu wa mambo hayo unabadilika.

Sasa, vitabu vilivyoandikwa na Mungu kupitia watu wake kwa nini vibadilike?

Mungu kashindwa kuandika ukweli usiobadilika?

Ukichunguza sana utaona huyo Mungu hayupo, hivi ni vitabu vimeandikwa na watu tu.

Ndiyo maana vinahitaji kubadilishwa kwenda na wakati.

Na kwa mabadiliko ya sasa ya sayansi na teknolojia, vitashindwa ku keep up, ingawa bado wengi wataviamini kwa sababu saikolojia ya mtu inapenda kuwa na kitu cha kuamini.

Wewe hushangai katika vitabu vyote vya dini vya old world hakuna kitabu chochote kilichotaja bara la Amerika?

Ina maana Mungu hakujua kuna Amerika?
 
Hoja ya kuwapo Mungu, hoja ya neno la Mungu, tofauti ya habari za Mungu na habari zingine za watu tu, kubwa kuliko yote, kubwa kabisa, ni moja tu.

Neno la Mungu halina makosa. Neno la Mungu halibadiliki. Neno la Mungu ni ukweli wa milele.

Ukishaona neno la Mungu linaanza kubadilishwa ili liende na wakati, hapo ujue hakuna Mungu, hilo si neno la Mungu, ni neno la watu tu.

Vitabu vinavyoandikwa na watu vya historia, jiografia, sayansi etc, ni lazima vibadilishwe kwenda na muda.

Kwa sababu uelewa wetu wa mambo hayo unabadilika.

Sasa, vitabu vilivyoandikwa na Mungu kupitia watu wake kwa nini vibadilike?

Mungu kashindwa kuandika ukweli usiobadilika?

Ukichunguza sana utaona huyo Mungu hayupo, hivi ni vitabu vimeandikwa na watu tu.

Ndiyo maana vinahitaji kubadilishwa kwenda na wakati.

Na kwa mabadiliko ya sasa ya sayansi na teknolojia, vitashindwa ku keep up, ingawa bado wengi wataviamini kwa sababu saikolojia ya mtu inapenda kuwa na kitu cha kuamini.

Wewe hushangai katika vitabu vyote vya dini vya old world hakuna kitabu chochote kilichotaja bara la Amerika?

Ina maana Mungu hakujua kuna Amerika?
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji419]
 
Back
Top Bottom