Complicator
JF-Expert Member
- Aug 23, 2013
- 2,198
- 3,580
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa wale wasiojua Harrier TAKO LA NYANI hii hapa![]()
Kuna jamaa mmoja wa comoro alikuwa anauza yake Milion 10 nikaja nikakutana na mzungu mmoja anauza yake anatafuta hela ya kuondoka kwao milion 6..... Hii gari kwa speed ndiyo mahali pake
![]()
Haukusumbui? Yani mkuu nilioinunua kwa mtu sijui iligusa maji control yake ikawa inajipiga stata yenyewe nikaona hapa kuna siku nitakuta imekanyaga vichwa watoto![]()
Kuna jamaa mmoja wa comoro alikuwa anauza yake Milion 10 nikaja nikakutana na mzungu mmoja anauza yake anatafuta hela ya kuondoka kwao milion 6..... Hii gari kwa speed ndiyo mahali pake
![]()
Spare parts za kumwaga na kumwagikaAvailability ya spare parts na bei zake.
Liendeshe siku moja..pita nalo hata barabara ya vumbi afu urudi tena na mrejeshoSijawahi kuipenda Harrier, naliona kama gari ya hovyo tu
Std VI B 😂 😂 😂Nilichoelewa tu ni tako la nyani a.k.a tako jekundu...halafu linakuwaga limenona[emoji23][emoji8][emoji39][emoji39][emoji39]
Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi Huwa Nalikubali sana Vanguard aisee acha Kabisa....limekaa kaa kama Gaidi Fulani....hata Uniwekee Harrier na Vanguard halafu uweke Hela Kwenye Harrier ntachagua Vanguard.Ni model ya gari ya Toyota Harrier kizazi cha vvt-i (umeme mwingi mafuta kidogo)... Huku kwetu tunaita new model... Lakini kimsingi sio new model kwa huko Japan..
Kwa kawaida Harrier ni gari zinazosifika kwa ulaji mbaya wa mafuta lakini model hii TAKO LA NYANI ni tofauti na model nyingine
Uundwaji wake umezingatia starehe zaidi, kasi, nguvu na ualji mdogo wa mafuta... Hivi vigezo vimewavutia wa bongo wengi mpaka kuifanya ndio gari ya kuuzia sura kwa sasa yani ndio gari inayouza...
Huwezi kukaa dakika kumi mahali yanapopita magari bila kuiona hii gari mpaka sasa inaelekea kuwa Kama sare ya taifa
Neno TAKO LA NYANI limetokana na hii gari taa zake za nyuma zilivyo... Yani zimekaa kama makalio ya nyani gendaeka.. Yule mwenye makalio mekundu...
Lakini ni wangapi wanajua hatari za hii gari gumzo la jiji? Kwa taarifa yako ndio gari zinazoongoza kwa ajali zikifuatiwa na Alphard. Unaweza kudhani zina tatizo lakini shida ni sisi wenyewe... Hatujazoea gari zenye take over kubwa na mwendokasi wa fasta...
Hivyo ndugu zangu kama kuna mwenye mpango wa kununua hii gari azingatie haya... Wepesi, mwendokasi na nguvu ya hii gari
Jr[emoji769]
Hivi hizi gari huwa ni nyeusi tu? Zote nilizoona hapa Dar ni nyeusiBinafsi Huwa Nalikubali sana Vanguard aisee acha Kabisa....limekaa kaa kama Gaidi Fulani....hata Uniwekee Harrier na Vanguard halafu uweke Hela Kwenye Harrier ntachagua Vanguard.View attachment 1047833
Sent using Jamii Forums mobile app
Malaw ndio gari zao zipo nyingi sana kuleMshana hivi Honda Fit kwetu hazifai?...ni cheap na kwenye ulaji wa mafuta ni mdogo. Nadhani kwa wanaofanya biashara ya Taxi watafaidi.
Kwa mazingira yetu vipi sivioni kabisa.
hizi gari zina share same engine na MARK X ZIO, unaweza kutoa uzoefu wowote juu ya mark x zio?Ni model ya gari ya Toyota Harrier kizazi cha vvt-i (umeme mwingi mafuta kidogo)... Huku kwetu tunaita new model... Lakini kimsingi sio new model kwa huko Japan..
Kwa kawaida Harrier ni gari zinazosifika kwa ulaji mbaya wa mafuta lakini model hii TAKO LA NYANI ni tofauti na model nyingine
Uundwaji wake umezingatia starehe zaidi, kasi, nguvu na ualji mdogo wa mafuta... Hivi vigezo vimewavutia wa bongo wengi mpaka kuifanya ndio gari ya kuuzia sura kwa sasa yani ndio gari inayouza...
Huwezi kukaa dakika kumi mahali yanapopita magari bila kuiona hii gari mpaka sasa inaelekea kuwa Kama sare ya taifa
Neno TAKO LA NYANI limetokana na hii gari taa zake za nyuma zilivyo... Yani zimekaa kama makalio ya nyani gendaeka.. Yule mwenye makalio mekundu...
Lakini ni wangapi wanajua hatari za hii gari gumzo la jiji? Kwa taarifa yako ndio gari zinazoongoza kwa ajali zikifuatiwa na Alphard. Unaweza kudhani zina tatizo lakini shida ni sisi wenyewe... Hatujazoea gari zenye take over kubwa na mwendokasi wa fasta...
Hivyo ndugu zangu kama kuna mwenye mpango wa kununua hii gari azingatie haya... Wepesi, mwendokasi na nguvu ya hii gari
Jr[emoji769]
Yes...kwa Madiba niliona ndizo Taxi na zinafanya vizuri...ni gari dogo ila kwa ndani imekaa juu tofauti na magari mengi madogo.
Nilishaliendesha Dar to Songea zaidi ya mara tano nilijikuta natumia akili nyingi sana, maana mimi napenda sana mbio, lakini lenyewe ukifika 140 unaona kabisa linataka kupaa. Nimebaki zangu na GX 110 ndo mpango mzima natembea hadi namaliza kisahaniLiendeshe siku moja..pita nalo hata barabara ya vumbi afu urudi tena na mrejesho
Bei zake kulinganisha na za Toyota?Spare parts za kumwaga na kumwagika