Maoni yangu kuhusu gari aina ya Harrier maarufu "Tako la Nyani"

GARI HILI TAKO LA NYANI ZAIDI NI LA WANAWAKE KILA ANAENDESHA KATIKA 10 9 WANAWAKE NA IST NI GARI LA UBBER
 
Umenikumbusha siku niliyoambiwa "toa hiyo compressor tukuwekee kipu.mbu", ubaridi wake ni hatari. Nilicheka sana!!!
 

HYBRID MAANA YAKE INA MTUNGI WA GESI HAITUMII MAFUTA INATUMIA GESI
 
Ila kuna jamaa yangu ananiambia zile Harrier za Engine ya 1MZ (Jini) ambazo ni cc 3000 ziko na uwiano mzuri kati ya bodi na nguvu,uzito wa Engine. Shida aliyoniambia ni kuwa gari inakula mafuta na engine ya 1MZ siyo nzuri kama 2AZ.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeah hiyo sio mbaya, au mtu kama ana mapenzi makubwa na muonekano wa Harrier basi bora achukue Lexus RX330 ambazo ni Luxurious Version of Harrier, hizi ziko vizuri kwenye uwiano wa body na engine, pia zinaaminika zaidi kuliko Harrier za Toyota

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mimi na bmw na naenda 200km/hr na gari haipepesuki ni imara barabarani
 
Jamani ata kapicha ili wasiojua sijui km na mimi nimo tujue..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…