The hitman
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 3,673
- 2,288
Hivi hiyo Aina tatizo kwenye umeme ? Kuna jamaa mmoja gari yake iliwaka moto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok well said bro
Hivi hizi gari huwa ni nyeusi tu? Zote nilizoona hapa Dar ni nyeusi
Kuanzia 24mHii gari inasimama sh ngapi mkuu ukiagiza? Binafsi napenda Sana harrier sema nilikuwa kaogopa mafuta, sasa Kwa kuwa mafuta sio issue kumbe naweza kuichukua
Usikurupuke mkuu soma vuzuri jamaa jasema nark X zeo yuko sahihi kabisa engine zake nyingi ni 2AZ japo harrier zipo zenye 1MZ hizi ni six pia zipo 2GR hizi 3400cc zinatembea ni balaaTofauti kabisa mark X ni engine kubwa 2.5- 3000 tofauti kabisa na harrier
Jr[emoji769]
HapanaKuna mmama mmoja huwa namuonaga anaendesha hii harrier ya milioni 94 nadhani sijui ndio wewe
Tunacoment hapahapa mkuuSisi tunaomiliki Baiskeli za Phoenix tunakoment wapi wandugu?
Nyingi sio hybrid bei ya hybrid na Harrier nyingine nitofauti hybrid ni mkasi zaidiKluger inameza mkuu!! Nimeidalalia juzi,mteja katoa hela nusu! Baada ya kuitumia kidogo ananiambia nifanye mpango arudishe hata Robo tatu ya kiasi alichonipa tuli re-sell!! Hata hizo "Tako la nyani" anazozisema Mshana Jr si zote zinakula mafuta kidogo! Kuna zinazomeza kama majini!! Maana si zote ni vVti engines! Sijui mengi kuhusu hii gari ila nilimuuliza mtaalamu mmoja akaniambi kwa kifupi tu kuwa zipo ambazo ni Hybrid,na ambazo si Hybrid!! Sikumwelewa sana ila ninachoelewa ni kuwa kuna zinazokula mafuta mengi na zisizokula mengi!
Mkuu,gari za chini zenye engine kubwa hasa hizi familia ya Brevis,Mark X,Verossa,Athlete ziko chini zinashika sana njia kwa hiyo hata kama kuna kona kutokana na uzito wake,zinachanja mbuga sana. Ila hata hivyo,hizo Harrier nazo ukiondoa kwa sababu ziko juu zinaweza kuwa na kuyumba kidogo,nazo zinatembea sana. Siku zote Sedan ikiwa na uwezo,siyo gari ya kuichezea hata kidogo.Hicho kigari kiliwahi kutaka ligi njia ya bagamoyo Msata, kiukweli ni doro tu mbele myama Brevis, maana kila akijaribu kusogea anaambulia kula moshi tu.., hamna kitu hapo
Hizo harrier tuachie michepuko, brevis 300 inanifaa zaidi kuuzia sura hapa mjiniHicho kigari kiliwahi kutaka ligi njia ya bagamoyo Msata, kiukweli ni doro tu mbele myama Brevis, maana kila akijaribu kusogea anaambulia kula moshi tu.., hamna kitu hapo
Ila 300 si zile zenye 3000cc? Duuh, hatari sanaHizo harrier tuachie michepuko, brevis 300 inanifaa zaidi kuuzia sura hapa mjini
Yaa, inakuwa cc kubwa halafu inavuta bodi ndogoIla 300 si zile zenye 3000cc? Duuh, hatari sana
Umesema kweli kabisa kaka,, Tanzania watu wananunua magari kwa kuigana na sio kwa kuangalia mahitaji,,Kiuhalisia Harrier haina starehe yoyote ile ukitaka starehe inabidi ununue Lexus RX 330 hio ndo luxury version ya harrier ila harrier imependwa na watu wengi sababu Tanzania watu tunaishi kwa kuigana sana mfano wa gari zikizowahi kupendwa Tanzania ni GX ,100, GX110, Mark X, Altezza sasa hivi Crown zimevamiwa sana
Waambie tu ukweli mkuu usiwafiche, Harrier inakimbia sana ila ni nyepesi mno, yaani ni kama vile engine imezidi body....Harrier kuhama njia ni kitu kirahisi mno, na kama uko speed kali na ukakata kona haishiki chini so ni rahisi kupinduka tofauti na Sedan yoyote ile! Mtu anayependa speed kwa kweli simshauri kabisa anunue HarrierMkuu,gari za chini zenye engine kubwa hasa hizi familia ya Brevis,Mark X,Verossa,Athlete ziko chini zinashika sana njia kwa hiyo hata kama kuna kona kutokana na uzito wake,zinachanja mbuga sana. Ila hata hivyo,hizo Harrier nazo ukiondoa kwa sababu ziko juu zinaweza kuwa na kuyumba kidogo,nazo zinatembea sana. Siku zote Sedan ikiwa na uwezo,siyo gari ya kuichezea hata kidogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aaagh, sipati picha aisee..Yaa, inakuwa cc kubwa halafu inavuta bodi ndogo
Kwa wazoefu tunaweza kupanga vipi ulaji wa mafuta wa gari hizi kuanzia linalokula sana hadi la nafuuIla 300 si zile zenye 3000cc? Duuh, hatari sana
Speed na mitochi kila kona. Utaishia kutajirisha wazee wa kurushiana picha kwa whatsapp kwenye road barrier ya mbele![]()
Kuna jamaa mmoja wa comoro alikuwa anauza yake Milion 10 nikaja nikakutana na mzungu mmoja anauza yake anatafuta hela ya kuondoka kwao milion 6..... Hii gari kwa speed ndiyo mahali pake
![]()
Ni model ya gari ya Toyota Harrier kizazi cha vvt-i (umeme mwingi mafuta kidogo)... Huku kwetu tunaita new model... Lakini kimsingi sio new model kwa huko Japan..
Kwa kawaida Harrier ni gari zinazosifika kwa ulaji mbaya wa mafuta lakini model hii TAKO LA NYANI ni tofauti na model nyingine
Uundwaji wake umezingatia starehe zaidi, kasi, nguvu na ualji mdogo wa mafuta... Hivi vigezo vimewavutia wa bongo wengi mpaka kuifanya ndio gari ya kuuzia sura kwa sasa yani ndio gari inayouza...
Huwezi kukaa dakika kumi mahali yanapopita magari bila kuiona hii gari mpaka sasa inaelekea kuwa Kama sare ya taifa
Neno TAKO LA NYANI limetokana na hii gari taa zake za nyuma zilivyo... Yani zimekaa kama makalio ya nyani gendaeka.. Yule mwenye makalio mekundu...
Lakini ni wangapi wanajua hatari za hii gari gumzo la jiji? Kwa taarifa yako ndio gari zinazoongoza kwa ajali zikifuatiwa na Alphard. Unaweza kudhani zina tatizo lakini shida ni sisi wenyewe... Hatujazoea gari zenye take over kubwa na mwendokasi wa fasta...
Hivyo ndugu zangu kama kuna mwenye mpango wa kununua hii gari azingatie haya... Wepesi, mwendokasi na nguvu ya hii gari
Jr[emoji769]