Maoni yangu kuhusu gari aina ya Harrier maarufu "Tako la Nyani"

Maoni yangu kuhusu gari aina ya Harrier maarufu "Tako la Nyani"

Ninayo na mimepanga kwenda nayo Mbeya from Dar na Kurudi nipite Dodoma ndo nirudi Dar mwezi wa nne. Kwa comments za watu humu inabidi nitembee not more than 100Km/h maana nitakuwa na familia. Honger Mshana Jr kwa bandiko lako.
 
Nimeziona sana Zambia na Zimbabwe zilifanya shughuli ya taxi,nashangaa Tz hatuja zichangamkia!!! Honda fit ni bora kuliko hata ist.
Mshana hivi Honda Fit kwetu hazifai?...ni cheap na kwenye ulaji wa mafuta ni mdogo. Nadhani kwa wanaofanya biashara ya Taxi watafaidi.

Kwa mazingira yetu vipi sivioni kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Please Google. But it's way too quick than Vits. Na ujue tofauti kubwa pia utaiona kutoka 100-180kph. Seriously unajaribu kuiweka Vits na Harrier?
Huewezi niambia mimi nitaiona kati kutoka 100-180kph. Mimi sina harrier, sema gari inatumia muda gani kutoka 0 -180kph, hivyo ndo hua inapimwa acha blahblah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
53186701_1694478164031982_709294491516796928_n.jpg

Kuna jamaa mmoja wa comoro alikuwa anauza yake Milion 10 nikaja nikakutana na mzungu mmoja anauza yake anatafuta hela ya kuondoka kwao milion 6..... Hii gari kwa speed ndiyo mahali pake
3056987_orig.jpg
Huo mzigo bado upo??
 
Huewezi niambia mimi nitaiona kati kutoka 100-180kph. Mimi sina harrier, sema gari inatumia muda gani kutoka 0 -180kph, hivyo ndo hua inapimwa acha blahblah

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uvivu tafuta mwenyewe. Siwezi kupoteza muda kwa mtu anaejaribu kulinganisha Vits na Harrier! Kila kitu kipo kwenye simu yako hio Acha uvivu
 
Kiuhalisia Harrier haina starehe yoyote ile ukitaka starehe inabidi ununue Lexus RX 330 hio ndo luxury version ya harrier ila harrier imependwa na watu wengi sababu Tanzania watu tunaishi kwa kuigana sana mfano wa gari zikizowahi kupendwa Tanzania ni GX ,100, GX110, Mark X, Altezza sasa hivi Crown zimevamiwa sana
 
Ninayo na mimepanga kwenda nayo Mbeya from Dar na Kurudi nipite Dodoma ndo nirudi Dar mwezi wa nne. Kwa comments za watu humu inabidi nitembee not more than 100Km/h maana nitakuwa na familia. Honger Mshana Jr kwa bandiko lako.
Safe speed 100-120kph hata mafuta utatumia vizuri.
 
Nilimsaidia jamaa yangu kuitoa hiyo gari bandarini alikua kakwama, tukawa tumekubaliana nimpe gari yangu ndogo na ela kiasi maana mambo yalimwendea kombo kidogo,
Baada ya kuanza kuliendesha kama mwezi niponea kupiga chini, nilibadili makubaliano akamuuzia jamaa mwingine, maana kwa nnavyojijua ile gari ingekuja niacha kilema km sio kuniua.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna zile za zamani kabisa yaani 1998-2002 je nazo pia zina matishio kama hayo ya Tako la Mbuzi?aka nyani?
Za zamani zina engine ya 1mz na 5s pia chache zina 2az ambayo ndo iko kwenye hizo ziitwazo New Model(literally ni Old Mode pia). New Model zina vitaa vidogo kuanzia miaka ya 2010-2018!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni gari nzuri ni comfortable ndani kama huna mapepe, if you are here next level is landcruiser, spare zipo za kutosha, mafuta kawaida, but dont overspeed! Ingawa ina matatizo ya shockups but its good car! Had two of them! Asingekuwa jiwe ningekuwa kwa v8! Dis life!
Overspeed mkuu ni general term je kuanzia 100-120kph ni normal na 140-160kph ni overspeeding na je haina balance?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Overspeed mkuu ni general term je kuanzia 100-120kph ni normal na 140-160kph ni overspeeding na je haina balance?

Sent using Jamii Forums mobile app

Bora ukae 100-140 ukizid kwa corner inaweza kufanya yake! Haiko stable kwa corner in high speed ni gari ya suburban yaani siyo ya safari sana haiatmii barabara ishanitoa wenge mara nyingi tuu just dont overspeed.
 
Back
Top Bottom