Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
- Thread starter
- #161
Take over na kuchanganyaIvi mnaposema hii gari ina speed mnazungumzia nini? Ile 180K/h ama?
Sent using Jamii Forums mobile app
Jr[emoji769]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Take over na kuchanganyaIvi mnaposema hii gari ina speed mnazungumzia nini? Ile 180K/h ama?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulaji wa mafuta unategemea na ukubwa wa engineKluger inameza mkuu!! Nimeidalalia juzi,mteja katoa hela nusu! Baada ya kuitumia kidogo ananiambia nifanye mpango arudishe hata Robo tatu ya kiasi alichonipa tuli re-sell!! Hata hizo "Tako la nyani" anazozisema Mshana Jr si zote zinakula mafuta kidogo! Kuna zinazomeza kama majini!! Maana si zote ni vVti engines! Sijui mengi kuhusu hii gari ila nilimuuliza mtaalamu mmoja akaniambi kwa kifupi tu kuwa zipo ambazo ni Hybrid,na ambazo si Hybrid!! Sikumwelewa sana ila ninachoelewa ni kuwa kuna zinazokula mafuta mengi na zisizokula mengi!
[emoji23][emoji23][emoji23]mshana bwanaa yaani umekoleza mwandiko kwenye tako la nyani. kuliko hapa gari yenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji120][emoji120][emoji120]Ninayo na mimepanga kwenda nayo Mbeya from Dar na Kurudi nipite Dodoma ndo nirudi Dar mwezi wa nne. Kwa comments za watu humu inabidi nitembee not more than 100Km/h maana nitakuwa na familia. Honger Mshana Jr kwa bandiko lako.
Duh na hii nayo yataka itumwe picha hahahaIwe mshana ungetupia nakapicha
Duh inauma sana mpe pole jamaa.Mkuu, nimenunua hii kitu kwa mtu miezi sita iliyopita ikanishinda nikauza niliyemuuzia kapiga mzinga maeneo ya senkenke kwa mbele mwezi uliopita, nilipata mshituko sana nikahisi kama ilikuwa inanitafuta.
.....
Ila jamaa mzima
Swali zuli twasubili wajuwaji tupate faidaHivi gari kama Kluger 3000CC kula mafuta sana yaani lita moja kwa kilomita 5.5 ni sawa au kuna tatizo? Mshana Jr na wengine mnaoelewa nijuzeni!
Ulienda kuangalia tra ili kubaini kama haidaiwi kodi kubwa?![]()
Kuna jamaa mmoja wa comoro alikuwa anauza yake Milion 10 nikaja nikakutana na mzungu mmoja anauza yake anatafuta hela ya kuondoka kwao milion 6..... Hii gari kwa speed ndiyo mahali pake
![]()
Hongereka mkuuKuwa nyingi mjini ndio sababu ilisababisha nisiinunue na kuchukua bmw ingawa nilikuwa naipenda sana harrier
Kuna shida kidogo range yake ni 7.. Lakini pia inategemea na uendeshajiHivi gari kama Kluger 3000CC kula mafuta sana yaani lita moja kwa kilomita 5.5 ni sawa au kuna tatizo? Mshana Jr na wengine mnaoelewa nijuzeni!
Hivi Mkuu tunapozungumzia ulaji wa mafuta inakula sana au haili kabisa wastani wake ni upi kwa mfano Gari ikiwa ktk mizinguko ya kawaida au safarini iwe kwa wastani wa Lita moja itembee kilomita ngapi?Kluger inameza mkuu!! Nimeidalalia juzi,mteja katoa hela nusu! Baada ya kuitumia kidogo ananiambia nifanye mpango arudishe hata Robo tatu ya kiasi alichonipa tuli re-sell!! Hata hizo "Tako la nyani" anazozisema Mshana Jr si zote zinakula mafuta kidogo! Kuna zinazomeza kama majini!! Maana si zote ni vVti engines! Sijui mengi kuhusu hii gari ila nilimuuliza mtaalamu mmoja akaniambi kwa kifupi tu kuwa zipo ambazo ni Hybrid,na ambazo si Hybrid!! Sikumwelewa sana ila ninachoelewa ni kuwa kuna zinazokula mafuta mengi na zisizokula mengi!
Nilipata kusikia hii taalifa kabla ya LeoHarrier unaweza kushare vitu na Lexus. Kimsingi ni gari hilo hilo.
Lingine ni Krugger. Vitu vingi ni hivyo hivyo.
Gari zilizomaliza vijana ni altezza na gx100......zikafatia verossa na noah
Sent using Jamii Forums mobile app