Maoni yangu kuhusu gari aina ya Harrier maarufu "Tako la Nyani"

Maoni yangu kuhusu gari aina ya Harrier maarufu "Tako la Nyani"

Nilianza na lexus inakula wese zaidi kwa town trip! Pia kuuza inasumbua kidogo, old model bado its okay lkn badala ya kununua old model bora ukae kwenye ist, mambo yakiwa sawa una upgrade kwenye tako la nyani pia zinazid kushuka bei kadri mda unavyoenda!
Kaka Goldman,hizo zinazokula mafuta old Model ni za engine gani? 5S, 2AZ au 1MZ?
Kuna tofauti kati ya Normal Harrier ya Engine ya 5S na Harrier Lexus,Normal Harrier engine 2AZ na Harrier Lexus katika ulaji wa mafuta?Nini kinabadilika ikiwa engine zina ukubwa sawa? Naomba kuelimishwa kabla jamaa yangu hajaingia mkenge,anataka kuagiza Harrier Lexus Old Model la engine ya 2AZ mwaka 2002.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
53186701_1694478164031982_709294491516796928_n.jpg

Kuna jamaa mmoja wa comoro alikuwa anauza yake Milion 10 nikaja nikakutana na mzungu mmoja anauza yake anatafuta hela ya kuondoka kwao milion 6..... Hii gari kwa speed ndiyo mahali pake
3056987_orig.jpg
almpata mnunuzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli sio kama speed yake ni kubwa sana,kwani max speed yake 180 km/h,ila pulling power yake ni kubwa kulingana na uzito wa gari,na hii utaiona hasa ukiwa unaondoka hasa kama ilikuwa imesimama au ukiwa una overtake gari nyingine...
 
Ni gari nzuri ni comfortable ndani kama huna mapepe, if you are here next level is landcruiser, spare zipo za kutosha, mafuta kawaida, but dont overspeed! Ingawa ina matatizo ya shockups but its good car! Had two of them! Asingekuwa jiwe ningekuwa kwa v8! Dis life!

Nimecheka sana.
 
Ni model ya gari ya Toyota Harrier kizazi cha vvt-i (umeme mwingi mafuta kidogo)... Huku kwetu tunaita new model... Lakini kimsingi sio new model kwa huko Japan..
Kwa kawaida Harrier ni gari zinazosifika kwa ulaji mbaya wa mafuta lakini model hii TAKO LA NYANI ni tofauti na model nyingine
Uundwaji wake umezingatia starehe zaidi, kasi, nguvu na ualji mdogo wa mafuta... Hivi vigezo vimewavutia wa bongo wengi mpaka kuifanya ndio gari ya kuuzia sura kwa sasa yani ndio gari inayouza...
Huwezi kukaa dakika kumi mahali yanapopita magari bila kuiona hii gari mpaka sasa inaelekea kuwa Kama sare ya taifa
Neno TAKO LA NYANI limetokana na hii gari taa zake za nyuma zilivyo... Yani zimekaa kama makalio ya nyani gendaeka.. Yule mwenye makalio mekundu...
Lakini ni wangapi wanajua hatari za hii gari gumzo la jiji? Kwa taarifa yako ndio gari zinazoongoza kwa ajali zikifuatiwa na Alphard. Unaweza kudhani zina tatizo lakini shida ni sisi wenyewe... Hatujazoea gari zenye take over kubwa na mwendokasi wa fasta...
Hivyo ndugu zangu kama kuna mwenye mpango wa kununua hii gari azingatie haya... Wepesi, mwendokasi na nguvu ya hii gari

Jr[emoji769]
Bei gani mkuu
 
Control yake mkuu ilipata hitilafu ikawa inafanya mambo ya kichawi, nipo ndani naskia gari inawaka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kijicho cha watu hicho... Wale wenye roho ya korosho

Jr[emoji769]
 
Mkuu,unatulisha tango pori.Vijana walimalizwa?Wa mtaa gani?kijiji kipi?kata ipi ?wilaya gani?mkoa upi? mji upi? jiji lipi?manispaa ipi?kabla lipi? uko upi?Ume-generalize mno.Ungesema kuna vijana wamekufa kutokana na gari hizi kwa sababu vijana wanapenda sifa na kuosha nyota ili jamii itambue kuwa wapo matawi ya juu.Hata baiskeli ukienda over speed inakuua sembuse gari?

Mbona vijana bado wapo wengi hawajaisha?Hahahahahaaa!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ooooh kumbe wewe ulikua unataka yale maubishi ya watoto wa kota.....kama hujaelewa basi, soma juu hapo kuna mtu alielewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom