Goldman
JF-Expert Member
- Dec 10, 2010
- 1,930
- 2,401
hivi barabara zetu zinaruhusu hizi kweli jamani au mimi ndiyo sielewi!
Ndugu yangu unatoka mbeya unaenda mwanza! Kwenye hamsini unashuka hamsini nje ya hapo lazima ufidie! Ndo hizo 100 to 140 ni reasonable, sasa kama unaenda 80 si utafika keshokutwa? Kwani tuna king'amuzi kwa gari ndogo?