Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,296
- 18,027
Ndiyo hivyo Kiongozi. At least fundi mmoja alinihakikishia hivyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo hivyo Kiongozi. At least fundi mmoja alinihakikishia hivyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jr[emoji769]
Hii gari nikiiyona roho inaniuma sana, naitamani sana..Hapana nakushauri chukua Volvo au BMW... Speed kuanzia 240 na zinakamata lami... Utaenjoy
Jr[emoji769]
BMW 3 baba bei ya kununulia inavutia/kawaida. Sijajua spea zakeHapana nakushauri chukua Volvo au BMW... Speed kuanzia 240 na zinakamata lami... Utaenjoy
Jr[emoji769]
Hii ndio NAVARA mpya au...?Hii gari nikiiyona roho inaniuma sana, naitamani sana..![]()
tuma picha za hiyo lexus tunaeza fika bei mkuu. Tunaomba na bei yake piaNilianza na lexus inakula wese zaidi kwa town trip! Pia kuuza inasumbua kidogo, old model bado its okay lkn badala ya kununua old model bora ukae kwenye ist, mambo yakiwa sawa una upgrade kwenye tako la nyani pia zinazid kushuka bei kadri mda unavyoenda!
Nilimsaidia jamaa yangu kuitoa hiyo gari bandarini alikua kakwama, tukawa tumekubaliana nimpe gari yangu ndogo na ela kiasi maana mambo yalimwendea kombo kidogo,
Baada ya kuanza kuliendesha kama mwezi niponea kupiga chini, nilibadili makubaliano akamuuzia jamaa mwingine, maana kwa nnavyojijua ile gari ingekuja niacha kilema km sio kuniua.
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu nikajua kuna chimbo lenye bei nafuu.Bei kikomo 32,000,000
Jr[emoji769]
pole sana, tupambane tu kwa hopesNi gari nzuri ni comfortable ndani kama huna mapepe, if you are here next level is landcruiser, spare zipo za kutosha, mafuta kawaida, but dont overspeed! Ingawa ina matatizo ya shockups but its good car! Had two of them! Asingekuwa jiwe ningekuwa kwa v8! Dis life!
Ni mpya mkuu wangu..Hii ndio NAVARA mpya au...?
Bora ukae 100-140 ukizid kwa corner inaweza kufanya yake! Haiko stable kwa corner in high speed ni gari ya suburban yaani siyo ya safari sana haiatmii barabara ishanitoa wenge mara nyingi tuu just dont overspeed.
Nkoi,usatanii?Masalaa......!!Hehehehehee!!Ooooh kumbe wewe ulikua unataka yale maubishi ya watoto wa kota.....kama hujaelewa basi, soma juu hapo kuna mtu alielewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulishindwa kwenye lipi maana ndo gari nayoichangia hela ili niinunue kwa sababu inafaa kifamilia zaidi.Mkuu, nimenunua hii kitu kwa mtu miezi sita iliyopita ikanishinda nikauza niliyemuuzia kapiga mzinga maeneo ya senkenke kwa mbele mwezi uliopita, nilipata mshituko sana nikahisi kama ilikuwa inanitafuta.
.....
Ila jamaa mzima
Nenda showroom ukavute mchuma huo.... Raha jipe mwenyeweHii gari nikiiyona roho inaniuma sana, naitamani sana..![]()
Kweli kabisa mkuu.. Safari ndefu usitake kulazimisha eti utembee above 140km/hr..Ni gari comfortable sana na iko stable sana kwa barabara, khs kupata ajali sana labda kama ulivyosema zipo nyingi na wengi wanapenda sana kuzitumia kwa safari za masafa marefu, ila ukitembea kwa speed moderate 100km/h mpk 120 , hakuna shida....kimsingi gari yyt ukileta ujuaji mwingi inakumwaga.