Maoni yangu: Mbowe kuwa na kesi ya kujibu ni fursa ya kujua zaidi wasiojulikana wanafanyaje kazi

Maoni yangu: Mbowe kuwa na kesi ya kujibu ni fursa ya kujua zaidi wasiojulikana wanafanyaje kazi

Papa1

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2012
Posts
2,017
Reaction score
2,210
Binafsi naona kitendo cha mahakama kuamua kuwa Mbowe na wenzake wana kesi ya kujibu Kwanza ni maumivu makubwa ya kisaikolojia na kimwili Kwa wahusika Kwa kukosa Uhuru na kushindwa kuendesha maisha Yao walivyozoea, lakini upande wa pili ni fursa Kwa Wana wa nchi hii kujua ni jinsi gani Siri Kali ikiamua kukushughulikia inatumia mbinu gani.

Nina hakika mashahidi wa utetezi hawawezi kujaribu habari ya uongo. Na vilivile watakuwa wameshudia Mambo yasiyofaa yanayofanywa na tuliozoea kuita wasiojulikana. Yaani kama vile akina Adamoo walivyo tujuza mateso waliyoyapata. Kwenye utetezi Msishangae tukajua hata Lijenje alipo na hata Ben Sanane anawezajulikana alipo!

Ndio maana mawalikili wa serikali wanapigana kujua Mashahidi wa utetezi ni akina nani. Kupitia kuwafahamu watajua ni Kwa kiasi gani habari zao zinafahamika. Na kama wakiona kuna Shahidi wanauhakika anajua mengi, hawezi achwa akatinga mahakamani, atapotea tu. Kuonekana kwake mpaka kesi iishe au asionekane mile.

Hayo ni mawazo tu kama Swila alivyounganisha dots😂😂😂😂😂
 
..Jaji hataki oral submission toka upande wa utetezi.

..yaani mawakili wa utetezi wakiongea Jaji anaona ni kero.

..itafika mahali atataka mashahidi wahojiwe kwa kuandika ili wananchi wasijue kinachoendelea mahakamani.
 
Ila case hii inafanyika kwa gharama kubwa mno za mtoa kodi wa nchi hii,case hii dhamana ilistahili itolewe(Mr.Mbowe &others they can't run away)na mimi na wewe tupo in our comfort zone na kujadili haya but wahusika wamenyimwa haki ya kuwa pamoja na loved one's.
 
Binafsi naona kitendo cha mahakama kuamua kuwa Mbowe na wenzake wana kesi ya kujibu Kwanza ni maumivu makubwa ya kisaikolojia na kimwili Kwa wahusika Kwa kukosa Uhuru na kushindwa kuendesha maisha Yao walivyozoea, lakini upande wa pili ni fursa Kwa Wana wa nchi hii kujua ni jinsi gani Siri Kali ikiamua kukushughulikia inatumia mbinu gani.

Nina hakika mashahidi wa utetezi hawawezi kujaribu habari ya uongo. Na vilivile watakuwa wameshudia Mambo yasiyofaa yanayofanywa na tuliozoea kuita wasiojulikana. Yaani kama vile akina Adamoo walivyo tujuza mateso waliyoyapata. Kwenye utetezi Msishangae tukajua hata Lijenje alipo na hata Ben Sanane anawezajulikana alipo!

Ndio maana mawalikili wa serikali wanapigana kujua Mashahidi wa utetezi ni akina nani. Kupitia kuwafahamu watajua ni Kwa kiasi gani habari zao zinafahamika. Na kama wakiona kuna Shahidi wanauhakika anajua mengi, hawezi achwa akatinga mahakamani, atapotea tu. Kuonekana kwake mpaka kesi iishe au asionekane mile.

Hayo ni mawazo tu kama Swila alivyounganisha dots😂😂😂😂😂
Hii ni fursa pekee ya kujua kila kitu sasa. wameona haitoshi sasa ngoja tuone.
 
Ndio maana mawalikili wa serikali wanapigana kujua Mashahidi wa utetezi ni akina nani. Kupitia kuwafahamu watajua ni Kwa kiasi gani habari zao zinafahamika. Na kama wakiona kuna Shahidi wanauhakika anajua mengi, hawezi achwa akatinga mahakamani, atapotea tu. Kuonekana kwake mpaka kesi iishe au asionekane mile.
Wanataka wakawatishe na kuwafungulis kesi za kuunga unga ili wasitoe ushahidi.

Mbowe ana watu very loyal hawanunuliki kinjaa njaa
 
Binafsi naona kitendo cha mahakama kuamua kuwa Mbowe na wenzake wana kesi ya kujibu Kwanza ni maumivu makubwa ya kisaikolojia na kimwili Kwa wahusika Kwa kukosa Uhuru na kushindwa kuendesha maisha Yao walivyozoea, lakini upande wa pili ni fursa Kwa Wana wa nchi hii kujua ni jinsi gani Siri Kali ikiamua kukushughulikia inatumia mbinu gani.

Nina hakika mashahidi wa utetezi hawawezi kujaribu habari ya uongo. Na vilivile watakuwa wameshudia Mambo yasiyofaa yanayofanywa na tuliozoea kuita wasiojulikana. Yaani kama vile akina Adamoo walivyo tujuza mateso waliyoyapata. Kwenye utetezi Msishangae tukajua hata Lijenje alipo na hata Ben Sanane anawezajulikana alipo!

Ndio maana mawalikili wa serikali wanapigana kujua Mashahidi wa utetezi ni akina nani. Kupitia kuwafahamu watajua ni Kwa kiasi gani habari zao zinafahamika. Na kama wakiona kuna Shahidi wanauhakika anajua mengi, hawezi achwa akatinga mahakamani, atapotea tu. Kuonekana kwake mpaka kesi iishe au asionekane mile.

Hayo ni mawazo tu kama Swila alivyounganisha dots😂😂😂😂😂
Serikali ni lidude fulani hivi likubwa. Ni mfumo ulianza kujifunza kuwa kama ulivyo tangu miaka hiyo ya sitini mwanzoni.

Ukiona nchi zinakuwa kama zilivyo kuna watu wengi wapo kazini muda wote. Ukishakuwa ni bosi au una rafiki fulani bosi serikalini ndio utaelewa kwa undani.

Mtu anaambiwa kutembea kwako mwisho ni saa tatu usiku ndio ulinzi wako utaondolewa. Maana yake wapo wanaokulinda ambao wewe huwaoni.
 
Serikali ni lidude fulani hivi likubwa. Ni mfumo ulianza kujifunza kuwa kama ulivyo tangu miaka hiyo ya sitini mwanzoni.

Ukiona nchi zinakuwa kama zilivyo kuna watu wengi wapo kazini muda wote. Ukishakuwa ni bosi au una rafiki fulani bosi serikalini ndio utaelewa kwa undani.

Mtu anaambiwa kutembea kwako mwisho ni saa tatu usiku ndio ulinzi wako utaondolewa. Maana yake wapo wanaokulinda ambao wewe huwaoni.

..mfumo wetu unamtegemea sana Raisi.

..na tukipata Raisi ambaye amekengeuka ndio tunadumbukia ktk korongo kama la awamu ya 5.

..Magufuli angeweza kufanya mambo yote aliyoazimia kama Rais bila kuendekeza dhuluma kwa vyama vya upinzani.

..Sijui kwanini aliamini ili atekeleze ilani na ahadi zake za uchaguzi ilikuwa ni lazima avunje na kukandamiza haki za wengine haswa wapinzani.

..Watz kwa ujumla wetu ni watu wazuri. Wapo baadhi ni wabaya lakini miaka yote walikuwa wanadhibitika.

.. Ni bahati mbaya sana kwamba ktk awamu ya 5 watu wakatili walikuwa wakitamba kila mahali.

..Tanzania tumrpita ktk kipindi kigumu sasa umefika wakati wa kujirudi.
 
hv mnakumbuka profesa j na notice book alivyoibua?nn kilimpata mpaka kuugua
 
Binafsi naona kitendo cha mahakama kuamua kuwa Mbowe na wenzake wana kesi ya kujibu Kwanza ni maumivu makubwa ya kisaikolojia na kimwili Kwa wahusika Kwa kukosa Uhuru na kushindwa kuendesha maisha Yao walivyozoea, lakini upande wa pili ni fursa Kwa Wana wa nchi hii kujua ni jinsi gani Siri Kali ikiamua kukushughulikia inatumia mbinu gani.

Nina hakika mashahidi wa utetezi hawawezi kujaribu habari ya uongo. Na vilivile watakuwa wameshudia Mambo yasiyofaa yanayofanywa na tuliozoea kuita wasiojulikana. Yaani kama vile akina Adamoo walivyo tujuza mateso waliyoyapata. Kwenye utetezi Msishangae tukajua hata Lijenje alipo na hata Ben Sanane anawezajulikana alipo!

Ndio maana mawalikili wa serikali wanapigana kujua Mashahidi wa utetezi ni akina nani. Kupitia kuwafahamu watajua ni Kwa kiasi gani habari zao zinafahamika. Na kama wakiona kuna Shahidi wanauhakika anajua mengi, hawezi achwa akatinga mahakamani, atapotea tu. Kuonekana kwake mpaka kesi iishe au asionekane mile.

Hayo ni mawazo tu kama Swila alivyounganisha dots😂😂😂😂😂
Ni kweli kabisa. Na ni mhimu mashahidi wote wa utetezi wasijulikane kabla ya kupanda kizimbani. La sivyo, watafanywa vibaya.
 
..mfumo wetu unamtegemea sana Raisi.

..na tukipata Raisi ambaye amekengeuka ndio tunadumbukia ktk korongo kama la awamu ya 5.

..Magufuli angeweza kufanya mambo yote aliyoazimia kama Rais bila kuendekeza dhuluma kwa vyama vya upinzani.

..Sijui kwanini aliamini ili atekeleze ilani na ahadi zake za uchaguzi ilikuwa ni lazima avunje na kukandamiza haki za wengine haswa wapinzani.

..Watz kwa ujumla wetu ni watu wazuri. Wapo baadhi ni wabaya lakini miaka yote walikuwa wanathibitika. Ni bahati mbaya sana kwamba ktk awamu ya 5 watu wakatili walikuwa wakitamba kila mahali.

..Tanzania tumrpita ktk kipindi kigumu sasa umefika wakati wa kujirudi.
Well said mkuu..

Natamani nimuoze Ziro akipanda kizimbani ndio tujue upeo wa hawa top rank officials wetu.

Hii kesi imenidhihirishia upeo wa kiakili wa polisi na wanajeshi wengi wa Tanzania ulivyo wa kiwango cha chini.
 
Tatizo hamuamini kwamba ccm hii siyo ya watanzania tena.
 
Binafsi naona kitendo cha mahakama kuamua kuwa Mbowe na wenzake wana kesi ya kujibu Kwanza ni maumivu makubwa ya kisaikolojia na kimwili Kwa wahusika Kwa kukosa Uhuru na kushindwa kuendesha maisha Yao walivyozoea, lakini upande wa pili ni fursa Kwa Wana wa nchi hii kujua ni jinsi gani Siri Kali ikiamua kukushughulikia inatumia mbinu gani.

Nina hakika mashahidi wa utetezi hawawezi kujaribu habari ya uongo. Na vilivile watakuwa wameshudia Mambo yasiyofaa yanayofanywa na tuliozoea kuita wasiojulikana. Yaani kama vile akina Adamoo walivyo tujuza mateso waliyoyapata. Kwenye utetezi Msishangae tukajua hata Lijenje alipo na hata Ben Sanane anawezajulikana alipo!

Ndio maana mawalikili wa serikali wanapigana kujua Mashahidi wa utetezi ni akina nani. Kupitia kuwafahamu watajua ni Kwa kiasi gani habari zao zinafahamika. Na kama wakiona kuna Shahidi wanauhakika anajua mengi, hawezi achwa akatinga mahakamani, atapotea tu. Kuonekana kwake mpaka kesi iishe au asionekane mile.

Hayo ni mawazo tu kama Swila alivyounganisha dots😂😂😂😂😂
MBOWE sio GAIDI.
Hii kesi I inamuongezea umaarufu sana Ustadh maalim MBOWE
 
Well said mkuu..

Natamani nimuoze Ziro akipanda kizimbani ndio tujue upeo wa hawa top rank officials wetu.

Hii kesi imenidhihirishia upeo wa kiakili wa polisi na wanajeshi wengi wa Tanzania ulivyo wa kiwango cha chini.

..Magufuli ndio alikuwa shabilki na cheerleader nambari moja wa Kingai na wenzake.

..Kama angekua hakubaliani na unyang'au waliokuwa wakifanya angewasimamisha mara moja.
 
..mfumo wetu unamtegemea sana Raisi.

..na tukipata Raisi ambaye amekengeuka ndio tunadumbukia ktk korongo kama la awamu ya 5.

..Magufuli angeweza kufanya mambo yote aliyoazimia kama Rais bila kuendekeza dhuluma kwa vyama vya upinzani.

..Sijui kwanini aliamini ili atekeleze ilani na ahadi zake za uchaguzi ilikuwa ni lazima avunje na kukandamiza haki za wengine haswa wapinzani.

..Watz kwa ujumla wetu ni watu wazuri. Wapo baadhi ni wabaya lakini miaka yote walikuwa wanadhibitika.

.. Ni bahati mbaya sana kwamba ktk awamu ya 5 watu wakatili walikuwa wakitamba kila mahali.

..Tanzania tumrpita ktk kipindi kigumu sasa umefika wakati wa kujirudi.
Hakuwa kiongozi!
 
..Jaji hataki oral submission toka upande wa utetezi.

..yaani mawakili wa utetezi wakiongea Jaji anaona ni kero.

..itafika mahali atataka mashahidi wahojiwe kwa kuandika ili wananchi wasijue kinachoendelea mahakamani.
JamiiForums942810958.jpg
 
Back
Top Bottom